Tunapoteza muda mwingi darasani kusoma vitu ambavyo havina msaada na maisha yetu

Hammyboytz

New Member
Jul 18, 2022
2
11
Kwa takriban miongo sita (6) nchini Tanzania tunazidi kuwa Wimbi la ajira kwa vijana wanaotoka mashuleni kwa sababu ya kile tunachofundishwa darasani.

Kwa sababu, tunafundishwa masomo ya kukariri na kwenda kujibia mtihani, kitu ambacho baada ya kufaulu ndipo unapoonekana ulielewa darasani ama una akili, lakini changamoto inakuja kuigeuza hiyo akili yako ya darasani kuja katika maisha yako ya kila siku.

Mwanafunzi au mhitimu wa elimu anapotoka shule moja kwa moja anakuwa amejengewa picha akilini mwake kwamba akaajiriwe, sasa anapokosa ajira anakuwa hana namna yoyote ya kufanya ili kujiongezea kipato na maisha yake ya kila siku sana sana wale ambao wanakuwa wamesomea ualimu ndio hupata fursa ya kuanzisha vituo vya elimu ya ziada yaani (tuition) baada ya hapo hakuna lingine linaloweza kufanywa na wahitimu wengine wa ngazi mbali mbali za elimu walizosomea.

Hali hii haiwezi kuisha leo au kesho kutokana na mitaala yetu ya elimu ilivyowekwa abadani (labda yesu arudi)

NINI KIFANYIKE?
Kinachotakiwa kufanyika si kingine bali ni kuachana na kuwakaririsha wanafunzi wetu nini cha kwenda kujibu kwenye mitihani mapemaaa.

Mtoto au mwanafunzi anapoanza shule moja kwa moja yeye anakuwa na ndoto zake juu ya maisha yake ya baadae, lakini pia zile za what is civics what is history nk sioni kama zina msaada kwa mwanafunzi husika

Hivyo basi kitu cha kwanza kufanyika ni kuhakikisha mwanafunzi anajitambua, anajua kusoma na kuandika vizuri na baada ya hapo mwanafunzi apewe fursa ya kuchagua mwenyewe nini anataka kufanya katika maisha yake bila kumbeza aanze kufundiswa juu ya anachokipenda au kukifikiria kufanya katika maisha yake.

Kwa akili ya kawaida unaweza kuona ni jambo lisowezekana lakini hii ni njia ya kuwakwamua wanafunzi na Wimbi la ukosaji wa ajira kwa asilimia 99.
 
Ni wakati sasa wa kuhamia kwenye mitaala yenye maudhui ya kiteknojia, ubunifu, kuvumbua vipaji mbalimbali vya watoto, kubobea kwenye ujuzi, ufundi, kujiajiri, nk.

Hii mitaala ya kukaririshana 'what is biology?' what is archmedes principle? causes of the First World War! haina tija kwenye dunia ya sasa!
 
Kusoma shule kwa elimu hizi ni upuuzi tu.
Ni wakati sasa wa kuhamia kwenye mitaala yenye maudhui ya kiteknojia, ubunifu, kuvumbua vipaji mbalimbali vya watoto, kubobea kwenye ujuzi, ufundi, kujiajiri, nk.

Hii mitaala ya kukaririshana 'what is biology?' what is archmedes principle? causes of the First World War! haina tija kwenye dunia ya sasa!

Mnamkwama wapi tusaidizane wakuu?
 
Elimu bila kukariri hainogi wala! Kukariri ni mwanzo wa kuelewa. Wanafunzi tusiishie kukariri tu, tujifunze kujifunza kuelewa mambo.

Kuna watu wamekaririshwa pia kwamba kinachoikwamisha elimu yetu ni kukariri darasani. Huo nao ni ulemavu mwingine.
 
Hebu tujikumbushe debate zetu bwana
1:"Education is better than money"
2: "Money is a source of evil"😀(unazijua dhambi wewe???) Masikini anazo dhambi hadi kwenye visigino
By the way "Elimu yako bila pesa Haina maana"
 
Kwa takriban miongo sita (6) nchini Tanzania tunazidi kuwa Wimbi la ajira kwa vijana wanaotoka mashuleni kwa sababu ya kile tunachofundishwa darasani.

Kwa sababu, tunafundishwa masomo ya kukariri na kwenda kujibia mtihani, kitu ambacho baada ya kufaulu ndipo unapoonekana ulielewa darasani ama una akili, lakini changamoto inakuja kuigeuza hiyo akili yako ya darasani kuja katika maisha yako ya kila siku.

Mwanafunzi au mhitimu wa elimu anapotoka shule moja kwa moja anakuwa amejengewa picha akilini mwake kwamba akaajiriwe, sasa anapokosa ajira anakuwa hana namna yoyote ya kufanya ili kujiongezea kipato na maisha yake ya kila siku sana sana wale ambao wanakuwa wamesomea ualimu ndio hupata fursa ya kuanzisha vituo vya elimu ya ziada yaani (tuition) baada ya hapo hakuna lingine linaloweza kufanywa na wahitimu wengine wa ngazi mbali mbali za elimu walizosomea.

Hali hii haiwezi kuisha leo au kesho kutokana na mitaala yetu ya elimu ilivyowekwa abadani (labda yesu arudi)

NINI KIFANYIKE?
Kinachotakiwa kufanyika si kingine bali ni kuachana na kuwakaririsha wanafunzi wetu nini cha kwenda kujibu kwenye mitihani mapemaaa.

Mtoto au mwanafunzi anapoanza shule moja kwa moja yeye anakuwa na ndoto zake juu ya maisha yake ya baadae, lakini pia zile za what is civics what is history nk sioni kama zina msaada kwa mwanafunzi husika

Hivyo basi kitu cha kwanza kufanyika ni kuhakikisha mwanafunzi anajitambua, anajua kusoma na kuandika vizuri na baada ya hapo mwanafunzi apewe fursa ya kuchagua mwenyewe nini anataka kufanya katika maisha yake bila kumbeza aanze kufundiswa juu ya anachokipenda au kukifikiria kufanya katika maisha yake.

Kwa akili ya kawaida unaweza kuona ni jambo lisowezekana lakini hii ni njia ya kuwakwamua wanafunzi na Wimbi la ukosaji wa ajira kwa asilimia 99.
Ccm ndio shida!
 
Kwa takriban miongo sita (6) nchini Tanzania tunazidi kuwa Wimbi la ajira kwa vijana wanaotoka mashuleni kwa sababu ya kile tunachofundishwa darasani.

Kwa sababu, tunafundishwa masomo ya kukariri na kwenda kujibia mtihani, kitu ambacho baada ya kufaulu ndipo unapoonekana ulielewa darasani ama una akili, lakini changamoto inakuja kuigeuza hiyo akili yako ya darasani kuja katika maisha yako ya kila siku.

Mwanafunzi au mhitimu wa elimu anapotoka shule moja kwa moja anakuwa amejengewa picha akilini mwake kwamba akaajiriwe, sasa anapokosa ajira anakuwa hana namna yoyote ya kufanya ili kujiongezea kipato na maisha yake ya kila siku sana sana wale ambao wanakuwa wamesomea ualimu ndio hupata fursa ya kuanzisha vituo vya elimu ya ziada yaani (tuition) baada ya hapo hakuna lingine linaloweza kufanywa na wahitimu wengine wa ngazi mbali mbali za elimu walizosomea.

Hali hii haiwezi kuisha leo au kesho kutokana na mitaala yetu ya elimu ilivyowekwa abadani (labda yesu arudi)

NINI KIFANYIKE?
Kinachotakiwa kufanyika si kingine bali ni kuachana na kuwakaririsha wanafunzi wetu nini cha kwenda kujibu kwenye mitihani mapemaaa.

Mtoto au mwanafunzi anapoanza shule moja kwa moja yeye anakuwa na ndoto zake juu ya maisha yake ya baadae, lakini pia zile za what is civics what is history nk sioni kama zina msaada kwa mwanafunzi husika

Hivyo basi kitu cha kwanza kufanyika ni kuhakikisha mwanafunzi anajitambua, anajua kusoma na kuandika vizuri na baada ya hapo mwanafunzi apewe fursa ya kuchagua mwenyewe nini anataka kufanya katika maisha yake bila kumbeza aanze kufundiswa juu ya anachokipenda au kukifikiria kufanya katika maisha yake.

Kwa akili ya kawaida unaweza kuona ni jambo lisowezekana lakini hii ni njia ya kuwakwamua wanafunzi na Wimbi la ukosaji wa ajira kwa asilimia 99.
Kweli kabis
 
mwanafunzi anapoanza shule moja kwa moja yeye anakuwa na ndoto zake juu ya maisha yake ya baadae, lakini pia zile za what is civics what is history nk sioni kama zina msaada kwa mwanafunzi husika
Ndoto gani anayokuwa nayo mtoto anapoanza Shule, mtoto mwenye miaka sita(6) anakuwa na ndoto kweli, hii miaka mtoto anajua nini kuhusu Carrier hapa Duniani. Katika huo umri ulifahamu Kuna Carrier inaitwa Data Analyst, Programmer, annotator, Logisctician nk au unazungumzia zile ndoto za "wewe unataka kuwa nani" polisi, daktari, Mwalimu.
 
Ndoto gani anayokuwa nayo mtoto anapoanza Shule, mtoto mwenye miaka sita(6) anakuwa na ndoto kweli, hii miaka mtoto anajua nini kuhusu Carrier hapa Duniani. Katika huo umri ulifahamu Kuna Carrier inaitwa Data Analyst, Programmer, annotator, Logisctician nk au unazungumzia zile ndoto za "wewe unataka kuwa nani" polisi, daktari, Mwalimu.
Ameongelea vipaji, kwa umri huo utakuwa umejua kipaji chake!
 
Back
Top Bottom