Hawa ndo magaidi

Hawa ndo magaidi

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,841
Reaction score
141,201
Waliomteka Humphrey Polepole.

Waliombambikia Tundu Lissu kesi ya kizushi.

Watu wasiojulikana.

Walioua Watanzania Oktoba 29.

Wanaokiuka katiba na kuiita ‘kijitabu’.

Wanaodai kuwa mauaji ya Oktoba 29 ni kazi ya kutukuka.

Shehe Mwaipopo.

Samia Suluhu.
 
Waliomteka Humphrey Polepole.

Waliombambikia Tundu Lissu kesi ya kizushi.

Watu wasiojulikana.

Walioua Watanzania Oktoba 29.

Wanaokiuka katiba na kuiita ‘kijitabu’.

Wanaodai kuwa mauaji ya Oktoba 29 ni kazi ya kutukuka.

Shehe Mwaipopo.

Na wewe Samia ndo gaidi mkuu.

Mpuuzi huna maana yoyote wewe 🖕.
Aisee kwa mara ya kwanza maishani mwangu leo nimeona bandiko lenye akili kutoka kwako wewe msukuma
 
Waliomteka Humphrey Polepole.

Waliombambikia Tundu Lissu kesi ya kizushi.

Walioua Watanzania Oktoba 29.

Mpuuzi huna maana yoyote wewe 🖕.
Kwa huyu Polepole amepata mshahara wa dhambi yake. Ukiwa mtu wa mfumo lazima uishi na siri za mfumo. Kitendo cha kuanza kuropoka mambo anayoyajua kuhusu Serikali ilikuwa sawa na kusaini death warrant yake yeye mwenyewe.

Polepole ni muasisi wa michezo michafu ya kuteka na kuua enzi wakiwa na Magufuli. No sympathies

Tundu naye ni mhaini, kauli yake ya kukinukisha tuliisikia
 
Kwa huyu Polepole amepata mshahara wa dhambi yake. Ukiwa mtu wa mfumo lazima uishi na siri za mfumo. Kitendo cha kuanza kuropoka mambo anayoyajua kuhusu Serikali ilikuwa sawa na kusaini death warrant yake yeye mwenyewe.

Polepole ni muasisi wa michezo michafu ya kuteka na kuua enzi wakiwa na Magufuli. No sympathies

Tundu naye ni mhaini, kauli yake ya kukinukisha tuliisikia
,,,🤔🤔🤔🤔
 
Kwa huyu Polepole amepata mshahara wa dhambi yake. Ukiwa mtu wa mfumo lazima uishi na siri za mfumo. Kitendo cha kuanza kuropoka mambo anayoyajua kuhusu Serikali ilikuwa sawa na kusaini death warrant yake yeye mwenyewe.

Polepole ni muasisi wa michezo michafu ya kuteka na kuua enzi wakiwa na Magufuli. No sympathies

Tundu naye ni mhaini, kauli yake ya kukinukisha tuliisikia
You’re entitled to your opinion, but no reasonable person can support state-sponsored terrorism against the state’s own people. That’s lawlessness!
 
Kuna wakati ninawaza na kuishia kukosa majibu sahihi.
Ataua watu wangapi!
Atafunga watu wangapi!
Atateka watu wangapi!
Atawapoteza watu wangapi!

Kwa nini na yeye mwenyewe asijitathmini na kuangalia ni wapi alijikwaa? Inawezekana vipi watu wakuchukie tu bila ya sababu?
 
Kwa huyu Polepole amepata mshahara wa dhambi yake. Ukiwa mtu wa mfumo lazima uishi na siri za mfumo. Kitendo cha kuanza kuropoka mambo anayoyajua kuhusu Serikali ilikuwa sawa na kusaini death warrant yake yeye mwenyewe.

Polepole ni muasisi wa michezo michafu ya kuteka na kuua enzi wakiwa na Magufuli. No sympathies

Tundu naye ni mhaini, kauli yake ya kukinukisha tuliisikia
Wewe utakuwa ni Mzanzibari aliyeharibiwa na waarabu wa zanzibar
 
You’re entitled to your opinion, but no reasonable person can support state-sponsored terrorism against the state’s own people. That’s lawlessness!
That is how intelligence systems operate globally: once you enter the system, you maintain absolute silence. Look at Edward Snowden, Julian Assange, or Alexander Litvinenko, who was ruthlessly liquidated with polonium on British soil. If you compromise classified intelligence, you seal your own fate; there is zero chance of survival.
 
Back
Top Bottom