maeneo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fbn

    JamiiForums Tanzania Uchokozi: Burundi wataka kuichukua Kigoma kutoka Tanzania

    Tukisema mnakimbikilia Amani wakati mjui mnachokifanya. Sasa JWTZ endeleeni kulinda CCM
  2. BABA TUPAC

    JamiiForums Tanzania Maeneo ambayo yatakuja kukua miaka ijayo hapa Dar

    Salam wakuu, Miaka kidogo nyumba maeneo kama Madale, Goba na Mapinga ilikuwa ni kama porini tu, viwanja vilikuwa vinapatikana kwa bei ya chini sana kwasababu hakukuwa na miundo mbinu yoyote ile lakini kwasasa bei za maeneo hayo ni kubwa sana. Kwa kulitambua hilo, ningependa kufahamu maeneo...
  3. O

    JamiiForums Tanzania KERO Wiki mbili hakuna maji maeneo ya Kunduchi na maeneo ya karibu

    Dah ishakuwa mtihani kwakweli, maji ya chumvi yanatupausha, hakuna namna Week ya pili sasa tuna taabika, Kukosa hivi visima kwenye misikiti sijui ingekuwaje walah
  4. Fbn

    JamiiForums Tanzania Walivyojipanga yale maeneo ambayo wanaona ndio chanzo kumbe yanaweza maandamano yakawa Zanzibar

    Sehemu zote zilizotokea October 29 Polisi, wanajeshi na TISS wamejazana wakiwa teyari kumwaga damu. Sasa wasicho kijua kinaweza kuwa yani walipo pangwa sio hapo. Mtakuja kushangaa kesho yakawa sehemu ambayo uwezi tegemea kabisa.
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Waislam kubalini Wakristo wamewazidi katika maeneo mengi nyeti. Kama haya kisha mjifunze

    Hamjambo! 1. Waislam ni kama Kaini kwa ndugu yake Habil. Wanaona wivu na kuwa na hasira na maendeleo ya Wakristo. 2. Mimi kwa upande wa Baba ni Waislam. Mara yangu ya Kwanza kuingia msikitini nilishangaa Sana. Waislam wengi hawajaujenga uislam kama taasisi. 3. Unaweza kuingia msikitini Siku...
  6. Chibike

    JamiiForums Tanzania Mwenyeji wa Nkasi, kabwe..biashara vipi maeneo hayo? Biashara ya uvuvi je?

    wadau kwema..? Eh bwana kun mwenyeji yeyote wa maeneo nliyotaja hapo kwenye kichwa Cha habari? Vip Kuna fursa zozote maeneo hayo ..iwe kilimo ama uvuvi ama biashara nyinginezo? Ntashukuru kama ntapata mpambanaji aliyeko maeneo ya kongo pia.
  7. bikira latifah

    JamiiForums Tanzania Wanajeshi JWTZ wenye silaha warudi kulinda Dar es Salaam, kulikoni?

    Leo naona ghafla jamaa wakiwa na silaha wamerudi tena kwenye barabara kuu hadi vituo vya mwendokasi wapo. Hapa katikati waliondoka wakawaachia polisi ila leo chap kama wamerudishwa wamezagaa mjini
  8. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania TBT: Unakumbuka nini maeneo haya?

    Hapo pembeni karibu na jengo la Tanesco ndipo palikuwa stendi ya daladala ubungo. Wewe unakumbuka nini maeneo hayo?
  9. Masalu Jacob

    JamiiForums Tanzania Vizuia moto maeneo ya Biashara

    Habari Tanzania ! Nawaomba sana watu wote wanaomiliki maeneo ya biashara, makazi na maeneo yenye mikusanyiko ya watu wengi; wawe wanaweka vifaa vya kukinga moto. Hii iwe ni utamaduni wetu tusipuuze na pia tukumbuke tuna sheria ya utunzaji mali hasa majengo na maeneo yenye bidhaa za...
  10. Koffi Annan

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maeneo ilipozikwa miili ya watanganyika wenzetu yaanza kufichuliwa

    Hivi kweli walidhani watazika watu na makaburi yasije kufukuliwa? Hao watu wote mliowazika watafukuliwa na kuzikwa kwa heshima kwenye makaburi ya mashujaa, na hiyo ndio itakua alama yenu chafu kwenye hili taifa itakayodumu milele. Binafsi hii ni taarifa ya pili kuiona juu ya hili sakata, nina...
  11. Agent-47

    JamiiForums Tanzania Watanzania, msijaribu kwenda kumtoa Lissu

    Watanzania!. Nimeona uzi wa britanicca kuhusu kwenda kwa lissu na wengine wamechangia kwenda huko. Mkienda na mkajaribu kumtoa mnaweza kumuweka kwenye hatari kubwa sana ya usalama wake. Wapo watu wahovu wanaweza kujipenyeza na kumdhuru. Kwa sasa yupo sehemu salama. Uhakika wa yeye kutoka...
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maeneo ya kimkakati ambayo Polisi hawawezi kuzuia maandamano

    1. Vituo vya kura 2. Sheli za mafuta Leo naongelea eneo la pili, "Fire/Fuel is the key" Ndugu wa Tanzania ikitokea mko karibu na kituo cha mafuta na polisi wameamua kutumia nguvu nyingi, kimbilieni eneo la Sheli ya mafuta kwa sababu hawawezi kurusha silaha yoyote ya moto, wakirusha Sheli...
  13. Ponjoro wa Kinondoni

    JamiiForums Tanzania Treni ya SGR yapata ajali asubuhi leo Oktoba 23, 2025 ikitokea Dar kuelekea Dodoma

    Treni ya Mwendokasi (SGR) imeripotiwa kuacha njia yake na kupata ajali katika eneo la Ruvu Mkoani Pwani asubuhi ya leo ikiwa inatokea Jijini Dar es salaam kuelekea Dodoma ambapo Abiria wawili walioongea na AyoTV wamesema hawajamuona yeyote aliyejeruhiwa isipokuwa ni hofu tu iliyowapata wachache...
  14. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania GE2025 Baadhi ya maeneo ya Iringa kumetapakaa matangazo ya kuhamasisha watu kuandamana Oktoba 29, 2025

    Katika baadhi ya maeneo Mkoa wa Iringa kumeonekana matangazo yalibadikwa yakieleza au kuhamasisha maandamano ambayo yatafanyika Oktoba 29, 2025 ambapo pia siku hiyo itakuwa ni siku ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu! Katika hayo mabango yameeleza kwanini watu waandamane? Moja ya sehemu ambapo...
  15. HAMISI HH

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa ni shule gani za primary za kiislam zilizopo maeneo ya kigamboni zinazofanya vizuri

    Habari wana Jamii. Naomba kufahamishwa ni shule gani za primary za kiislam zilizopo maeneo ya kigamboni zinazofanya vizuri. Asante
  16. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas walijaribu kwenda maeneo yasiyoruhusiwa walikipata cha moto!!

    Vifaru vya IDF vinawafyatulia risasi Wanajihadi wa Nazi huko Gaza ambao wanajaribu kutembea kuelekea kaskazini mwa Gaza. Hawaruhusiwi kwenda kaskazini zaidi kutoka hapo walipo.
  17. TUJITEGEMEE

    JamiiForums Tanzania Nani Wanufaika Wakuu wa Foleni Jijini Dar es Salaam na Maeneo mengine Nchini?

    Nani Wanufaika Wakuu wa Foleni Jijini Dar es Salaam na Maeneo mengine Nchini? Na nani waathirika wakuu wafoleni hizi? Nini kifanyike kuwanusuru waathirika wakuu wa foleni hizi? Uzi tayari. Karibuni kwa majibu.
  18. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Maajabu Taarifa Rasmi ya Police Mwili uliokutwa ukielea mtoni maeneo ya jangwani aug.27 ukiwa kwenye mfuko, police yadai alikuwa akianguka kifafa!

    Ukistaajabu ya musa, utayaona ya firauni!.. hii hapa chini ni taarifa rasmi ya jeshi la police juu ya uchunguzi wa tukio la mtu kukutwa akiwa anaelea ndani ya kiroba akiwa amefariki katika mto msimbazi maeneo ya jangwani... Polisi wanadai wameambiwa na ndugu wa marehemu kuwa marehemu alikuwa...
  19. kyagata

    JamiiForums Tanzania Ukiwa maeneo yako ya kujidai kama bar, huwa unajulikana kwa a.k.a gani?

    Mimi kuna bar hapo Tabata wamenipa jina la king mswati.Hilo jina walinipa kwa sababu ya kila bar maid anaekuja lazima nipite naye, Wadau wakaamua kuniita king mswati. Wewe je mdau, maeneo yako ya kujidai wanakujua kwa a.k.a gani?
  20. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Miaka minne na nusu ya Utawala wa Rais, Samia Suluhu Hassan: Wilaya ya Mbogwe imepiga hatua gani?

    Leseni 41 za utafiti wa madini zimetolewa Leseni 548 za wachimbaji zimetolewa Leseni 147 za maeneo tengefu Vituo vya afya vimeongezeka mara mbili zaidi kutoka 14 wakati anaingia madarakani na kufikia 28 vilivyopo sasa. Ongezeko la wataalamu wa afya kutoka 181 kufikia 283 Ongezeko la Shule za...
Back
Top Bottom