Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,245
Katika mapenzi kuna mambo mengi ndo mana unatakiwa kuwaheshimu wanandoa waliozeeka pamoja mana mambo ni mengi muda hautoshi.
Kwenye ndoa kuna ule muda mmeshapiga kolabo tayari sasa unataka kufanya mambo yako mengine tena mambo muhimu ambayo lazima ufanye au umechoka sana unataka kulala ile umeanza tu mwenzako anakwambia naomba tena kolabo wakati huo huna mood wala hutaki, mnavutana unajikutana umepiga tena na huku mambo yako mengine yanaharibika.
Unalala haijapita nusu saa unaombwa tena na kesho asubuhi unatakiwa kuwahi mahali au kazini. Je mahusiano kama haya utayaweza? Je utaishije katika changamoto kama hii?
Kwenye ndoa kuna ule muda mmeshapiga kolabo tayari sasa unataka kufanya mambo yako mengine tena mambo muhimu ambayo lazima ufanye au umechoka sana unataka kulala ile umeanza tu mwenzako anakwambia naomba tena kolabo wakati huo huna mood wala hutaki, mnavutana unajikutana umepiga tena na huku mambo yako mengine yanaharibika.
Unalala haijapita nusu saa unaombwa tena na kesho asubuhi unatakiwa kuwahi mahali au kazini. Je mahusiano kama haya utayaweza? Je utaishije katika changamoto kama hii?