Ni kawaida tena ni protokali kwa makamu wa rais kuwepo uwanjani kumwaga rais anapokuwa anasafiri kwenda nje ya nchi kwani hapo ndipo tendo la kukaimishana madaraka hufanyika. Lakini hilo halikutokea kwani makamu wa rais hakufika uwanjani. Nani amekaimishwa?
Pia tunaona mbunge mmoja kutoka Pemba akionekana kuzungumza kwa mafumbo na kumwita kuwa ni msaliti lakini ni wazi alikuwa akimaanisha makamu wa rais.
Ndugu zangu hili jambo sio dogo hadi kufikia mbunge kumwita makamu wa rais Yuda (msaliti). Nini kinaendelea?
Pia tunaona mbunge mmoja kutoka Pemba akionekana kuzungumza kwa mafumbo na kumwita kuwa ni msaliti lakini ni wazi alikuwa akimaanisha makamu wa rais.
Ndugu zangu hili jambo sio dogo hadi kufikia mbunge kumwita makamu wa rais Yuda (msaliti). Nini kinaendelea?