mahusiano

  1. DELETED ACCOUNT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hersi Said amepotosha kuhusu mkataba wa Yanga na kampuni ya BlackBird AI

    Nimetoka kuangalia clip ya Rais wa Yanga Hersi Said akisema wameingia mkataba na kampuni ya Artificial Intelligence inayoitwa Blackbird AI. Kwa maelezo yake anasema mkataba huu ni kwa ajili ya kuiwezesha Yanga kupata analysis za wachezaji wakiwa mazoezini na katika mechi. Huu ni upotoshaji...
  2. USSR

    JamiiForums Tanzania Msanii/Mchungaji Christina Shusho: Nipo kwenye mahusiano serious na mtu wangu ana wivu sana

    Sanii wa nyimbo za injili na mchungaji ametangaza kuwa yupo kwenye mahusiano serious na mtu mwenye wivu na asiyetaka kuonekana . Awali ndoa yake ya muda na mme wake mbaye pia ni mchungaji mchungaji Shusho ilivunjika na kila mtu akaendelea na huduma yake . Mchungaji na msanii chistina Shusho...
  3. Damaso

    JamiiForums Tanzania Picha za Ikulu, Mitandao, na Maadili: Ni nani aliyevunja kanuni?

    Kusambaa kwa picha za Rais Samia Suluhu Hassan akiwa na mgeni wa kiume Ikulu kumezua gumzo kubwa mitandaoni, likizua maswali mazito kuhusu heshima ya Ofisi ya Rais na maadili ya jamii. Hoja ya msingi si tu uwepo wa mgeni huyo, bali zaidi namna alivyovaa na mkao wake, ambao baadhi ya wananchi...
  4. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke ukitaka kuolewa kuwa kwenye mahusiano na mwanaume anayekupenda na sio unayempenda wewe

    Hapo vip!! Wasichana au wanawake wengi wanabaki masingle mothers na kutelekezwaa kwasababu anakuwa kwenye mahusiano na mwanaume anayempenda..wanawake wengi huwa wanawazaliwa wanaume wanaowapenda wakifikiri ndio njia ya kuolewa kumbe ameamua mwenyewe kuwa single mother kwasababu mwanaume anamuoa...
  5. Raia mpya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama huna sababu usiingie kwenye mahusiano

    Ndugu zangu kama kijana mwenzenu nawashauri kama huna sababu za msingi usiingie kwenye mahusiano, Mahusiano ya sasa ni hasara tupu, hakuna faida hata moja utakayopata zaidi ya kujiongezea matatizo.
  6. Raia mpya

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnafanyaje hadi mnapendwa?

    Wanangu tupeane code kidogo hivi nyie mnafanyaje fanyaje mpka mwanamke anakupenda kabisa, kuda dada kila siku lazima ampost mwana ake yaani deile ,kuna ile wegine wanawake mpka wanawagombania hivi nyie mnafanyaga nini mpka inakuwa hivyo? Au ndio hela?
  7. Mr George Francis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtihani wa taifa wa somo la mahusiano mwaka 2025

    MTIHANI WA TAIFA WA SOMO LA MAHUSIANO MWAKA 2025. JIBU MASWALI YOTE. Kulia inaruhusiwa kwenye chumba cha mtihani. 😂 1. Umekuwa kwenye mahusiano na mtu kwa miaka (5) mitano lakini ghafla amekuacha na ameenda kuoana na mtu mwingine. Piga hesabu ya muda uliopoteza. (Maksi 15) 2. Umenunua zawadi...
  8. Mr George Francis

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtihani wa taifa wa somo la mahusiano mwaka 2025

    MTIHANI WA TAIFA WASOMO LA MAHUSIANO MWAKA 2025. JIBU MASWALI YOTE. Kulia inaruhusiwa kwenye chumba cha mtihani. 😂 1. Umekuwa kwenye mahusiano na mtu kwa miaka (5) mitano lakini ghafla amekuacha na ameenda kuoana na mtu mwingine. Piga hesabu ya muda uliopoteza. (Maksi 15) 2. Umenunua zawadi...
  9. Blueboy Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kutaja sababu ya pisi/mrembo wa kwanza kumpenda kukataa na kuchoma kibanda

    Oya wajomba kila mwanaume kuna mrembo wa kwanza kumpenda na kuamini kabisa ile mali ndo ilikuwa ya maisha. Na ulitumia mda mwingi sanaa kipiga swaga lakin dakika za jioni bado alichoma kibanda. May be Yeye alichukulia powa, au kuna kipengele kiliingilia katikat ukamkosa ukapitia kwa stress za...
  10. Diwani

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namna pesa inabadilisha vijana kwenye mahusiano.

    Hapa nazungumzia sana vijana ambao wanajitafuta kwa wakati huu; mara nyingi jamii inawapa msukumo wa kutafuta hela na inawathibitishia kwamba bila kuwa na pesa wao si kitu na hawana nafasi ya kimaamuzi au ushawishi wowote kwenye jamii na hata kwenye mahusiano. Vijana (ME) kwa sababu ya fikra...
  11. Inside10

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Enyi Wadada Kabla Hujaingia Kwenye Mahusiano Na Mwanamme Mwenye Miaka 34-40 Sikiliza Hii

    https://www.instagram.com/reel/DNXjr6kMXuQ/?igsh=ZTR6Nm1qeG00dXE0
  12. Stability

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu nisaidieni mawazo, mshangazi kani surprise geto alafu age mate wangu nae tuna mihadi na yuko nje na boda boda ila nyumba nayoishi ameisahau

    Nimwambiaje sasa , chap jaman
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fuatilia huyo mchumbaako wa kike ana/alikuwa na mahusiano gani na Babaake. Kwa sababu future yenu ipo hapo

    Hamjambo! Baada ya kuchunguza historia ya mahusiano yake, past yake ambayo kwako ndio future ya uhusiano wenu. Jambo la pili kubwa ni kuangalia mahusiano ya huyo mchumbaako wa kike na Babaake. Asilimia tisini na tisa Wanawake ambao ni Wife material wana uhusiano bora na Baba zao. Wanapendwa...
  14. Hyrax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila mwanamke mrembo unayemuona, ana mwanaume ambaye amechoka kuwa naye kwenye mahusiano

    Take Note.
  15. kanye west

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahusiano yasiyo na maana

    Wakuu kwema humu... . Kila mtu lazima atakua matarajio yake kwenye maisha hususani swala la kuwa na ffamilia..swali langu je unaweza kuoa mwanamke ambaye anamtoto.? Binafsi siwezi kabisa
  16. GoLC

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wife Material ndio yupi?

    Habari za asubuhi wana MMU. Niende kwenye mada. Huwa napita sana humu kwenye nyuzi na kugundua kuwa wengi walioko humu ni Gen Z. Hii ni kutokana na mada zao wanazoanzisha, au kwa namna wanavyochangia. Sasa kwa sisi Gen late 70s tunapatwa ukakasi wa kuchangia mada. Ila kwa kuwa mimi ni mshauri...
  17. Bi zandile

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mtume Paulo hakuingia katika mahusiano kwa maisha yake yote.

    Kuna mambo mawili hapa ya kuthibitisha kuwa mtume hakuwahi kuwa katika mahusiano: #1. Paulo alisema wazi kabisa kuwa alikuwa mseja (1Kor. 7:7-8). Aliandika mafundisho mengi kuhusu ndoa mara nyingi sana - lakini kamwe hakuwahi kuandika kuhusu yeye mwenyewe kuwa katika ndoa. Katika...
  18. tonicimmobility

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jamaa ameenda kudai figo kwa mke wake aliyomchangia baada ya kuachana

    Daktari wa upasuaji wa New York, Dk Richard Batista aliushangaza umma alipomtaka mkewe aliyeachana naye amrudishie figo aliyokuwa amemchangia au amlipe fidia ya dola milioni 1.5 ambayo ni sawa na 3,906,109,089/= ya kitanzania Soma pia: NILIMPA FIGO YANGU Huko nyuma mwaka wa 2001, Batista...
  19. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulijuaje upo kwenye mahusiano na kicheche bed to bed midfielder na haukuwahi kumdhania?

    Alikuwa mkimya, mtiifu. nilidhani kwa dhati kuwa nimempata wangu wa ubani. Nilikuwa nimejipanga kabisa awe mama wa watoto wangu. Hata siku moja sikuwahi kumtilia shaka. siku chache za mwanzo nilikuwa navaa kinga lakini sikuona natosheka, tulivyopima na kuona majibu yapo nega nikaanza kupiga...
  20. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mnapoanza kusave majina kama m23, m24 kwenye mahusiano khaa kazi ipoo

    Jana nilikuwa na gfriend kidogo tulienda outin Wiki tatu zilizopita nilimuudhi kidogo Gaflaa nkasema nipige simu yake analalamika haitoi sauti Kupiga naona nimesaviwa M23 Nkashtuka nkamuliza kwa ubaya gani umenipa jina kama hili Mns kuna m24..m25...akaishia kusema sorry alikasirishwa...
Back
Top Bottom