JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania
Mapenzi
Sasa ni wazi kuwa Kizza Besigye alichumbiana na Janet Museveni mke wa Yoweri Museveni (Rais wa Uganda) kabla ya Museveni kumuoa.
Baadaye, Besigye kama daktari wa binafsi wa Yoweri Museveni alilipa kisasi kwa kumpokonya mpenziwe mrembo Museveni WINNIE BYANYIMA kutoka kwake, akamuoa na kumfanya...