maisha yetu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. To yeye

    Maisha yetu ni mafupi sana

    Aliposema nitakuja kama mwivi, hakika anamekuja kama mwizi. Yaani sasa hivi huwezi jipangia au kujikadiria nitafika muda au umri gani. Tunaishi tu, ukiishi muda mrefu ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu. Yaani sasa hivi kifo ni muda wowote, popote na kwa vyovyote. Tumuombe Mungu atupe mwisho...
  2. Ngully28

    SoC02 Maisha yetu yako vichwani mwetu ila utekelezaji upo mikononi mwetu

    Ni ukweli usiopingika kuwa hakuna kisichowezekana katika maisha kwani tuna mifano mingi ya watu waliozaliwa katika familia maskini ila wakawa kuja matajiri. Tambua kuwa umakini, uthubutu na jitihada zako ndizo zinaweza kuamua kesho yako. Wapo waliobahatika kupata pesa ila hawakudumunazo...
  3. M

    SoC02 Jamii na Teknolojia katika kubadilisha maisha yetu

    MAKALA HII IMEANDALIWA NA: TRIPHONY RAYMOND MASONDA PROFESSIONAL: IT specialist -Ili jamii zistawi na kustawi, uvumbuzi wa kiteknolojia umekuwa wa lazima, wakati huo huo utamaduni, maadili na matarajio ya jamii za wanadamu yameunda jinsi ustaarabu huo ulivyounda, kufaidika, na kuzuiwa na...
  4. BestOfMyKind

    Nchi ngumu sana hii. Watu hatupo serious na maisha yetu

    Yaani watz tunavyoishi ni kama vile bado tunajifunza kuishi. Ni kama vile tupo mafunzoni yaani hata ukikosea mara mia kwa kufanya makosa yale yale utajirekebisha kwenye maisha yenyewe haya yakipita. Hatupo sirias kabisa. Kila kitu kimepanda bei kasoro mazao ya mkulima tu yaliyo shambani. Yaani...
  5. H

    Tunapoteza muda mwingi darasani kusoma vitu ambavyo havina msaada na maisha yetu

    Kwa takriban miongo sita (6) nchini Tanzania tunazidi kuwa Wimbi la ajira kwa vijana wanaotoka mashuleni kwa sababu ya kile tunachofundishwa darasani. Kwa sababu, tunafundishwa masomo ya kukariri na kwenda kujibia mtihani, kitu ambacho baada ya kufaulu ndipo unapoonekana ulielewa darasani ama...
  6. Mwande na Mndewa

    Mungu ni muandaaji na muongozaji bora wa filamu za maisha yetu

    Leo 12:15hrs 19/06/2022 Maisha ya mwanadamu ni filamu "movie" ambayo Mungu ameiandaa na anaiongoza mpaka mwisho wake,binafsi naifurahia na naendelea kuifurahia filamu ya maisha yangu hadi hapo mwisho, naamini mmewahi kuangalia filamu "movie" fulani mkavutiwa nayo na mkapenda kujua muongozaji...
  7. L

    Tunapaswa kulinda mazingira kama macho yetu, na kuyathamini kama maisha yetu

    Pili Mwinyi Suala la matumizi mabaya ya mazingira pamoja na uharibifu wake, kwa muda mrefu limekuwa likileta madhara makubwa na ya kudumu kwa maisha ya binaadamu. Wahenga wanasema “Kamwe hatutakuwa na jamii ya binadamu kwenye uso wa dunia, kama tutaharibu mazingira”. Ni hivi majuzi tu dunia...
  8. DR HAYA LAND

    Kiufupi vijana tufanye kazi na tumuombe Mungu hakuna Mwanasiasa was kubadilisha Maisha yetu ni Juhudi zetu na Mungu tu.

    Kiufupi nimejionea Mengi Sana hapa Tz kuhusu siasa zetu . Ni takribani mwongo Mmoja tangu Kupata ufahamu wa siasa . Wanaofadika Ni wao tu kila mwaka Hivyo kuwasikiliza Ccm na Vyama vingine nikupoteza Muda wetu they work on their families benefits na sio sisi ambao hatuna connections...
  9. Theb

    Tuishi maisha yetu halisi tuache maigizo tutaumbuka

    Habari zenu wakuu. Leo nimemua kuandika kidogo baada ya kukaa muda mrefu bila kuandika humu JF. Maisha yetu wengi wetu vijana wa kike na wakiume ni ya kawaida kama sio chini. Ila utakuta sisi ambao tuna pata kidogo lakin tunatumia kingi, nikimaanisha tunafanya saana anasa, hatuna tafakari...
  10. Bess

    Roman empire ilivyoacha matokeo ya maisha yetu ya sasa

    Karne ya 1= kanisa la mitume, ikielezewa sana na kitabu cha Matendo ya mitume. Huku warumi wakitawala Karne ya 2-3= kanisa la mateso, himaya ya Roma ikilitesa kanisa Karne ya 4= mfalme wa Roma anakuwa Mkristo, Romans hawakukubali kupoteza kila kitu, wanaingiza ibada zao pia kama mishumaa...
  11. Frumence M Kyauke

    Usingizi katika maisha yetu ya kila siku

    Unahitaji Usingizi Wa Saa Ngapi Kwa Siku? Faida Za Usingizi. Watu wengi wanakibanwa na ratiba ngumu za kazi au wakipatwa na tatizo la kukosa usingizi, huona kuwa kuendelea kuishi kwa kupunguza saa za kulala ndilo suluhisho. Ukweli ni kwamba kupunguza muda wa kulala hata kama ni kwa kiasi kidogo...
  12. Robert Heriel Mtibeli

    "Nadharia ya Ugwekaji" Athari za Ugwekaji katika maisha yetu.

    UGWEKAJI JINSI UNAVYOATHIRI MAISHA YETU. Mwandishi, Robert Heriel 0693322300 Kazi: "Natharia ya UGWEKAJI" Maandiko ya Robert Heriel katika Lugha ya Kiswahili. © 2021 Haki zote ZIMEHIFADHIWA. DONDOO Muhtasari wa Nadharia ya UGWEKAJI UTANGULIZI Ulishawahi kufikiri mtu...
  13. DustBin

    SoC01 Kama tutayapuuza mazingira yetu, tutayaharibu maisha yetu

    Watu waliostaarabika kimaadili na mienendo huhifadhi mazingira yao kwa kutambua kuwa kufanya hivyo ndio kuhifadhi maisha yao. maana sahihi ya neno mazingira, ni kila kitu kinachomzunguka mwanadamu pale anapoishi. Mazingira hujumuisha mazingira ya nchi kavu, mazingira ya angani na mazingira ya...
  14. Juandeglo

    Urafiki katika maisha yetu

    Hello friends. Leo katika story na sista wangu, nikagundua kuna shida ya mahusiano yabkirafiki inayopata wengi. Akanieleza jinsi ambavyo amekuwa hana bahati ya marafiki wa kweli, kqamba kila rafiki wa kike anayempata wanakuwa masnitch, wanafiki, wana wivu and all the like. Akanieleza jinsi...
  15. Financial Analyst

    Majina ya kurithi na nguvu zake juu maisha yetu

    Kwa kawaida katika jamii zetu tuna utamaduni wa watoto kupatiwa majina ya wanafamilia waliowatangulia, kwa mfano babu, bibi, mjomba, mama kubwa, etc. Lakini kumekuwa na upande mwingine wa story kutokana na utamaduni huu, namaanisha matokeo baada ya haya majina kupatiwa watoto. ■ Inasemekana...
Back
Top Bottom