ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 16,396
- 38,165
Makamu wa Rais akijiuzulu tutapata fursa ya kurudia uchaguzi mkuu, na hapo ndo tutawabana tufanye free and fair election, na hapo ndo tutamuondosha huyo anayemtetea
Mzee wangu Nchimbi huna hasira?
Rais wa nchi amesafiri hatujui mmeagana vip maana hatujakuona airport ukimsindikiza,
Makamu wa Rais ni cheo kikubwa,
Makamu wa Rais sio mteule, yupo pale Kwa kuchaguliwa
Haiwezekani mbunge kidagaa amuite kiongozi wa juu kitaifa Yuda
Anamwita Yuda kuwa amesaliti nini?
Nani? Amesaliti Kwa nani?
Huyo mbunge Uyuda wa Makamu wa Rais ameujuaje?
Mbunge kutoka Zanzibar anamdhihaki makamu wa Rais kutoka Tanganyika kuwa anaenda kanisani ( udini). Sasa kama Mkristo ataendaje kufanya ibada muskitini anakotaka aende?
Nchimbi tafakari Kwa kina utoe maamzi
Pia soma Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi
Mzee wangu Nchimbi huna hasira?
Rais wa nchi amesafiri hatujui mmeagana vip maana hatujakuona airport ukimsindikiza,
Makamu wa Rais ni cheo kikubwa,
Makamu wa Rais sio mteule, yupo pale Kwa kuchaguliwa
Haiwezekani mbunge kidagaa amuite kiongozi wa juu kitaifa Yuda
Anamwita Yuda kuwa amesaliti nini?
Nani? Amesaliti Kwa nani?
Huyo mbunge Uyuda wa Makamu wa Rais ameujuaje?
Mbunge kutoka Zanzibar anamdhihaki makamu wa Rais kutoka Tanganyika kuwa anaenda kanisani ( udini). Sasa kama Mkristo ataendaje kufanya ibada muskitini anakotaka aende?
Nchimbi tafakari Kwa kina utoe maamzi
Pia soma Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi