magufuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    CRDB na Gazeti la mwananchi ni waongo, wanamchafua Magufuli

    Nimesema makala ya Gazeti la mwananchi unayosema CRDB walifungua Tawi chato Kwa kulazimisha na magufuli na mara baada ya kumfariji kwako tawi walilifunga. Je ni kweli chato Kwa sasa hakuna tawi la CRDB na NMB? Ukweli ni kwamba sasa hivi banki zote mbili wamepanua matawi yao kuwa makubwa na...
  2. TODAYS

    Ukweli Kuhusu Wahafidhina Wanaomnanga Hayati Magufuli

    Nasadiki kuandika haya ili hukumu ijapotolewa iwe ya haki. Leo 17.03.2023 ni siku ya kumbukukumbu ya kifo cha a.k.a jeshi la mtu mmoja au Legendary namuita hivyo, mzee John Joseph Pombe Magufuli. Nimefuatilia sana kwenye media tofauti ila sana mitandao ya kijamii na hali iliyopo mitandaoni na...
  3. Lyetu

    Kwahii kauli ya Rais Samia, Je Hayati Magufuli ndiye aliamua kufuta mikutano ya kisiasa kwa utashi wake au ni CCM?

    "Wakati nasema tufungue mikutano ya hadhara kwenye chama changu kulikuwa kugumu kidogo, mjadala ulikuwa mkubwa kama mnavyofanya nyie, najua juzi Mbowe alikuwa na mjadala mkubwa kwanini mmemuita Rais kwenye hili jukwaa, kwa hiyo mwenyekiti wale wahafidhina wapo kwangu wapo kwako,” ameeleza Rais...
  4. mgt software

    Hayati Magufuli alikuwa na maono juu ya mpango wa Magereza kuwa na shughuli za uzalishaji. DPP ndiye kikwazo

    Wana JF Nimefuatilia sana maono ya aliyekuwa Rais wa awamu ya tano mawazo ya magereza kuwa na shughuli za kilimo , viwanda na ufugaji. Hayati Magufuri aliyasema hayo wakati magereza wakitaka kuongezewa chakula na fedha za kujikimu wakati wafungwa wapo bure wanasaga fedha za serikali. Kwanini...
  5. T

    DAWASA Mkumbuke JP Magufuli, msitutese wanachi

    Magufuli ameongoza kwa miaka 5, kina cha maji kiliogopa kushuka, five years Kiwango cha maji hakipungui, na maji mtaani mabomba yanavuja hovyo lakin watu wa napata maji Tozo amekuja Samia maji yanapungua,Tozo zinapanda, wamachinga wanalionja joto CCM na DAWASA hacha sarakasi za kuandaa watu...
  6. comte

    Kaburi la Hayati Magufuli: Wakati umetoa majibu na kuumbua watu

  7. Miss Zomboko

    Wazee, watoto na wagonjwa Mkoani Geita na mikoa jirani washauriwa kufuatilia kuagwa kwa Rais Magufuli kupitia Vyombo vya Habari

    Wazee, Watoto na wagonjwa wa Wilaya ya Chato Mkoa wa Geita na mikoa jirani wameshauriwa kuaga mwili wa hayati Rais John Magufuli kwa kufuatilia kwenye vyombo mbalimbali vya habari vinavyorusha mubashara badala ya kwenda uwanjani. Uamuzi huo unatokana na eneo la uwanja wa Magufuli ulipo wilayani...
  8. mgt software

    Sweden yapinga ushahidi kuwa kuvaa barakoa kunapunguza covid 19

    Wanajamvi Nimekuwa Na hisia kuwa huenda Dr. Magufuri Ni kiona mbali kutokana Na nchi ya ulimwengu wa kwanza kupinga walimu kuvaa mask wakati wanafundisha kwani hakuna ushahidi kuwa mask zinazuia covid. ====== As coronavirus runs rampant, why are some Swedish towns banning masks? Officials in...
  9. one one chief

    Nyerere alipigana Vita vya Kagera, Magufuli anapigana Vita ya Corona. Tumuombee

    Mwaka 1978/79 Mwl Nyerere katika uongozi wake aliamua kuingiza nchi vitani kupambana na nduli Idd Amin Dada wa Uganda, ilikua vita ngumu sana, na ilikua ni lazima kumpiga idiamin Ili tanzania iwe salama. Wapo waliomlaumu kwa uamuzi wake wa kwenda vitani, na wapo waliompongeza na kumuunga mkono...
  10. Chief Kabikula

    Alichokisema Rais Magufuli Tabora ni kweli; majungu watu hawafanyi kazi. Kanisa lajengwa katikati ya barabara, lapiga muziki masaa 24

    Nikiwa Tabora ambapo nilikwenda kwenye msiba wa rafiki yangu aliyefiwa na mama yake mwezi huu. Nilikutana na kituko cha mwaka ambapo tukiwa hapo msibani ulisikika muziki mkubwa sana kiasi ambacho huwezi kuongea na mtu jirani yako, huwezi kupokea simu au kusikiliza simu. Nilipouliza nikaambiwa...
  11. Deogratias Mutungi

    Rais Biden, kwa Afrika anza na Rais Magufuli na Mwinyi wa Zanzibar

    Salaam JF, Baada ya Rais Biden kuapa Jana Ikulu ya Marekani imetangaza kuwa mawasiliano ya kwanza ya simu yatakayofanywa na Rais Biden ni kati yake na Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau, bila Shaka kigezo na hoja kuu ni kwa jinsi utawala wa Canada unazingatia sheria, Demokrasia na uwajibikaji...
  12. platoon commander

    Je, ni kweli ndani ya miaka mitano Serikali imeajiri walimu laki tatu?

    “Katika kipindi cha miaka mitano wameajiriwa walimu 300,000 hivi karibuni tulitangaza nafasi 8,000 na tunatarajia kutangaza ajira nyingine 5,000 za walimu. Tunataka suala la elimu lizingatiwe, nchi yenye kuthamini elimu ndiyo yenye nia ya kweli ya kuendelea,” Hayo yamesemwa na Magufuri...
  13. Mkogoti

    I have dream: Ipo siku moja nami nitachat na Rais Magufuli kwenye simu

    Nasema ipo siku moja tu, Na imeisha hiyo ikienda imeenda ikirudi pancha Niwatakie jumapili njema🤦🤪🏃
  14. Honorable GPA

    Rais Magufuli tunusuru vijana wako tunapitia kipindi kigumu

    Just imagine upo katika kipindi cha majonzi una tafakari hili na lile baada ya kukosekana kwenye ajira! unaulizwa maswali kama haya na wazazi, ndugu na majirani; Nasikia ajira zenu zimetoka. Vipi sasa umefanikisha? Unajibu sijafanikisha. Anaendelea kuuliza, kwanini sasa au hukutuma maombi...
  15. E

    GE2020 Magufuli anaiona Tanzania nzuri miaka 30 ijayo, shida wengi tuna njaa

    Nimejipa kazi kuwafatilia wagombea wawili wa uraisi wanaoonekana kupendwa na watu wengi, nimegundua kuwa Dr. Magufuri anawaza mambo ya miaka kama 30 ijayo ndo tule bata. Ili hali Ndg Lisu akiwaza mambo ya leo, kesho itajulikana ikifika. Shida kwa watu wengi, bado huduma muhimu ( chakula...
  16. MEXICANA

    GE2020 Nikikumbuka janga la Corona, Watanzania tusipomchagua Dkt. Magufuli bila shaka Mungu atatushughulikia kivingine

    Kumbuka. "Man without God can not, and God without man will not" "Mnyonge mnyongeni ila haki yake apewe" Kama kuna nyakati Mungu alishawahi kuzungumuza na watanzania kwa namna isiyoyakawaida kupitia kiongozi wa kitaifa naamini Mara hii amezungumza na tz nakila mtu bila shaka hakuna ambaye...
  17. abagabo

    GE2020 Video: Lissu amtaka Rais Magufuli arudishe ardhi aliyopora pale Kihanga Karagwe

    Lissu akihutubia wananchi wa Manispaa ya Bukoba amedai Rais Magufuli amepora kiasi cha hekari elfu 25 maeneo ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera. Magufuli tunaomba ujitokeze ujibu hoja hii. Naomba Magufuli nikukumbushe hilo eneo ni pale Kihanga wanapouzia maziwa, na siku hizi kuna ulinzi...
  18. PAZIA 3

    Magufuli na Lissu kukutana Kigoma kwa mara ya kwanza leo

    Kwa mjibu wa ratiba Tundu Lissu atakuwa na kampeni Kigoma mjini leo jioni katika maeneo ya Mwanga center. Wakati huo huo Rais Magufuli atakuwa Lake Tanganyika, atakuwa na Rais wa Burundi ambaye amealikwa katika uzinduzi wa jengo la mahakama. Hofu yangu ni, je, CHADEMA wataruhusiwa kufanya...
  19. Dr Bill

    GE2020 Kwanini nitampigia kura Magufuli baada ya kumpigia Lowassa 2015

    Watanzania hawajawahi kuwa wajinga hata siku moja, ni fikra za CHADEMA tu kuwa kanyomi ka Lissu kanaweza badilisha uhalisia kuwa Magu hana mpinzani. Tuwe Wakweli kwenye nafsi na tusijifariji huku Mitandaoni yanayoandikwa in Tofauti kabisa na Hali halisi kwenye uwanja Wa vita. Kama ni idadi ya...
  20. Kipenzi Changu

    GE2020 Tundu Lissu (CHADEMA), aomba mdahalo na Dkt. Pombe Magufuli (CCM)

    Akiwa mkoani Iringa leo tarehe 13 Septemba, Lissu amesema "Natoa rai kwa Mgombea Urais wa CCM na vyombo vyetu vya habari, kufanikisha mdahalo kuhusu mustakabali wa Taifa letu la Tanzania" ===== LISSU IRINGA: MDAHALO NA MAGUFULI, MIKOPO ELIMU YA JUU NA HIFADHI YA JAMII KWA WOTE Mgombea Urais...
Back
Top Bottom