Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,678
Prakatatumba etumba etumba abaabaabaabaa, nimekaa nimefikiria kitu kimoja, maisha yenyewe yalivyo magumu hivi unaambiwa mahari ya milion 2, hivi hiyo million 2 si naweza invest ikanipatia hela nyingine?..
Just imagine hauko stable then vijana wanaambiwa mahari million 2/3, na bado huyo mwanamke ukimuingiza ndani aje atumie hela yako kwenye mambo yake.
Tusiwalaumu vijana tuwaache watafute hela.
Nikawaza tena, makanisani kuna makundi mengi ya vijana 27-35 hawajaoa kwa sababu wengine hulka yao hawapendi sherehe/harusi (kama Mimi) . vijana wanakua wanafikiria sasa nikiweka mwanamke ndani na sijafunga ndoa basi nitafutwa usharika,nitaonekanaje kanisani? N.k
Mimi prakatatumba nawaagiza vijana woote ambao hamjaoa na hamna mahari, chukua Mwanamke ishi nae huku unaendelea kutafuta hiyo mahari mdogo mdogo ukipata peleka, ukisema ujichange ukamilishe mahari miaka 30 inafika unaiyona.
Mimi babu yenu Leo nimetimiza miaka 67 ndio nimeenda kukamilisha mahari kwa bibi yenu.
Just imagine hauko stable then vijana wanaambiwa mahari million 2/3, na bado huyo mwanamke ukimuingiza ndani aje atumie hela yako kwenye mambo yake.
Tusiwalaumu vijana tuwaache watafute hela.
Nikawaza tena, makanisani kuna makundi mengi ya vijana 27-35 hawajaoa kwa sababu wengine hulka yao hawapendi sherehe/harusi (kama Mimi) . vijana wanakua wanafikiria sasa nikiweka mwanamke ndani na sijafunga ndoa basi nitafutwa usharika,nitaonekanaje kanisani? N.k
Mimi prakatatumba nawaagiza vijana woote ambao hamjaoa na hamna mahari, chukua Mwanamke ishi nae huku unaendelea kutafuta hiyo mahari mdogo mdogo ukipata peleka, ukisema ujichange ukamilishe mahari miaka 30 inafika unaiyona.
Mimi babu yenu Leo nimetimiza miaka 67 ndio nimeenda kukamilisha mahari kwa bibi yenu.