magumu

Magumu is ward in South Kinangop Division, Kinangop Constituency in Nyandarua County, Kenya.

View More On Wikipedia.org
  1. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Huwa ukimuona huyu jamaa akisema kwenye column yake ya "MASWALI MAGUMU", tambueni lipo jambo linakuja..

    https://youtu.be/YdxCYOdO3Sg?si=4huBSJheX28CD2YC Huyu jamaa niligundua kuwa ni mtu wa mfumo wa serikali wakati wa uchaguzi wa uenyekiti wa CHADEMA taifa.. Sikutarajia kama angeweza ku - side na CCM chini ya ufuasi wa FAM na kupiga vita ukombozi na haki kupitia Tundu Lissu.. Hapa haina shaka...
  2. Windson

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna mahusiano magumu kama unayempenda anataka akuone unateseka kwa ajili yake

    Mahusiano ya aina hii yapo wakuu, Unakuta mtu unampenda dem, halafu akishajua unampenda yeye anataka kukuona unateseka kwa ajili yake, utampa zawadi utasaizia familia yao lakini akiona hauteseki anajua bado haumpendi, ila akiona unefikia level yeye anavaa vizuri halafu wewe umekosa hata...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Chadema contract very good Historian aandike historia ya Chadema na magumu ya siasa wanazozipitia toka ianzishwe mpaka sasa

    Hii ni muhimu kuweka kumbukumbu sawa kwenye maandishi yasiyofutika. Kuna mengi mliyopitia na CCM/serikali ambayo can be missed if history is not put in the right perspective. Andikeni historia, mtakuwa mnafanya Prelude ya earlier versions of the book
  4. kaputula

    JamiiForums Tanzania Eti mtu anasifu mama kuwapa DPW bandari ya Dar es Salaam ni mfano wa uwezo kufanya maamuzi magumu.

    Nimestaajabu wakati wa mazishi ya Cleopa Msuya akisifiwa kama alikua na uwezo wa kufanya maamuzi magumu kiongozi mmoja akaona ni nafasi kumpigia mama debe. Akasema eti mama ana uwezo kufanya maamuzi magumu kama marehemu eti kwa kuamua kuwapa DPW bandari ya Dar es Salaam amefanya uamuzi mgumu...
  5. simba wa dodoma

    JamiiForums Tanzania Maishà magumu Sana wadau nahitaji msaada

    Habari Ndugu zangu naombeni msaada hata ajira, iniweze kunisaidia kiuchumi niongezee kipato, Mimi KIJANA nimeajiliwa sehemu Ilaa mshahara Wangu ni Mdogo Sana na hautoki kwa wakati, inaniliazimwi niingie kwenye madeni Sana, alafu unakuta unategemewa nyumbani Nina watoto bado nauli kwenda ofisini...
  6. haszu

    JamiiForums Tanzania Wenye ajira za ujira mdogo wanaishi maisha magumu/ kuteseka zaidi kuliko wasioajiriwa kabisa

    Ukishakua una ajira, haijalishi unalipwa kiasi gani, jamii inategemea unapata hela, hivyo, kuna kuandamwa na ndugu jamaa na marafiki. kwa upande wasio na ajira, wao jamii haitegemei makubwa kutokwa kwao, ingawa wanaweza kua wanapata hela kubwa zaidi ya waioajiriwa. Sasa fikiria, mtumish...
  7. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Maswali magumu kwa rais Samia kuhusu uchaguzi ujao

    Mheshimiwa Rais Daktari, mbemba maono, kipenzi cha Watanzania Samia Suluhu Hassan, Naomba unijibu maswali haya kuhusiana na msimamo wako juu ya uchaguzi ujajo uliosema utakuwa wa amani. Amani vipi bila maridhiano ya namna ya kuufanya? Amani vipi wakati polisi wanatumika vibaya na kinyume cha...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kuna siku watu watafanya maamuzi magumu kuliko Hamza na wasilaumiwe

    Unapofanya uonevu wa kupitilza, watu watakuvumilia ila kuna baadhi ipo siku wataishiwa uvumilivu na kufanya maamuzi magumu na ya hatari. Ni hatua ambayo mtu huwa tayari kufanya lolote mradi tu na yeye acne watese wake nao wanaumia hata kama atakwenda jela au kupoteza maisha. Na kwa hawa jamaa...
  9. Vamigo

    JamiiForums Tanzania Dunia inaniadhibu, nahitaji kuchukua maamuzi magumu

    Ndugu zangu naandika hapa nikiwa siko sawa mtanisamehe. Mm ni mfanya biashara (wakala) WA huduma za kifedha mpaka kufikia mwaka Jana mwezi WA 3 nilikua na mtaji usipungua milion 5. Ndani ya mwezi mmoja pesa ikaanza kupukutika, nyumba ambayo ni ni flem tulipo weka biashara zetu iliuzwa Kwa mtu...
  10. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Msanii wa Muziki Patience Namadingo amuuliza maswali magumu na kutoa hoja nzito Rais wake wa Malawi, Chakwera

    Patience Namadingo’s bold address to President Chakwera: A wake-up call for Malawi In the video, Namadingo expresses his excitement about attending the meeting, describing how overjoyed he was upon receiving the invitation to engage in a conversation with President Lazarus Chakwera. Addressing...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Haya ndio mateso matano yanayotesa watu wengi, kila mtu huyapitia kwa namna na jinsi yake, ni ngumu kuyakwepa

    MAHUSIANO - Kuna watu wanapigania sana mahusiano yao yasivunjike, kuna waliochoka na mahusiano wanatafuta mlango wa kutokea lakini hawauoni mlango wa kutoka, wengine wana kiu ya mahusiano wanautafuta mlango wa kuingilia lakini hawauoni, watu wanasalitiwa na kuachiwa vidonda vya milele, mtu...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Maswali magumu ya waandishi kwa G55 ya CHADEMA

    https://m.youtube.com/watch?v=8X9aksS1quw Baada ya press conference, kundi la G55 waulizwa maswali magumu na waandishi wa habari juu ya wao G55 kupinga No Reforms No Election 2025 wakati uamuzi huo ni wa chama: Chief Odema wa Star TV , John Marwa wa Jambo TV maswali 5 magumu , Humphrey wa...
  13. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Nimepata wasaa leo wa kuwashirikisha baadhi ya experience tulizowahi kukutana nazo kwenye maisha

    Wakuu vipi?, Nina imani mnaendelea vyema kabisa. Nimepata wasaa leo wa kushea na nyinyi baadhi ya experience tulizowahi kukutana nazo au tulizowahi kushuhudia watu wetu wa karibu wakihangaika nazo. Na ninaamin hata leo hii kuna watu JF wanahainga. Just imagine..... Umesoma kwa shida sana, kwa...
  14. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Hii hapa Orodha ya Wachezaji 15 Wenye Majina Magumu zaidi Duniani

    Baadhi ya majina hayo ni kama 1. Sokratis Papastathopoulos (Greece) 2. Jakub Błaszczykowski: (Poland) 3. Grzegorz Krychowiak: (Poland) 4. Wojciech Szczęsny: (Poland) 5. Yevhen Olehovych Konoplyanka: (Ukraine) 6. Jakub Wawrzyniak: (Poland) 7. Panagiotis Tachtsidis: (Greece) 8. Hakan Çalhanoglu...
  15. Jack Daniel

    JamiiForums Tanzania Maisha ni magumu ,Hali si shwari mtaani

    Maisha ni magumu wazee, Na wanadamu ni wepesi wa kusahau ni miaka michache tu mkoani Morogoro watu wengi walipoteza maisha katika tukio la uchotaji wa mafuta baada ya Gari kupinduka. Leo hii pichani ni wananchi wanaochota mafuta baada ya Lori kuanguka. Picha inaeleza Mengi. Source ITV.
  16. Lugano Edom

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu Tunalalamika MAISHA MAGUMU?

    Kuna sababu nyingi zinazochangia watu kulalamika kuhusu ugumu wa maisha. Baadhi ya sababu hizo ni kama zifuatazo: * Gharama za Maisha Kupanda: * Bei za bidhaa na huduma muhimu kama chakula, nyumba, na usafiri zinaongezeka, na hivyo kuwafanya watu wengi washindwe kumudu mahitaji yao. *...
  17. Bob Manson

    JamiiForums Tanzania Kipi unafanya ili kujituliza wakati unapitia magumu?

    Sote kuna wakati tunapitia hali au wakati mgumu kimawazo, kihisia na kimwili lakini kila mtu ana njia tofauti za kukabiliana na nyakati hizo. Member mwenzenu akili ime stack, depression na hofu imenijaa, naombeni mnipe mbinu za kukabiliana na hali hii kabla sijafika pabaya because there is riot...
  18. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kuachilia nguvu za kiroho ndani mwako wakati unapitia magumu.

    Mwanadamu ana nguvu mbili ya ndani na ya nje . Mwanadamu ameumbwa akiwa kamili au kwa mfano wa Mungu, uungu u ndani mwake,hivyo haitaji nguvu toka nje ili aweze kujiendesha labda tu kwa asiyeelewa jinsi ya uuungu ndani mwake unafanyaje kazi,kila kitu kimo ndani mwako uhitaji mganga,nabii wala...
  19. T

    JamiiForums Tanzania Watu wenye akili ni watu wakutafuta facts na wenye maswali Magumu na watawala hawawapendi Africa

    Kwanini Africa haiwezi kuendelea ni kwa sababu watu wenye akili na uwezo mkubwa kuona kesho hawapendwi na watawala... Why? Watawala wanapenda chawa na chawa siku zote wanauma Tena wanauma sana na mwishi wanadhoofisha... Umewahi kaa au kulala sehem Kuna chawa? Mara zote kwa aina hii ya uongozi...
  20. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Hivi upitapo kwenye magumu na Mungu akakupa Option hizi mbili uchague moja utaenda na ipi?

    Option 1: Akuache uwe hai ila uteseke? Option 2; Achukue uhai ukapumzike? Mimi ntaenda na option ya pili, wewe je?
Back
Top Bottom