mara

Māra is the highest-ranking goddess in Latvian mythology, Mother Earth, a feminine counterpart to Dievs. She takes spirits after death. She may be thought as the alternate side of Dievs (like in Yin and Yang). Other Latvian goddesses, sometimes all of them, are considered her assistants, or alternate aspects. Māra may have been also the same goddess as Lopu māte, Piena Māte (Mother of the Milk), Veļu māte or Vélių motę (mother of the souls/spirits), Zemes māte (Mother of the Earth), and many other "mothers", like of Wood, Water, Sea, Wind.

View More On Wikipedia.org
  1. Wewe unayehonga, mara ya mwisho kula kuku mzima aliyechomwa ilikuwa lini?

    Wewe kijana unayehonga fedha zako kwa wadada/wamama, siku ya mwisho kula peke yako kuku mzima wa kienyeji aliyechomwa ilikuwa lini? Kama hukumbuki au hujawahi, chukua hatua mapema, jipende kwanza vingine vitakuja kwa ziada. Kama umezaliwa kuja kutatua kero za hao wadada/wamama, kazi kwako...
  2. Naomba Tundulissu aachiwe mara moja na bila mashariti yoyote nimeongea mimi na nikiongea huwa sirudii.

    Binafsi Mimi Leo nimetoa angalizo kuwa TAL wamuachie bila mashariti yoyote , akaungane na familia yake haraka. Mimi nafikiri kwa nilivyobarikiwa sifikirii Kama mtakubali nikasirike. Mimi Kama MTU wa haki na Mtumishi ambaye huwa siingiliwi katika mamlaka zangu . Nimesema TAL aachiliwe haraka...
  3. A

    KERO TANESCO Katavi (hasa Mpanda) wanakata umeme bila taarifa, ni kawaida kukatika asubuhi kisha unarudi jioni

    TANESCO wamekuwa na kawaida ya kukata umeme bila mpangilio, hali ambayo inasababisha wanaunguza vitu vyetu, hiyo imekuwa tabia yao hawasemi tatizo, wanaporudisha wanaweza kuendelea na "mchezo" wa kukata na kuwasha ndani ya muda huohuo, hii inakera sana. Kuna wakati ratiba zao za kukata umeme...
  4. R

    RC Kanali Mtambi azindua miradi ya Bilioni 19.9 Musoma

    Mkuu wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Alfred Mtambi, ameongoza hafla ya utiaji saini mikataba ya ujenzi wa miradi ya uboreshaji miundombinu katika Manispaa ya Musoma chini ya Mradi wa Tanzania Cities Transforming Infrastructure and Competitiveness Project (TACTIC), unaofadhiliwa na Benki ya Dunia...
  5. Ni Bora aheri mara elfu uwape watoto yatima na wasiojiweza kuliko kukichangia hiko chama. 🚮

    Nasema wazi usijichumie dhambi Bure... Hio hela peleka kwa watoto yatima na wasiojiweza, kwenye vituo vyao wanamotunzwa ama kule hospitalini ambao wanakosa elfu 20 ya matibabu, wengine wanakosa hela ya kutoa ndugu zao mochwari, hakika utapata thawabu Mtume Sallallahu Alayhi Wasallam, katika...
  6. J

    RC Kanali Evans Alfred Mtambi: Viuatilifu karibu Tani 2,000,000 na mbole Tani 10,000 zimepokelewa mkoa wa Mara miaka 4 ya Rais Samia

    Mkuu wa mkoa wa mara kupitia waandishi wa habari amesema yafuataya ,Serikali ya Awamu ya Sita imewekeza kwenye umwagiliaji wa mpunga: Kijiji cha Mariwanda (Bunda) – TSh milioni 213.05 na Kata ya Rabour (Rorya) – TSh milioni 982.82. Lengo ni kuongeza uzalishaji na kipato cha wanufaika. Pia...
  7. S

    Mambo 10 Niliyoyabaini kwa Beki Hernest Malonga Anayetarajiwa Kujiunga na Simba Kumrithi Msaliti Mohamed Hussein Tshabalala

    1. Hernest Malonga anajua boli kumshinda Mohamed Hussein Tsshabalala 2.Hernest Malonga anacheza beki wa kushoto, anacheza winga wa kulia anacheza winga wa kushoto 3.Hernest Malonga anajua kukaba kuliko Tshabalala 4.Hernest Malonga alimfunga Diara refa akakataa goli kule Mkwakwani 5.Hernest...
  8. J

    GE2025 RC Kanali Evans Alfred: Bajeti ya Ujenzi Mkoa wa Mara imeongezeka kutoka TZS7bn mwaka 2020 hadi TZS245bn, bajeti ya TARURA imeongezeka mara 4

    == Chini ya Rais Samia, bajeti ya TARURA Mkoa wa Mara imeongezeka kutoka shilingi bilioni 6.92 mwaka 2020/2021 hadi bilioni 25.71 mwaka 2024/2025, ikisaidia kufungua barabara mpya, kukarabati za zamani na kuwezesha upitishaji wa barabara misimu yote kwa asilimia 72.7. TANROADS imetekeleza...
  9. S

    Natafuta Chumba cha Kukaa (Living Room) Musoma mara

    Wakuu habari, Nimehamia Musoma hivi karibuni kwa ajili ya kazi na nimekuwa nikisumbuka kupata chumba kizuri cha kukaa (living room) kwa malipo ya kila mwezi. Vigezo ninavyopendelea: Iwe maeneo ya mjini (karibu na barabara kuu) Mahali pasafi na salama Bei isiyo juu sana kwa malipo ya kila...
  10. MSAADA: Fani niliyosomea imegawanyika mara mbili AJIRA PORTAL

    Niende moja kwa moja, Nimesoma Ordinary Diploma in Laboratory science and Technology... Pale kwenye kuchagua kozi kuna Diploma in Laboratory science and technology na pia kuna Diploma in Laboratory technology Changamoto ni kuwa nimechagua Diploma In Science and Laboratory Technology...kazi...
  11. GE2025 Chege Wambura aongoza kwa kura 7,866 jimbo la Rorya - Mara

    CHEGE WAMBURA AONGOZA KWA KURA 7,866 JIMBO LA RORYA - MARA Mbunge aliyemaliza muda wake katika Jimbo la Rorya Mkoa wa Mara, Jafari Chege Wambura ameongoza katika kura za maoni kwenye jimbo hilo baada ya kupata kura 7,866. Chege amewashinda makada wenzake wanne aliokuwa akigombea nao kwenye...
  12. Gari lako linasumbua mara kwa mara?

    Umeshachoka kutumia pesa nyingi kwa mafundi wasiotoa suluhisho la kudumu? Karibu Jerry Spare Parts and Services – mahali ambapo gari lako linarejeshwa katika hali bora kwa huduma za kitaalamu, vipuri halisi, na uaminifu wa hali ya juu. Tunapatikana Mikocheni - Victoria, Dar es Salaam, pamoja na...
  13. Hakimi anusurika kwa mara nyingine...women, slay queens, Kaa nao mbali, trust you MOTHER.

    Ashraf Hakimi , mchezaji wa timu ya PSG ya Ufaransa, unaweza kusema ni Mungu anampenda, pia maombi ya mama yake yanamsaidia. Kwa mara nyingine mwamba amenusurika kufanyiwa umafia na mpenzi wake mpya baada ya chat za mwanamke huyo alizokua anachat na group lake la wadada wanaowafanyia uhalifu...
  14. ALIYEMTONGOZA KWA MARA 42 KAKUBALIWA

    Bob Marley anakuambia ya kwamba "If she's amazing. She won't be easy If she's easy, she won't be amazing If she worth it, you won't give up If you give up, you're not worthy.. Truth is Everybody is going to hurt you, you just Gotta find the ones worth suffering for. Mwanamke huyu akataa...
  15. Kwa michezo ya hawa mawakili wa serikali, sio ajabu Tanzania inashindwa kesi za kimataifa mara kwa mara.

    Wako kisiasa zaidi huku wakicheza na mfumo bila ya kua professional. Kwa mtindo huu, wakienda kwenye chemba za kimataifa ambako watu wako serious na hawapendi kupoteza muda basi hawawezi kutoboa kamwe. Kama lengo lilikua ni kumpotezea lisu muda, ni bora wangetumia njia nyingine ila si hii...
  16. Kwanini ahirisho la kesi ya Tundu Lissu linachukua siku 14 mara zote?

    Habari wanaJF, Naomba kuelewa hapo kwanini kesi ya Lissu inachukua wiki mbili mpaka kusikilizwa tena. Pili naomba kujua yule anayekaa chini ya hakimu ni nani Na kazi yake ni ipi Naomba anay jua hayo mambo anipe msaada na mimi nielewe tu .
  17. Mara 100 mnizuie kuingia Ulaya yote kuliko kunizuia kutekeleza majukumu yangu ya kikatiba na nchi yangu Israel!!!

    "Hata wakinipiga marufuku kuingia Ulaya yote, nitaendelea kuchukua hatua kwa ajili ya nchi yetu," alisema Waziri wa Usalama wa Taifa Itamar Ben-Gvir. Kauli hiyo ilikuja kujibu serikali ya Uholanzi kumzuia Ben-Gvir na waziri mwenzake wa mrengo wa kulia wa baraza la mawaziri la Israel Bezalel...
  18. CCM Yaweka Historia Afrika: Mkutano Mkuu wa Taifa Wafanyika Kidijitali kwa Mara ya Kwanza

    Leo tarehe 26 Julai 2025, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanya Mkutano Mkuu wake wa Taifa kwa njia ya mtandao, kikihusisha takriban wajumbe 2,000 kutoka maeneo mbalimbali ya nchi. Taarifa kutoka ndani ya chama zinadai kuwa huu ni mkutano wa kwanza barani Afrika wa aina hiyo kufanywa kwa njia ya...
  19. Yanga imebadilisha makocha mara tatu na bado imetwaa vikombe vyote msimu 2024/25

    Wakati msimu unaanza, Miguel Gamondi aliendelea na kazi yake, Ila mashabiki wengi hatukufurahishwa na mwenendo wa matokeo ya ushindi mwembamba, Yanga ilikuwa inashinda lakini kwa taabu, hatimaye Tabora na Azam wakachukua alama. Tukaona isiwe kesi, ikatua mashine ya Kijerumani, pira likaguswa...
  20. R

    Chalamila: Mwendokasi ina mabasi 60 tu, mara ya kwanza yalikuwa takribani 200"

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amefanya ziara kituo cha mwendokasi Kimara na kukuta changamoto ya uendeshwaji mbovu wa huduma, ikiwa idadi ya mabasi yanayofanya kazi ni 60 kati ya mabasi 200 yaliyoletwa mara ya kwanza.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…