Jana nilikua naangalia filamu moja ya Kikorea inaitwa A TAXI DRIVER (2017).
Niliamua kuitizama bila kujua plot yake, nikawa najichekea zangu tu maana ilianza kama light comedy.
Mara... taratibu story ikaanza kubadilika along with my mood 😵😮💨
Elements za kile kilichotokea Malawi Oct iliyopita zikaanza kujitokeza, from state power to protest suppression. Yani uhalisia wa filamu ambayo inaonyesha kilichotokea Gwangju, Korea mwaka 1980 ilikuwa inareflect patterns za matukio ya Malawi vilevile, kiasi kwamba unaweza sema ni copy & paste, with very few exceptions.
Hakuna mwananchi aliyekua salama!
From military blockades, wanajeshi waliovaa kiraia kufanya patrol na kupiga wananchi, carfew, kuua wananchi wasiokua na silaha yoyote, gun shots left and right, media censorship, mabomu ya machozi, sehemu mbali mbali za mji kuchomwa moto, the government working extra hard to control the narrative na kuita ukweli rumours, kuita wanafunzi walioanzisha maandamano RADICALS & GANGSTARS, kusema watu waliokufa ni wachache, miili mingi ya watu waliojeruhiwa ama kuuwawa mitaani na hospital... the list goes on and on 😵
Yani... the whole thing felt familiar in a very disturbing way
Nikaanza kukumbuka yale mafuriko ya picha na videos zilizosambaa kila mahali baada ya internet kujerejea nchini Malawi.
Bado nna recording kadhaa za RADIO MALAWI walivyokua wanaendelea na issue zao kama kawaida as if nothing was going on 😬
Hapa nimebaki tu najiuliza, kilichotokea Malawi kilikua influenced na hii filamu au ni coincidence tu?? 🤔🤔
🙇🏾🙇🏾
Niliamua kuitizama bila kujua plot yake, nikawa najichekea zangu tu maana ilianza kama light comedy.
Mara... taratibu story ikaanza kubadilika along with my mood 😵😮💨
Elements za kile kilichotokea Malawi Oct iliyopita zikaanza kujitokeza, from state power to protest suppression. Yani uhalisia wa filamu ambayo inaonyesha kilichotokea Gwangju, Korea mwaka 1980 ilikuwa inareflect patterns za matukio ya Malawi vilevile, kiasi kwamba unaweza sema ni copy & paste, with very few exceptions.
Hakuna mwananchi aliyekua salama!
From military blockades, wanajeshi waliovaa kiraia kufanya patrol na kupiga wananchi, carfew, kuua wananchi wasiokua na silaha yoyote, gun shots left and right, media censorship, mabomu ya machozi, sehemu mbali mbali za mji kuchomwa moto, the government working extra hard to control the narrative na kuita ukweli rumours, kuita wanafunzi walioanzisha maandamano RADICALS & GANGSTARS, kusema watu waliokufa ni wachache, miili mingi ya watu waliojeruhiwa ama kuuwawa mitaani na hospital... the list goes on and on 😵
Yani... the whole thing felt familiar in a very disturbing way
Nikaanza kukumbuka yale mafuriko ya picha na videos zilizosambaa kila mahali baada ya internet kujerejea nchini Malawi.
Hapa nimebaki tu najiuliza, kilichotokea Malawi kilikua influenced na hii filamu au ni coincidence tu?? 🤔🤔
🙇🏾🙇🏾