DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,789
- 44,876
Kiufupi nimejionea Mengi Sana hapa Tz kuhusu siasa zetu .
Ni takribani mwongo Mmoja tangu Kupata ufahamu wa siasa . Wanaofadika Ni wao tu kila mwaka
Hivyo kuwasikiliza Ccm na Vyama vingine nikupoteza Muda wetu
they work on their families benefits na sio sisi ambao hatuna connections.
Binafsi I'm not ready kupoteza Muda wangu kumuunga Mkono. Mwanasiasa wa Tz .
Wao Ni mwendo wa cheers
Vijana tufanye Kazi hakuna pesa za bure hasa nyie Uvccm mnaokaa kutukana watu mitandaoni na Elimu zenu za Chekechea huku mkitegemea Huruma ya Mama Fahamu siku zenu za majuto ziko njiani.
Ni takribani mwongo Mmoja tangu Kupata ufahamu wa siasa . Wanaofadika Ni wao tu kila mwaka
Hivyo kuwasikiliza Ccm na Vyama vingine nikupoteza Muda wetu
they work on their families benefits na sio sisi ambao hatuna connections.
Binafsi I'm not ready kupoteza Muda wangu kumuunga Mkono. Mwanasiasa wa Tz .
Wao Ni mwendo wa cheers
Vijana tufanye Kazi hakuna pesa za bure hasa nyie Uvccm mnaokaa kutukana watu mitandaoni na Elimu zenu za Chekechea huku mkitegemea Huruma ya Mama Fahamu siku zenu za majuto ziko njiani.