Safi.Weka bei ya hapo ulipo kwa gunia la mahindi 100kg na maharage 100kg. Lengo ni kulinganisha bei ktoka maeneo mbalix2. Unakimbilia tu mtaji we vp? Usisahau kuweka na gharama za ukusanyaji na usafirishaji. In short,weka taarifa fupi na yenye takwimu
Gunia la Mahindi 100kg =Tsh 35000/, Maharage 100kg = Tsh 110,000/-200,000/Weka bei ya hapo ulipo kwa gunia la mahindi 100kg na maharage 100kg. Lengo ni kulinganisha bei ktoka maeneo mbalix2. Unakimbilia tu mtaji we vp? Usisahau kuweka na gharama za ukusanyaji na usafirishaji. In short,weka taarifa fupi na yenye takwimu