magari

  1. M

    JamiiForums Tanzania Free Car Inspection Kila Jumapili:Kuanzia sasa, kila Jumapili, tunafanya ukaguzi wa bure wa magari Jerry spare parts and services

    TANGAZO MAALUM Jerry Spare Parts and Services Jerry Spare Parts and Services tunayo furaha kuwakaribisha kwenye huduma zetu bora kabisa kwa wamiliki wa magari nchini Tanzania. Tupo kwa ajili yako – kuhakikisha usalama, uimara na ufanisi wa gari lako! Tunatoa huduma zifuatazo: 1. Free Car...
  2. jerry spare parts service

    JamiiForums Tanzania Jerry spare parts and services; Free Car Inspection Kila Jumapili:Kuanzia sasa, kila Jumapili, tunafanya ukaguzi wa bure wa magari

    TANGAZO MAALUM Jerry Spare Parts and Services Jerry Spare Parts and Services tunayo furaha kuwakaribisha kwenye huduma zetu bora kabisa kwa wamiliki wa magari nchini Tanzania. Tupo kwa ajili yako – kuhakikisha usalama, uimara na ufanisi wa gari lako! Tunatoa huduma zifuatazo: 1. Free Car...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Jerry spare parts and services; Free Car Inspection Kila Jumapili:Kuanzia sasa, kila Jumapili, tunafanya ukaguzi wa bure wa magari

    TANGAZO MAALUM Jerry Spare Parts and Services Jerry Spare Parts and Services tunayo furaha kuwakaribisha kwenye huduma zetu bora kabisa kwa wamiliki wa magari nchini Tanzania. Tupo kwa ajili yako – kuhakikisha usalama, uimara na ufanisi wa gari lako! Tunatoa huduma zifuatazo: 1. Free Car...
  4. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Amkeni: Serikali imetoa Tsh. bilioni sita kujenga ofisi mpya ya mkuu wa mkoa Dar, yatoa magari 2 ya milioni mia sita

    Wakuu, kuna uhitaji au ulazima wowote wa kujenga ofisi mpya za mkuu wa mkoa wa Dar es salaam zikiwa zimetolewa bilioni sita sasa, Ofisi zilizopo sasa zina changamoto gani mpaka kutaka kujenga ofisi mpya? == Serikali imetoa fedha shilingi Bilioni sita, kwa ajili ya kujenga ofisi mpya ya Mkuu wa...
  5. jerry spare parts service

    JamiiForums Tanzania Free Car Inspection Kila Jumapili:Kuanzia sasa, kila Jumapili, tunafanya ukaguzi wa bure wa magari Jerry spare parts and services

    TANGAZO MAALUM Jerry Spare Parts and Services Jerry Spare Parts and Services tunayo furaha kuwakaribisha kwenye huduma zetu bora kabisa kwa wamiliki wa magari nchini Tanzania. Tupo kwa ajili yako – kuhakikisha usalama, uimara na ufanisi wa gari lako! Tunatoa huduma zifuatazo: 1. Free Car...
  6. S

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali ya CCM itambue huu utitiri unaoongezeka kila siku wa magari ya ving'ora na taa za bluu unawaharibia sifa kuwa wanadamu kama Watanzania wote

    Hali inaongezeka kila siku nchini za viongozi wa Tanzania kutaka kujitutumua na kujitofautisha na Watanzania wengine, wananchi wa kawaida. Ile roho chafu ya "unanijua mimi ni nani" inawapa kiburi sana watu wanaojiona wao ni watawala nchini, pamoja na watu wa vyombo vyao vya dola. Angalia kwa...
  7. Mzalendo Uchwara

    JamiiForums Tanzania Kunani ongezeko la magari yanye ngao (bullbar) barabarani, zinaruhusiwa na wengine tufunge?

    Kwa kumbukumbu zangu magari yenye ngao yalipigwa marufuku kwa sababu ya usalama wa watumiaji wengine wa barabara. Hii ilisaidia kidogo madereva kuwa makini, hata kama una gari kubwa ilikuwa lazima uwe na nidhamu, ukigonga wenzako basi ujue fedha ya taa na bampa zinakuhusu. Sasa hivi kila basi...
  8. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Tuandikie jinsi unavyo-tamka jina la kampuni hii ya magari

    Aina ya gari ni BMW.
  9. Jembe Jembe

    JamiiForums Tanzania MFANYABIASHARA ALIA NA POLISI ARUSHA KUKATAA KUFUNGUA KESI,ADAI KUDHULUMIWA MAGARI NA MDOGO WA MBUNGE

    MWEKEZAJI wa sekta ya usafirishaji jijini Arusha ,Patrick Mulokozi amelalamikia Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kushindwa kumpa ushirikiano kuweza kupata mali zake ambazo ni mabasi mawili aina ya Costa aliyokuwa amekodisha kwa kampuni ya usafirishaji ya Impala shato inayofanya biashara ya...
  10. Ritz

    JamiiForums Tanzania Video: Hamas Al-Qassam vikiwalenga wanajeshi na magari ya Israel huko Gaza

    Wanaukumbi. BREAKING: Vikosi vya Al-Qassam: "Picha kutoka kwa mashambulizi ya "Simba wa Al-Muntar", ambayo yalilenga askari na magari ya adui katika kitongoji cha Al-Shuja'iya, mashariki mwa Jiji la Gaza, Aprili 25, 2025. Kanda hii inaonyesha mapigano ya saa mbili huku jeshi la Israel...
  11. Qs Cathbert

    JamiiForums Tanzania Hivi kwanini sisi binadamu hatuna plate number kama yalivyo magari na vyombo vingine vya moto?

    Kila nikiwa idle akili yangu huwa inanipeleka kufikiria vitu ambavyo hata mimi nashangazwa navyo lakini kwa hili,, nmeona bora nililete tufikirie wote🫠
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dar: Kapinga azindua Kituo Mama cha Gesi Asilia Iliyoshindiliwa (CNG), kitajaza Gesi Asilia kwenye magari 1200 kwa siku

    Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amezindua Kituo Mama cha Gesi Asilia iliyoshindiliwa (CNG) ambacho kina uwezo wa kujaza Gesi Asilia kwenye magari 1200 kwa siku huku kikifanya kazi kwa muda wa saa 24. Kapinga amezindua kituo hicho tarehe 9 Mei, 2025 jijini Dar es Salaam akimwakilisha...
  13. jerry spare parts service

    JamiiForums Tanzania Matengenezo ya magari na upatikanaji wa spare parts: Je, ni magari yapi yana gharama nafuu kuyahudumia Tanzania?

    Katika mazingira ya sasa ya kiuchumi, kumiliki gari kunahitaji uamuzi wa busara unaozingatia zaidi ya bei ya ununuzi. Gharama za matengenezo na upatikanaji wa vipuri (spare parts) ni mambo muhimu yanayopaswa kuzingatiwa kabla ya kufanya maamuzi. Ni aina gani ya magari ambayo kwa uzoefu wenu...
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Joseph Musukuma: Pesa za Mama Samia walizokopeshwa Wasanii, wameolea na kununulia Magari

    Mbunge wa Geita, Joseph Musukuma "...Mheshimiwa mfuko wa wasanii pesa alizotoa Mama Samia leo tukiuliza kuna shilingi ngapi au mliowakopesha wamerudisha shilingi ngapi wapo hapa kuchukua hela leo wengine na kuoa kununua magari, starehe zingine zimewaua na kuwaua..."
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania kumeanza kuwa na ubunifu wa magari sio kama zamani

    Katika siku za karibuni nilipata nafasi ya kushuhudia interview moja ya kipind cha clouds kina itwa The Gear ambacho hufanya na garage na wauza spare parts hapa Tanzania, Jerry spare parts and service. Ambapo kwenye kipindi hicho alikuwepo host ambaye ni CEO wa Jerry spare parts and service...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Jerry Spare Kahama Garage – Suluhisho la Magari Yako Hapa Kahama

    Jerry Spare Kahama Garage ni kituo cha kisasa cha matengenezo ya magari na mauzo ya vipuri halisi, kilichoanzishwa kwa lengo la kutoa huduma bora na za kuaminika kwa wamiliki wa magari mkoani Shinyanga, hasa katika mji wa Kahama na maeneo ya jirani. Ikiwa unahitaji kutunza gari lako liwe katika...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu spare parts za magari kabla ya kununua pia unaweza kununua kwetu jerry spare parts and services

    Watu wengi siku hizi wanakimbilia bei nafuu bila kujiuliza kuhusu ubora wa bidhaa wanazoweka kwenye magari yao. Ukiambiwa brake pads ni elfu kadhaa badala ya elfu kadhaa, unafurahi haraka bila kujua kuwa hiyo elfu 30 inaweza kukupeleka kwenye ajali. Siyo kila kilicho rahisi ni cha heri. Spare...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Mada maalumu ya magari, ufundi, garage, spareparts na kufahamu aina ya magari na huduma zake

    Habari za leo wadau wa JamiiForums! Kama unamiliki gari na unahitaji huduma bora, salama na za kuaminika, basi JERRY SPARE PARTS AND SERVICES ni sehemu sahihi kwako. Tunajivunia kutoa huduma bora zinazojumuisha uuzaji wa spea parts za magari, matengenezo ya magari katika garage yetu ya kisasa...
  19. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kiongozi wa Wilaya ya Maswa anayedaiwa Kuhujumu Mafuta ya Magari ya Serikali Afichuliwa

    Madereva wa magari ya serikali katika halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, wamemlalamikia,Katibu Tawala wa wilaya(DAS)ya Maswa,Athuman Kalaghe kwa madai ya kuamrishwa kuacha sehemu ya mafuta wanayopewa kwa matumizi ya magari yao, ili kiongozi huyo ayatumie kwa matumizi binafsi. Kwa...
  20. Jackpiano

    JamiiForums Tanzania Faida na changamoto za magari yanayotumia cng ( compression natural gas) part 1

    Part 1: Faida na Changamoto za Magari ya CNG Faida za kutumia CNG: Gharama ya kujaza ni ndogo, unaokoa hadi 50% ukilinganisha na petrol/diesel. Inapunguza uchafuzi wa hewa — moshi kidogo, mazingira safi. Inapunguza uchakavu wa injini kwa sababu CNG inaungua safi. Ukiwa na dual system...
Back
Top Bottom