maisha

  1. Mtunza siri zako

    Kitu gani ulikiona kwa mwanaume au mwanamke ukajua huyu siyo wako wa maisha (sio future mume / mke)

    Niliona uchafu wa haja kubwa kwenye nguo yake ya ndani, nikajua kama mwanaume hawezi kutawaza vizuri basi pia hawezi kuja kua kichwa cha familia yangu. Niliona anavyoongea kwa dharau na mzazi yake nikajua huyu hana heshima kuanzia nyumbani kwao, hanifai. Alinipigha alivyotoka mpirani amelewa...
  2. The Black Hermit

    Pikipiki gani inanifaa kwa matanuzi ya hapa na pale katika maisha?

    Habari wadau, sina uhakika kama jukwaa hili linafaa kwa hoja yangu hivyo natanguliza samahani kwa atakayekwazika. Nimefikiria na kuamua niishi mbali na kituo cha kazi na niwe nakuja na usafiri wangu binafsi kuliko kukaa karibu na kituo cha kazi. Baada ya kufikiri sana, nimekuja na wazo la...
  3. DR HAYA LAND

    Katika maisha hakuna msamiati wa kuchelewa kila wakati ni wakati sahihi kwakuwa watu wengi tunajua tunataka nini ila hatujui hiyo nini hasa!

    Ukirudisha Majira na Nyakati Nyuma . Yawezekana hapo ulipo ungeambiwa utafika hapo wewe mwenyewe usingekubali kirahisi. Mfano ungeambiwa kuwa utafikisha miaka 30 bila kuolewa bila mtoto bila degree au diploma bila Kazi ya uhakika au Biashara bila Pesa, lazima ungekataa kabisa . Ila ndo...
  4. R

    Haya ndio mateso matano yanayotesa watu wengi, kila mtu huyapitia kwa namna na jinsi yake, ni ngumu kuyakwepa

    MAHUSIANO - Kuna watu wanapigania sana mahusiano yao yasivunjike, kuna waliochoka na mahusiano wanatafuta mlango wa kutokea lakini hawauoni mlango wa kutoka, wengine wana kiu ya mahusiano wanautafuta mlango wa kuingilia lakini hawauoni, watu wanasalitiwa na kuachiwa vidonda vya milele, mtu...
  5. Nehemia Kilave

    Nadhani Siasa za 2025 zishakwisha tunapoendelea kupambania Maisha na Afya zetu tujadili hivi vifurushi vipya vya NHIF

    Habari jf , ni vifurushi vya Ngorongoro na Serengeti kwa kuanzia :- 1. Kuna dawa muhimu zimetolewa 2.Gharama zimeongezeka 3.kuna ukomo wa gharama zako za kutibiwa Nini kifanyike kuboresha hivi vifurushi na huduma za afya ?
  6. Faana

    Picha: Hivi ndivyo waafrika walifurahia maisha katika miaka ya 1970

    Sina maneno Sina maneno, ila ukweli ndiyo huu
  7. Mr Beach Boy

    Nina hizi option tatu kwenye safari ya maisha yangu.

    Kwa haraka haraka 01.Nimepata mtalaamu(mganga) wa kunipa utajiri wa masharti ya kuchinja kondoo 4 kila mwaka 02.Nimepata mtalaamu wa uhakika wa kunisaidia kuoa jini.(Jina litanipa utajiri) 03.nimepata agent wa uhakika wa kunitafutia kazi unskilled job Canada Dubai na Qatar.. Nipo njia panda...
  8. fimboyaukwaju

    Usiyaogope maisha

    Ndio maisha kwa sasa ni magumu sana,najua vijana wengi wanayaogopa,wana hofu kubwa na wengine wamekata tamaa, lakini nawaambia msiyaogope maisha, pambaneni na kwa lugha yenu mtatoboa. Na kwa yule anayetaka msaada wa mawazo au mbinu za kujikwamua njooni inbox, nitakusaidia ila usije kuomba pesa...
  9. Mshana Jr

    Maisha ya Siri ya Viwavi

    Viwavi ni hatua ya mabuu ya vipepeo na nondo, wanaochagiza fungu muhimu katika mzunguko wa maisha wa wadudu unaoitwa metamorphosis. Viumbe hawa wadogo wanaweza kuonekana wa kawaida lakini ni mabwana wa mabadiliko ya asili. Tangu wanapoangua kutoka kwenye mayai, viwavi huanza kula—bila kukoma...
  10. ELI COHEN

    Masikini tumebobea katika uchambuzi wa maisha ya tajiri lakini inapokuja upande wetu tukichambuliwa tunasema ni unfair huku tukipoint ni mkono wa mtu.

    🤣habari za tajiri muulize masikini. Utasikia: "Oooh yani mwanaume mzima kama yule anatembela IST" "Oooh ule ukuta hakupaswa kuufanyia vile skimming" "Ooh yani jamaa ana hela ila mke wake anasuka twende kilioni" Yakija maswala yake sasa utasikia ooh mtaani hapa watu wanafuga fisi ndio maana...
  11. Maleven

    Nataka nianze maisha ya ubinafsi, hela yangu iwe yangu tu

    Nimekua mtoaji sana kwa ndugu jamaa na marafiki, mara nyingi hela niliotoa huwa inakaribia au hata kuzidi matumizi ya familia yangu. Nataka nijaribu maisha ya ubinafsi nione kama kuna kitu kitabadilika, huwa naamini kutoa kuna baraka, ila sasa nataka kujaribu "huwezi kua tajiri bila kua...
  12. Mr Why

    Maamuzi ya mwanadada Catherine Kahabi ya kuishi maisha ya kilokole yasiwe sababu ya kuingilia sanaa pamoja na kukosoa viongozi wa Serikali

    Maamuzi ya mwanadada Catherine Kahabi ya kuishi maisha ya kilokole yasiwe sababu ya kuingilia sanaa pamoja na kukosoa viongozi wa Serikali Catherine amekuwa akimkosoa Mh Kabudi alipopendekeza Muziki wa Singeli kuwa moja ya alama ya sanaa ya Tanzania jambo ambalo litasaidia kukuza utamaduni...
  13. Mhafidhina07

    Inakuwaje tunalazimishana Maisha ya utajiri wakati kila mtu ana malengo yake?

    Inakuwaje mnataka kuset standard ya maisha kwa kila mmoja wetu,tumeziharibu tamaduni kwa kuifanya dunia yote iwe na tabia moja,akili na muelekeo mmoja. Tunaforce kila mmoja afikirie utajiri na kwanini isiwe elimu au watoto? Sikuhizi limezuka wimbi la vijana kukashifu ndoa hivi vijana mnakwama...
  14. kiss ov love

    Hivi mimi ni mvivu au nimechoka maisha🤔

    Habari za muda mrefu wana jukwaa Jana nilileta uzi wa jirani mlevi ambaye akilewa anatukana usiku, nashangaa leo nimerudi sisikii kelele zako, enewei tuachane na hayo. Siyo lengo la uzi. Iko hivi, mimi nahisi nimerithi tabia ya uvivu, naweza nikalala usiku nikajisemea moyoni kabisa kuwa kesho...
  15. LIKUD

    Video : Popoma anazidi kutrend kwenye mitandao ya kijamii

    Watu wa kanda ya ziwa huwa nawakubali Sana jinsi wanavyo ongea. They are so funny. Check video ya huyu popoma kutoka kanda ya ziwa inavyo trend. Tunasubiri interview kama Abass Chionda.
  16. Lakikunene

    Sina amani ya maisha sababu ya aibu ya pombe

    Ndugu zangu sina hamu kabisa na haya maisha kwakuwa kila kona najulikana kuwa Mimi ni mlevi wa pombe Niliamua kuacha kabisa lakini naona aibu bado nikubwa hasa kila ninapopita nahisi watu wananisema Mimi si majirani pekee hata ninao fanya nao kazi kila siku wananisema Mimi Je nitafanyaje...
  17. Sognsvann

    Natafuta mwenza (Mke) wa maisha kwa Uhusiano wa Kudumu

    Mimi ni mwanaume mpole, mnyenyekevu, nipo kwenye umri wa miaka 40 ya awali (early 40s). Natafuta mwenza(mwanamke) wa maisha kwa ajili ya uhusiano wa kudumu unaoelekea kwenye ndoa. Ninathamini upendo wa kweli, uaminifu, na ukuaji wa pamoja. Kuhusu Mimi: Ni mwanaume ninayejiheshimu na pia ni mtu...
  18. Expensive life

    Kama una miaka 40 na bado unaendelea kutafuta ajira, haupo serious na maisha

    Wakuu, sikejeli mtu hapa, lakini lazima tuambiane ukweli. Miaka 40 siyo ya kutafuta ajira, umri huo wewe ndio unatakiwa utafutwe eidha na taasisi za kiserikali au sekta binafsi. Hapa watakuwa wanatizama uzoefu wako. Lakini siyo eti kila siku upo road na mavyeti yako unaenda kupiga interview na...
  19. Damaso

    Hesabu za MAGAZIJUTO kwenye maisha (Parody)

    Kusaidia fundi kwa siku ni 7,000/= Kwa wiki ni 7,000×7= 49,000/= Kwa mwezi ni 49,000×30 = 1,470,000/= Kwa Mwaka ni 1,470,000×12 = 17,640,000/= Toyota IST used bei yake ni 6,000,000/= Swali ni je, mbona huna gari? ---------------------------------------------- Kauli za watu walioshiba makande na...
  20. chiembe

    Je chadema itaunda vikosi vya kuvamia vikao vya vyama vingine vitakapokuwa vinapitisha wagombea wao, au watawatishia maisha wagombea?

    Je chadema watatumia mbinu hii ya kufanyia vyama vingine vurugu ili visipitishe wagombea, au kitawadhuru au hata kuwatishia maisha watu watakaotumia haki yao kugombea pamoja na familia zao? Haya ndio mambo ya kujadili, nadhani wanapanga uhalifu mkubwa sana kuuwa watu wasio na hatia
Back
Top Bottom