magari

  1. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Samia anaweza kuwa ndio Rais mwenye msululu wa magari mengi kwenye msafara wake kuzidi maraisi wote duniani

    GT Nchi maskini hii check fuel inavyotafunwa na V8.
  2. IKEKERA

    JamiiForums Tanzania Tunaosubiri namba “F” za magari tukutane hapa. T001 FAA

    Wadau namba zinakimbia sana ..sasa hivi wapo kwenye EMZ ..sasa tunaosubiri namba za herufi "F" tukutane hapa
  3. Knock life

    JamiiForums Tanzania Tujadili suala la makaa ya mawe, iweje wananchi wa eneo husika wawe masikini ila magari yanasomba tu

    Ikiwa eneo panapopatikana makaa ya mawe wananchi wanaendelea kuwa masikini wakutupwa . Je ni sahihi hili swala kuwa hivi.?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mikopo ya ulipaji wa ushuru wa magari bandarini

    Habari Pasipo kupoteza muda naomba niende kwenye ya kiwango Cha ushuru unaodaiwa bandarini wakati mada Naomba kutangaza Kwa wote wale ambao wameagiza magari Toka nje ya nchi kama Japan lakini wakawa hawana pesa ya kutosha kulipia ushuru basi sisu tunatoa mikopo kiwango Cha kukopa ni asilimia...
  5. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Mke asimikwa uchungaji hukoi baada ya makelele ya magari mengi..na gesi

    KTK KUZIMA.MADA YA KUPULIZA GESI IKAJAA NA KUHODHI MAGARI YA GARAMA LEO MAMA MCH KAPEWA UXHUNGAJI NA YEYE Mama pt congratulations
  6. P

    JamiiForums Tanzania NANENANE: Jumla ya Trekta 500, Power Tiller 800, Magari 44, pikipiki 6,444, Vishikwambi 5,426 na vipima udongo 143 vimenunuliwa ndani ya miaka 4

    ||| Rais Samia amenunua vitendea kazi kwa ajili ya sekta ya kilimo magari 44, pikipiki 6,444, vishikwambi 5,426, na vipima afya ya udongo 143, Trekta 500, Power Tiller 800 ndani ya miaka minne. Tumenunua na kusambaza vitendea kazi kwa ajili ya kuboresha huduma za ugani na kuimarisha uzalishaji...
  7. Dr. Zaganza

    JamiiForums Tanzania Wale Wanaopanga kumiliki magari used ya bei Nafuu: Tazama plan Yetu bila Riba

    Habari zenu wakuu. Baada ya kukutana na vijana kadhaa wanatamani wamiliki gari used kuwahi shughuli zao ila bajeti haitoshi, Yaani ni kazi kukusanya milioni 5 au 4 kwa pamoja. Naielewa vyema hali hiyo nami nilipitia nikianza maisha ya kujitafuta. Sasa nimekuja na plan kuwawezesha kutimiza...
  8. Mfilisti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu kuhusu Magari used

    Ukinunua gari used/ mtumba, utabeba mzigo wote wa aliyepita nalo. Dent, engine knock, interior mbovu – zote ni zako sasa. Cha kuchekesha, yule mmiliki wa kwanza aloyekuuzia bado analiangalia kwa jicho la kumbukumbu, na kuna muda analitamani kabisa hilo gari aliendeshe tena. Kila akikuona nalo...
  9. Tuo Tuo

    JamiiForums Tanzania Nataka gari ya mil5 IST,vitz iwe D fresh?? Sijui kuhusu magari ila Usijaribu kunirubuni

    Matajiri Nashida na kagari flan ivi ka kujifunzia funzia na kwendea sokoni. Location mwanza Nb: huwa napenda kujua na sababu ya kuuza
  10. ubuntuX

    JamiiForums Tanzania Kero ya watu kudrift magari yao kwenye mitaa ya raia.

    Habari wakuu?hivi kuna sheria au ni makosa watu kudrift magari yao ile kuzungusha gari kwenye barabara ya kawaida. Je nikichukua jiwe na kurushia lile gari na kupasua kioo itakua ni kosa?naweza kushtaki wapi? Huku kwetu mwananyamala kuna wadau wa magaari yao wanakuja mtaani na kudrift magari...
  11. jerry spare parts service

    JamiiForums Tanzania Ofisi yako ya magari inaitoa hii? Jerry spare parts waja na ofa ya free car inspection kwa wateja waliowahi kuhudumiwa!

    Habari wakuu wa JamiiForums, Kwa heshima na taadhima, napenda kushiriki nanyi taarifa njema kwa wale wote wenye magari na ambao wamewahi kupata huduma kutoka Jerry Spare Parts & Services, kampuni inayopatikana Makumbusho, Dar es Salaam. Kama sehemu ya shukrani kwa wateja wao waaminifu, kampuni...
  12. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania yard ya magari inayoungua Moto toka usiku maeneo ya viwanja vya sabasaba kilwa road

    Hivi mpaka magari yanashika Moto Kiasi kikubwa chanzo kinaweza kuwa nini.Tumepita saa nne hapo dereva daladala anasema Moto umeanza saa tisa usiku.
  13. bro alex

    JamiiForums Tanzania Billnas: Nililipa 700 milioni kama kodi ya magari yangu ya kutembelea mwaka jana tu

    Msanii bilnas amedai KUWA anamiliki gari la MILIONI mia SITA, IKIWA ni MOJA ya magari yake aliyo nayo HUKU akidai MWAKA JANA pekee kalipa Kodi ya magari yake MILIONI mia Saba. HUKU akilipia MILIONI KUMI na mbili HADI MILIONI ishirini KWENYE bima TU ya hayo magari. Kwishaaa Bro Alex on la...
  14. jerry spare parts service

    JamiiForums Tanzania Mbinu za Kisasa za Kugundua Matatizo ya Magari Bila Kuondoa Sehemu

    Katika zama za sasa, teknolojia imeleta mapinduzi makubwa katika utengenezaji na matengenezo ya magari. Moja ya maendeleo makubwa ni mbinu za kisasa zinazowezesha mafundi kugundua matatizo ya magari bila haja ya kuondoa sehemu za gari, jambo linalookoa muda, gharama, na hata kuzuia uharibifu...
  15. Dalali wa Mjini

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji wa Hotel, Hospital,kituo Cha mafuta,Yard ya Magari na Apartments.Ubungo Kibo

    Uwekezaji Uwekezaji Uwekezaji. Nakupa nyumba Za kuvunja zipo nyumba nne UBUNGO KIBO Nyumba 2 zinaangalia Morogoro Road 2 zipo nyuma. Hizi nyumba Ni Za familia moja wanauza Kwa pamoja. Hati za makazi. Hakuna mgogoro wowote ule. Bei ni Milion 900 mazungumzo yapo Kwa waanafamilia. Nipigie simu...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Je, Mafundi Wetu Ndio Wanaangamiza Magari Mapya? Tuchambue Ukweli

    Magari mapya yanayoingia nchini, hasa yenye plate mpya kama D au E, yamekuwa yakikumbwa na matatizo makubwa ndani ya muda mfupi tu baada ya kuanza kutumika. Hali hii imeibua maswali mengi kuhusu chanzo cha matatizo hayo. Uchambuzi unaonesha kuwa, licha ya uwezekano wa kuwepo kwa magari mabovu...
  17. jerry spare parts service

    JamiiForums Tanzania Lack of Proper Diagnosis Tools – Sababu Kubwa ya Magari Mapya Kuungua au Kuharibika Mapema

    Moja kati ya sababu kuu zinazochangia magari mapya – hata yale yenye namba mpya kama plate E – kuharibika mapema, ni ukosefu wa vifaa sahihi vya utambuzi wa matatizo (diagnosis tools) kwenye karakana nyingi hapa nchini. Katika miaka ya karibuni, magari mengi yamekuwa ya kisasa zaidi, yakiwa na...
  18. masopakyindi

    JamiiForums Tanzania Range Rover, Land Rover, Land Rover Discovery, magari ambayo kwa sasa Mwingereza amechemsha

    Range Rover ©Vauxford, CC BY-SA 4.0, Wikimedia Commons The Range Rover is often considered the top luxury SUV, but its reliability can be a nightmare. Although some owners quickly praise how well it drives off-road and how much they love the cushy interior, others are plagued with constant...
  19. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Aina za gia za magari mbalimbali (car transmission)

  20. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya waagizaji wa magari baada ya kupokea magari yao

    Some people wamenyooka sana anajua kabisa ana import used car so kukuta gari ina scratch, dents au hakuna jeki, wheelspanner, hata spare tire kwao ni minor issues anaelewa. Kuna baadhi ya watu huo ni ugomvi imagine mtu anaweza kususa gari kisa hamna wheelspaner hakuna kitu utamueleza akaelewa...
Back
Top Bottom