mahari

Mahari is a ritualistic dance form from the eastern Indian state of Odisha that used to be performed at the temple of Lord Jagannatha at Puri by devadasi dancers called maharis. Following the abolition of the devadasi system, the dance has been discontinued at the Jagannatha Temple but is now performed on stage at many venues. The Mahari dance spurred the development of both Odissi and the Gotipua dance forms of Odisha. The Maharis have been among the foremost exponents of both traditional Odia dance and Odissi music.

View More On Wikipedia.org
  1. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ananiambia nijipange, kwao Mahari huwa ni kubwa. Nimempa assignment

    Huyu binti inawezekana kabisa nikaachana naye so soon kama hatokuja na majibu sahihi. Tume date muda kiasi na nlimwambia misimamo yangu toka mwanzo. Anafanya kazi nami nafanya kazi. Hakuna issue ya kupeana pesa. We share. Mimi sihongi hata siku moja. Tunapendana, basi tunakubaliana kupeana...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Mahari sio lazima, ni mila potofu ya kupingwa

    MAHARI SIO LAZIMA, NI MILA POTOFU YA KUPIGWA VITA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Moja ya Mila potofu isiyo na maana ni suala la Mahari. Hakuna sababu hata Moja yenye Maana ya MTU kutoa Mahari ndipo akabidhiwe MKE au Mume. Ni ujinga tuu! Na jamii ambayo sio za kiungwana ndio hufanya desturi...
  3. Desierto

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale ambao tunaishi na watoto wa watu na hatujapeleka hata 100 ya mahari tukutane huku

    Kusema ukweli huyu mwanamke ninaye ishi nae nilimchukulia kwa dada yake na kuamua kuanza maisha na yeye. Basi bhana ilitokea msiba nyumbani kwao ikabidi tuende wote, na baada ya msiba kuisha ikabidi mambo mengine yaendelee ikiwepo kikao kuyahusu maisha yangu na yeye lakini kwa busara zao...
  4. Mcqueenen

    JamiiForums Tanzania Tunapopigania haki sawa, Tohara kwa wanawake, Ubaguzi wa rangi, nk. Tusisahau pia kupinga Utoaji wa Mahari

    Utoaji wa mahari ni utamaduni ambao umekuwepo kwa muda mrefu katika jamii nyingi za Afrika na sehemu nyingine duniani. Hata hivyo, kuna sababu kadhaa ambazo zinaweza kufanya utoaji wa mahari kuonekana kuwa ni utamaduni uliopitwa na wakati. Kwanza, utoaji wa mahari unaweza kuchukuliwa kama aina...
  5. Ironbutterfly

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Familia yake wanataka kunitolea mahari

    Habari za eid pili waungwana, Iko hivi, nimejaliwa kuzaa watoto wawili wa kiume na bwana mmoja. Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo, hatukuoana na huyo bwana. Watoto wote nilikuwa naishi nao kwangu, huku tukisaidizana malezi. Yeye alishaoa kama miaka mitatu nyuma. Kama miaka miwili...
  6. benzemah

    JamiiForums Tanzania Wanaoomba kulipiwa mahari Al Hikma wafika 1,000, wapo wanawake, wanatakiwa 50 tu

    Siku chache baada ya Taasisi ya Al Hikma kutangaza uamuzi wa kuwalipia mahari vijana 50 ili waoe, zaidi ya vijana 1,000 wametuma maombi wakiwamo wanawake watatu wanaowaombea wachumba zao. Mkurugenzi wa taasisi hiyo Shehe Nurdin Kishki amesema Dar es Salaam jana kuwa saa chache baada ya...
  7. Msitari wa pambizo

    JamiiForums Tanzania Mwanaume asiyeweza kujilipia mahari mwenyewe anawezaje kulea familia?

    Nimeona taasisi moja ya kiislam imeazimia kuwalipia mahari wanaume 50 ili kuwawezesha kufunga ndoa. Nikajiuliza maswali kadhaa. 1. Hivi mwanaume kama hauna uwezo wa kulipa mahari unataka ndoa ya nini? 2. Hii taasisi imekaa na kuona namna bora ya kuwainua vijana ni kuwawezesha kuoa? 😀 Angalau...
  8. Mohammed wa 5

    JamiiForums Tanzania Sheikh Kishki/Alhikma Foundation Kuwalipia mahari vijana 50 na kuwaozesha

    Shekh kishki Leo dar es Salam kwenye mashindano ya Quran Africa anasema Alhikma foundation itawalipia mahari vijana 50 wa kiislamu na kuwaozesha Ndoa Ya pamoja. Mashallah hii ni habari njema kwa ndugu zangu waislamu. Wale vijana mliopanga kuoa mwaka huu hii ni fursa kwenu inshallah 🙏 NB...
  9. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mahari kwa Wakristo Afrika ni utamaduni wa kimila au wa dini?

    Jamii za Wakristo za Afrika mahari ni jambo la msingi sana kwao katika mchakato wa kuoa. Mwanaume lazima alipe mahari kwa familia ya mwanamke anapotaka kuoa, mahari yenyewe huwa ni kubwa tu. Huko magharibi, hasa Marekani, Canada na Ulaya katika jamii za Wakristo hakuna suala la kulipa mahari...
  10. Melki Wamatukio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wameyageuza makanisa kuwa kimbilio la kupata wanaume wa kuwaoa

    Sio tu wa kuwaoa, bali hata wachumba, wapenzi au part time men. Na hii ndio sababu kuu ya kwanini wanawake wamejazana makanisani 90℅ kulinganisha na wanaume Akili za mwanamke zinafikiri kwamba, atakapokutana na mwanaume maeneo hayo ya kanisa, mwanaume huyo hatopata mashaka ama kujiuliza mara...
  11. ASIWAJU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namna mwanamke anavyonunuliwa kupitia 'mahari'

    Karibu katika somo hili la leo linalohusu biashara maarufu ya kununua wanawake "mahari". Mchanganuo au namna inavyo fanya kazi; Bidhaa Mwanamke [ Nyanya ] Wauzaji Wazazi upande wa mwanamke Wanunuzi Wazazi upande wa mwanamme. Dalali Mshenga Mazungumzo ya biashara: Mzazi upande wa mwanamke...
  12. Melki Wamatukio

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Amepata bahati ya mwanaume wa kumuoa, anaweka vikwazo vya mahari na kutambulishana

    Inashangaza sana kwa mwanamke mwenye ndoto ya kuolewa na kuitumikia familia yake kuanza kuweka vikwazo kama anavyoviweka huyu binti Amepata mwanaume ambaye yuko kwenye mstari mnyoofu wa maisha, ana biashara yake ya kukidhi maisha. Halafu anaambiwa aolewe naye anaanza kuleta vigezo vya umri...
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, nani anapokea mahari kwa binti aliyelelewa na mama pekee?

    Huyu binti kalelewa na mama yake pekee yake. Baba yake yupo hajafa ila binti hajawahi kukutana ana kwa ana na baba yake wala katika upande wa baba yake hamjui ndugu yeyote. Je, kwa scenario kama hiyo binti anafaa kutolewa mahari na kuolewa? Na taratibu za mahari zipoje? Kwani navyojua mahari...
  14. Mwachiluwi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nani anatakiwa kulipa mahari? Aneyeoa au mzazi wake?

    Hellow, Hivi karibuni kumezuka mzozo mkubwa sana katika familia, chanzo kaka yetu anataka kuoa lakini mahari anasema mzazi wetu ndio atoe, kisa huyo mchumba wake amemuambia kuwa mahari yako kisheria anatakiwa atoe mzazi wako na sio wewe. Na yeye bila kujiongeza kashupalia kweli kuwa yeye...
  15. Phobia

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetajiwa ng'ombe 50 kwa ajili ya mahari tu, eeh nafwaa!

    Ama hakika kwa namna hii sina hakika kama itawezekana kiukweli wakati kule kwetu Mtwara 150000 tu unajinyakulia demu mke mkali tena wakuvutia ila kwa hawa ndugu zangu wanyantuzu wanahitaji ng'ombe hamsini mimi nitawapata wapi? Wakati kwetu kuna bahari tu na samaki na korosho tu? Ama hakika...
  16. The unpaid Seller

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali: Kimaadili ya dini je mtu alietoa mahari nusu humalizia kulipa iliyosalia kwa taratibu zipi ?

    Peace, Wakuu ningependa kujuzwa kwa misingi ya dini zetu Uislamu na Ukristu, je mahali iliyolipwa nusu humaliziwa kulipwa kwa utaratibu upi kimaadili ya dini zetu ?! Kwa majibu yatakayotolewa ningependa kupata rejea za maandiko najua jambo hili limeelezwa vyema katika vitabu vya dini hasa Uislamu.
  17. Prakatatumba abaabaabaa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahari na kufunga ndoa ndio sababu inayofanya vijana wasioe

    Prakatatumba etumba etumba abaabaabaabaa, nimekaa nimefikiria kitu kimoja, maisha yenyewe yalivyo magumu hivi unaambiwa mahari ya milion 2, hivi hiyo million 2 si naweza invest ikanipatia hela nyingine?.. Just imagine hauko stable then vijana wanaambiwa mahari million 2/3, na bado huyo...
  18. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimesitisha kutoa mahari

    Tarehe 20 ya mwezi huu niliahidi kwenda kutoa mahari ukweni kiasi cha shilingi milioni mbili na laki tano. Niliazimia kufanya hivyo baada ya kukaa na mchumba wangu kwa zaidi ya miaka miwili sasa katika mahusiano. Baada ya kutoka safarini wiki iliyopita, nilishikwa na simanzi sana. Nilimuona...
  19. ASIWAJU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mahari ni biashara ya utumwa. Kwanini dunia ipo kimya?

    Habari za sasa wanachama wa Jamiiforums natumai wote ni wazima wa afya, nilikuwa na jambo lini kereketalo moyoni mwangu liitwalo “MAHARI”  Nilikuwa na tatizo na huu utamaduni ulio zoeleka hapa dunia mpaka kukomaa wa malipo ya kifedha/mali kwa mwanaume/mwanamke ili kuweza kukidhi vigezo vya kuoa...
  20. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wazazi wamkataa mchumba wangu kisa mahari ni ndogo

    Habari zenu wana JF, Bila kuwachosha naenda moja kwa moja kwenye point. Nilikuwa na mchumba wangu tumejuana kwa muda wa mwaka mmoja na nusu mpaka sasa. Kwa hiyo mwaka huu huyo kaka nilimwambia aje home kujitambulisha, akasema haina shida. Niliwataarifu wazazi wangu tarehe ambayo aliniambia...
Back
Top Bottom