Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

Lootha L

New Member
Jun 7, 2020
3
0
Napatikana( Simanjiro) mji mdogo wa Orkesumet natafuta mtu mwenye mtaji tufanye biashara ya mazao kipindi hiki cha mavuno, mazao ya Mahindi na Maharage. Mawasiliano zaidi ni 0688057418 na 0757057873
 
Weka bei ya hapo ulipo kwa gunia la mahindi 100kg na maharage 100kg. Lengo ni kulinganisha bei ktoka maeneo mbalix2. Unakimbilia tu mtaji we vp? Usisahau kuweka na gharama za ukusanyaji na usafirishaji. In short,weka taarifa fupi na yenye takwimu
 
Weka bei ya hapo ulipo kwa gunia la mahindi 100kg na maharage 100kg. Lengo ni kulinganisha bei ktoka maeneo mbalix2. Unakimbilia tu mtaji we vp? Usisahau kuweka na gharama za ukusanyaji na usafirishaji. In short,weka taarifa fupi na yenye takwimu
Safi.
 
Weka bei ya hapo ulipo kwa gunia la mahindi 100kg na maharage 100kg. Lengo ni kulinganisha bei ktoka maeneo mbalix2. Unakimbilia tu mtaji we vp? Usisahau kuweka na gharama za ukusanyaji na usafirishaji. In short,weka taarifa fupi na yenye takwimu
Gunia la Mahindi 100kg =Tsh 35000/, Maharage 100kg = Tsh 110,000/-200,000/
 
Back
Top Bottom