N nafwa Member Joined Jun 7, 2025 Posts 6 Reaction score 1 Jul 2, 2025 #1 Kwa wenyeji wa Mbeya, tafadhali naomba kujua fundi mzuri wa umeme wa Magari ili anifanyie matengenezo. Natanguliza shukrani.
Kwa wenyeji wa Mbeya, tafadhali naomba kujua fundi mzuri wa umeme wa Magari ili anifanyie matengenezo. Natanguliza shukrani.
Mafeking JF-Expert Member Joined Aug 21, 2018 Posts 315 Reaction score 612 Jul 11, 2025 #2 Sogea soweto pale kuna gereji nyingi huwezi kosa fundi.