mahindi

  1. Bajeti ya kunguru

    JamiiForums Tanzania Mchango juu ya kilimo cha mahindi kwa uzoefu wangu

    Wakuu heri na amani na iwe kwenu ni matumaini yangu kuwa hamjambo kama mimi. Kabla sijaenda kwenye mada nikiri wazi kabisa kipaji cha kuandika sina ila ninauwezo wa juu wa kusikiliza na kuongea tena bila kipaza sauti,kwa kipaza sauti huwa nashindwa kuongea kwa kiwango nilicho nacho. Baada ya...
  2. Boniphace Kichonge

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Biashara, Innocent Bashungwa ahaha mahindi yafike DRC

    WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa amesema endapo Zambia haitaondoa vikwazo visivyo vya kisheria vya kuzuia mahindi, yanayotoka nchini kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo(DRC) kupita katika nchi yao, nao watawawekea vikwazo hivyo wasipitishe mizigo yao kuelekea Rwanda...
  3. Alhaji24

    JamiiForums Tanzania Nauza pumba za Mahindi nipo Arusha

    Nauza pumba ya Mahindi zipo gunia 40 kwa kila gunia ni sh 25,000 nipo Arusha kwa anaye hitaji tuwasiliane 0712244293 au 0620416881
  4. Heri lee

    JamiiForums Tanzania Nauza mahindi mabichi, maalum kwa ajili ya kuchoma

    Ndugu wana jamii kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nauza mahindi mabichi mahususi kwa ajili ya kuchoma.. Ninayo heka tatu ni yale makubwa mbegu DK 8031, Napatikana Moshi, nahitaji dalali au mtu anayeweza kuchukua yote kwa jumla, AU at least kuanzia heka moja..Huku wananunua matatu sh 1000...
  5. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Kwanini bongo kusikuwe na Black Friday tuchangamkie mahindi

    Mzuka! Ingependeza tungeiga hii makitu Black Friday kutoka kwa mabeberu ambayo ni kesho kuna punguzo la bei kwa kila bidhaa. Bongo ingekuwepo watu kesho tungechangamkia kununua magunia ya mahindi. Sasa hivi mahindi imeteka soko.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Soko huria hili? Wakulima wakizalisha mahindi mengi hakuna soko. Kukiwa na uhaba wa mahindi wanakumbukwa

    Kwa wale mliowahi kulima mahindi mnalijua hili utapata faida nzuri,pale tu ambapo wewe umepata wenzio hawajapata. Kwa lugha rahisi kabisa, mahindi hupanda bei kukiwa na uhaba na kwa muktadha waTanzania, ni lazima kuwe na uhaba wa mvua. Kama hali ya hewa ni nzuri nchi nzima,kutakuwa na mavuno...
  7. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa chama wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema kupanda kwa bei ya mahindi ni kwa sababu serikali hainunui chakula cha akiba

    Zitto alisema Rais John Magufuli ameongelea bei ya unga kupanda yupo sahihi kwa wakulima wanapaswa kupata bei nzuri ya mazao na serikali haipaswi kuingilia. “Amejifunza makosa ya korosho? Lakini sababu za bei kwa walaji kupanda ni serikali kutonunua chakula cha akiba Zitto aliandika ujumbe huo...
  8. MwanawaMUNGU41

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

    Habari wadau, Baada ya kuwa kwenye ajira kwa miaka 10 na kuona msoto uko pale pale,nimeamua kuingia kwenye kilimo kama njia ya kuongeza kipato cha ziada. Nimeanza kwa kukodi shamba Ruvu kwani mimi niko Dar na niko kamili kwa kuanza na heka 2. GHARAMA Nimekodi shamba laki 3(@150,000),nikafyeka...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nitumie mbolea gani?

    Nitumie mbolea ya aina gani katika ardhi ya kichanga?
Back
Top Bottom