magari

  1. R

    JamiiForums Tanzania Tupeni utofauti wa Toyota Rush na Terios kid

    Leo nimeitwa mama na wananchi wa JamiiForus Wale maEXPERT wa magari ebu tupeni utofauti wa Toyota Rush na Terios kid
  2. Braza Kede

    JamiiForums Tanzania Mafundi wa umeme wa magari wanasomea wapi?

    Wakuu hivi kuna vyuo vya hii kitu au ndo full janjajanja za mjini? Inasomewa vyuo gani hapa nchini? Kozi inaitwaje? Nahitaji hii kitu one day aisee.
  3. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa Manispaa Afanya Ziara ya Kushtukiza Kukagua Vituo Visivyo Rasmi vya Daladala na Uwekaji Holela wa Magari

    Mkurugenzi wa baraza la manispaa mjini Bi Hasna Attai Massoud Leo mapema amefanya ziara ya kushtukiza ya ukaguzi wa vituo vya dala dala visivyo rasmi ambavyo vilivyo pigwa maraufuku ndani ya manispaa ya mjini pamoja na uwekaji mbaya wa magari. Katika ziara hiyo Bi Hasna amesema kuwa hali...
  4. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania Mkojani na Dotto magari hawakupaswa kupewa fomu

    Kulinda hadhi ya chama hawa watu wawili hawakupaswa hata kusogelea ofisi ya chama Ningekuwa muhusika nisingewapa hata fomu,ningewafukuza kama mbwa mwizi
  5. Mlaleo

    JamiiForums Tanzania Ambao hawakuona Tehran ikichakazwa na Israel Video hii hapa, kumbe magari ni Kama Makaratasi yanapepea hewani ''Kaboom''

    https://video.a7.org/media/a7radio/misc/video/25/jul/video5996852085654558388.mp4 Am sure Iran kipigwa sana hadi kulia lia eti walipwe fidia. Ndio Maana Israel walikuwa wanatoa kabisa kwa Raia wasikae karibu na maeneo ya Utawala wa Ayatollah
  6. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Mwenye kufahamu mahali viwanda 13 vilipo vya kutengeneza magari atuambie,ninaona tunatapeliwa

    Bango hili hapo! Ninaona tunatapelewa na kundi la watu wachache
  7. N

    JamiiForums Tanzania Natafuta Fundi wa Umeme wa Magari Mbeya

    Kwa wenyeji wa Mbeya, tafadhali naomba kujua fundi mzuri wa umeme wa Magari ili anifanyie matengenezo. Natanguliza shukrani.
  8. Hhimay77

    JamiiForums Tanzania Car rental/Tunakodisha Magari

    Rhond's com limited Unahitaji gari la kukodisha? Kwa kazi, safari au matembezi — tuko tayari kukuhudumia! ✅ Magari safi na yaliyohudumiwa vizuri ✅ Madereva waaminifu na wenye taaluma ✅ Huduma nchi nzima 📞 Piga/WhatsApp: +255 655 633 302
  9. KENGE 01

    JamiiForums Tanzania Kwa Wamiliki wa Maduka ya Spare za Magari, Mafundi, Wamiliki wa Gereji, Wapenda Habari za Magari Hii ni Yetu Sote

    Ndugu Wajumbe, Miezi kadhaa nyuma nilileta Nyuzi fulani juu la Kiu yangu ya kukamilisha jambo hili ambalo kwa asilimia 90 limekamilika, na leo ninaleta habari njema na fursa ya kipekee kwenu nyote mnaohusika na sekta ya magari nchini! Tunayo furaha kubwa kuwatambulisha rasmi App ya Auto...
  10. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Meli kutoka China iliyokua na magari zaidi ya 3,000 kuelekea Mexico imezama!

    Meli inayoenda kwa jina la "Morning Midas" ikiwa imebeba bidhaa za mafuta pamoja na magari zaidi ya 3,000 kutoka China imezama baada ya kushika moto. Baada ya kushika moto, crew members 22 waliomo walishindwa kuzima wakaona isiwe tabu waka abandon. Hadi sasa chanzo cha moto hakijabainishwa...
  11. Fufua Tumaini Jipya

    JamiiForums Tanzania For Car Rental Services | Kwa Huduma ya ukodaji wa Magari karibu tukuhudumie.

    Kwa wale wenye Harusi , msiba , pamoja na Mambo mengine ambao mnahitaji kukodi Magari mnakaribishwa Bei hizi hapa wakuu Mercedes Benz G Wagon - Tsh 2.3M All Sedan Benz - 450k Benz Above YOM: 2014 - Tsh 600k Audi | BMW Mostly - Tsh 800k Ineos Grenadier - Tsh 1.8M Toyota V8 | 200 Series -...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali itafute njia sahihi ya Magari ya Mizigo yaliyopo eneo la DUCE

    Pale eneo la Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) na karibu pia na ulipo Uwanja wa Benjamin Mkapa kuna magari makubwa yanaziba barabara na mbaya zaidi magari hayo yanageuzia kwenye geti la uwanja huo. Watu waonaotumia barabara ile kuelekea Mbagala na kwingineko wamekuwa na changamoto kubwa...
  13. Pharm D

    JamiiForums Tanzania BIASHARA YA COASTER ZA KUKODI SPECIAL HIRE

    Wakuu habari ya Jumapili; Nina mategemeo ya kupata kiasi fulani hivi cha pesa kinachoweza kununua basi dogo kama coaster/civilian/Rosa, naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa hii biashara kuanzia soko, usimamizi, gharama za uendeshaji n.k nione ni jinsi gani ntaweza kujipanga na changamoto...
  14. iPhone 6

    JamiiForums Tanzania Tunauza magari kwa mkopo nafuu

    🔹 Magari mapya na yaliyotumika kutoka ndani na nje ya nchi 🔹 Marejesho nafuu hadi miezi 24 🔹 Mkopo wa hadi 65% ya gharama ya gari 🔹 Mkopo unaidhinishwa ndani ya saa 72 🔹 Riba ni ya kiwango cha chini kabisa 🔹 Huduma ni Haraka, Rahisi na hadi mlangoni kwako! Usikose fursa hii ya kipekee miliki...
  15. W

    JamiiForums Tanzania Watanzania wenzetu wenye magari ya milioni 200+ wanaoingiza pesa halali wanafanya shughuli zipi?

    Wabongo wenzetu nikiamaanisha watanzania wenye asili ya kiafriaka ❌Wanasiasa - Wengi wananenepa kwa kodi zetu ❌Wachungaji wa kilokole wengi wahuni wanatajirika kwa sadaka ❌wasio na shughuli zinazojulikana, wengi matapeli na dili nyeusi
  16. M

    JamiiForums Tanzania Mikopo kwa wanaotaka kununua magari ndani ya nchi na nje ya nchi

    Habari Suala la usafiri, iwe ni usafiri wa kibiashara au usafiri binafsi ni muhimu Kwa maendeleo ya Taifa na wananchi wanalitambua Hilo changamoto huja katika kumudu gharama za Kodi, bima, usafirishaii na hata Bei halisi ya gari. OZB CAR IMPORTERS Kwa kuiona changamoto ya gharama kuwa kubwa na...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Mikopo kwa wanaotaka kununua magari ndani ya nchi na nje ya nchi

    Habari, Suala la usafiri, iwe ni usafiri wa kibiashara au usafiri binafsi ni muhimu Kwa maendeleo ya Taifa na wananchi wanalitambua Hilo changamoto huja katika kumudu gharama za Kodi, bima, usafirishaii na hata Bei halisi ya gari. OZB CAR IMPORTERS Kwa kuiona changamoto ya gharama kuwa kubwa na...
  18. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Gari jipya la umeme litakalotengenezwa Tanzania bei yake itaanzia usd 800 bei ya kiwandani kabla ya kodi

    Nikiwa Rais wa Tanzania kutaanzishwa mchakato mkubwa wa kuzalisha gari la umeme Tanzania Features za magari ya umeme yatakayozalishiwa Tanzania yatakayozalishiwa Tanzania life expectancy ya bodi ya gari miaka 40 life expectancy ya battery miaka 15 Life expectancy ya motor miaka 20 Battery...
  19. W

    JamiiForums Tanzania Msafara wa ndege za kivita za Marekani waelekea Mashariki ya kati baada ya Trump kutoa agizo la dharura raia wa Iran kuondoka Tehran, foleni imeshona

    Baada ya agizo la Dharura, Foleni ya kuondoka Tehran imekuwa ni kubwa sana, Trump kalazimika kukatisha mkutano unaoendelea nchini Canada wa G7 na kurudi haraka Marekani, Amewaagiza wajumbe wa Baraza la Usalama wa Taifa (NSC) wawe tayari kwenye chumba cha dharura (Situation Room)...
  20. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania Maoni yangu kuhusu Suluhisho la Msongamano wa Magari Jijini Dar es Salaam

    Nimeona jitihada zinazofanywa na wadau katika siku za hivi karibuni kutafuta suluhisho la tatizo sugu la msongamano wa magari jijini Dar es Salaam, ikiwemo hatua ya kufunga kamera za ufuatiliaji barabarani. Hata hivyo, kwa mtazamo wangu, matumizi ya kamera hayawezi kuondoa tatizo la foleni kwa...
Back
Top Bottom