Nimeingia mitandao mbalimbali na kukutana na taarifa kuwa IGP, CDF na DCI wanatakiwa kwenda kutoa ushahidi kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu, lakini kilichonishangaza ni kwamba machawa yanaonekana kuchanganyikiwa zaidi kuliko mshtakiwa hii inamaanisha nini wadau? Naomba majibu.
Nimekuwa nikifuatilia taarifa mbalimbali mitandaoni hadi sasa nimegundua kuwa taarifa inayofatiliwa kwa kiwango kikubwa ni kesi ya mchongo aliyobambikiwa Jabali la siasa ambapo hata machawa wameipa kipaumbele, sasa swali langu ni je hawa machawa wamemtelekeza mama yao aliyepatwa msiba wa baba...
Katiba hii inatoa nafasi kubwa sana za nafasi za utendaji muhimu sana kwa maisha ya wananchi na maendeleo ya nchi kwa kuteua teua tu.
Ukweli ni kwamba hii inawafanya watu wazembe wawekeza sana kwenye kujipendekeza kusifia na kupiga majungu kwa sababu wana uhakika mteuaji ana nafasi kubwa ya...
Waungwana naamini mko poa, kunajambo nimetafakari ya kuwa katambi yule waziri fake wa mambo ya ndani baada ya kuona genge lao la wateka, wauwaji, mafisadi na Macartel ya mafuta limepuuzwa sasa wameona waje na kuita wasanii polisi
Kwa akili yangu hii ni kujaribu kudraw attention kwa wajinga so...
Nchi yetu ipo katika eneo la kimkakati na hivyo inaingizwa kwenye vita ya kiuchumi na kiutawala kutokana na Jografia yake.
Jambo linaloshangaza ni kuona hakuna wasomi wabobevu mithili ya Kabudi wanaojitokeza kutoa lecture muhimu kwa kizazi cha GEN Z badala yake wanaibuka malecturer machawa na...
Kuhusiana na swali hapo juu mimi nimeelewa kuwa CCM ndio maana imekufa na hii imefanya nione kuwa ruling hii ni Determinant factor/test on the knowledge of the ccm sycophants.
Kwanin nasema hivyo kwasababu unaona kuwa uelewa wa machawa ni wa chini mno yani chini mnoo, haelewani what is a...
Huu uzi ni kwa ajili ya matendo ya vituko vya machawa.
Nimeona ni muhimu kukumbushana vituko vya machawa hasa kwa wakati huu ambapo UCHAWA umekuwa ajira rasmi na kitu cha kujivunia na wapo baadhi ya machawa wanajinasibu kwa kazi yao hiyo na hata kufikia kuwakejeli ELITES wasomi wakufunzi wa...
Wanabodi,
Angalizo.
Simple minds discuss people, great minds discuss ideas, hili sio bandiko la kudiscuss people, ndio maana hakuna jina la mtu yeyote limetajwa humu, hivyo nakuomba hata kama wewe ni simple mind, ukajisikia unawashwa washwa kutaja majina, nakuomba jifanye great mind kwa...
Wanabodi,
Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi la leo, nikiuzungumzia msemo wa "tell the truth and the truth will set you free", Tanzania tumefikishwa hapa na viongozi wanao chelea kuusema ukweli, kwa kuhofia utawaudhi watu, hivyo Tanzania itaokolewa na viongozi wakweli, kama Dr...
Hii video ya machawa waomba pesa kwa matajiri huko Nigeria ni vurugu tupu, haina ustaarabu kabisa na inatweza utu wa waomba pesa, niwasifu machawa waomba pesa wa Tanzania na matajiri wao kwa kulifanya jambo hili kuwa la mtindo wa heshima na staha kidogo. Africa Inasikitisha sana.
Mkurugenzi Mstaafu wa TBC, Mr Rioba,nimemsikiliza kidogo akidadavua mambo anuai,
Nimejisikia Vibaya sana kuwa anafanyiwa interview na Mtoto katika Tasnia ya habari, kwenye Maswala mazito na Sensitive. Anajiona anashusha pointi kwakuwa anayeongea naye ni vijana wake bila shaka...
Huu ndiyo ukweli uliopo
Chawa mpoo!!
2030 au kabla ya hapo, wauwaji wote hamtajitetea, Kila aliyeshiriki kufanya mauwaji au kuhusika kwa namna yoyote Ile, hatakaa salama!
TANZANIA yenye matumaini na Amani, ipo yaja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.