machawa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Jamani naomba kuuliza mchange wa ccm anaakili timamu au ni dishi lililoacha dawa kama machawa wa ccm wengine wakiwa humu jf?

    Kama kichwa Cha habari kilivyo hapo juu, ndugu zangu hapa namaanisha those with sober mind na sio machawa nimemsikiliza mtu anaitwa mchange online tv anasema Mnyika hakugombea ubunge 2015 Kwa kuwa hakukubaliana na ujio wa Lowassa sasa swali langu ni je huyo jamaa mchange akili zake ziko sawa au...
  2. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Yakuzomewa na ya Jumuiya ya Madola, Yamewaacha Machawa ,CCM na Wahuni wasijue waendelee kumchafua HECHE au wajikite na Vibano hivo

    Tuliwaambia Yana Mwisho hayaaa
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kwa wenye akili tu, jaribu kufikiria baada ya MwanaFA kuzomewa Dk. Samia na machawa wake hali zao zikoje in terms of mental fitness

    Kama habari ilivyo hapo juu, je mmejaribu kuwaza na kuwazua kuwa hali ya Samia na machawa wake ikoje baada ya waziri wake wa mchongo kuzomewa pale daresalama.
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mabepari wanalia kukatiwa Mirija. Poleni Machawa wote mnaopinga Katiba mpya

    Nimekumbushwa huu wimbo wa Mabepari walia kukatiwa Mirija. Wqlipotangaziwa azimio la Arusha. Mafisadi wa CCM na Chawa wao ndivyo watalia ikitungwa katiba mpya. Katiba mpya yaja, Poleni Machawa wote. Mafisadi na wasioitakia mema Nchi wamejitahidi kupinga katiba Mpya ila imeshidikana sasa ni...
  5. F

    JamiiForums Tanzania Kwa uchawa huu kweli kuna tofauti ya machawa na yule awafugaye/

    Tangu Samia aingie madarakani tokana na ajali ya kifo cha Jiwe, ameshikilia sera uchwara ya uchawa. Je, naye ni chawa au mfuga machawa? Je, taifa. limefaidika vipi tokana na sera hii kama kweli ni sera? Je, kuwaita watu machawa, hata kama wanakubali tokana na uzwazwa na ukosefu wao wa ubunifu...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Jamiiforums ipige life ban machawa wa ccm

    Nawataja wafuatao, wengine mtaongeza. Haya majinga yanaharibu hadhi ya JF, wengine tunakosa hata mood ya kuingia JF kwa sababu ya haya mapumbavu. Lucas Mwashambwa Stroke gallow bird MamaSamia2025 Tlaatlaah ChoiceVariable narogo Samia atosha tukutane2030
  7. M

    JamiiForums Tanzania Jamiiforums ipige life ban machawa wa CCM

    Nawataja wafuatao, wengine mtaongeza. Haya majinga yanaharibu hadhi ya JF, wengine tunakosa hata mood ya kuingia JF kwa sababu ya haya mapumbavu. Lucas Mwashambwa Stroke gallow bird MamaSamia2025 Tlaatlaah ChoiceVariable narogo MamaSamia2025 KERATO MOMBAA Dr wa Manesi Kizibao mdogoee Haya...
  8. R

    JamiiForums Tanzania Watu hatari katika taifa hili au machawa hatari

    1. Chalamila 2. Kihongosi 3...,.........
  9. T

    JamiiForums Tanzania CCM imetengeneza serikali ya majizi na mifumo ya majizi na sasa kumeletwa machawa kuimarisha mifumo ya wizi!. Soma ushahidi hapa

    Hii nchi imeharibiwa sana na kutengenezwa kuwa pori kubwa sana yaani (the jungle of thieves,). Na walioshika mpini hawana mpango kabisa wa kutatua hii changamoto kwa sababu nyingi tofauti tofauti. Ushahidi wa haya mambo uko wazi na dhahiri sana, ikiwa ni pamoja na hiki kinachoitwa ziara za...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Machawa wa Zanzibar wanamwita Makamu Yuda!

    Tumesikia wanzanzibari wakimwita makamu wa Raisi Yuda na eti ana jipendekeza kwa kivuli cha marehemu Magufuli. Lakini wanasema Magufuli alimpeleka nchi za mbali. Sasa uyuda ni kupinga utekaji na wizi wa kura?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Machawa: Kumteka house boy kunamsaidia vipi Mama

    Yaani unaenda kuteka ma houseboy wa viongozi wajinga jinga upinzani kumtisha nani! Usalama badala ya kufanya kazi wanashinda kuvuzia Mpaka ma house boys. Mama ananufaika na nini hasa? Mnawasaidia sana wenye kesi za mauaji huko
  12. Club Mate

    JamiiForums Tanzania Machawa wakusanyika kwenye Comments za Rio Ferdinand

    "Wizara ya Amani inajishughulisha na vita, Wizara ya Ukweli na uongo, Wizara ya Upendo na mateso, na Wizara ya Utele na njaa. Mikinzano hii si ya bahati mbaya, wala haitokani na unafiki wa kawaida: ni matendo ya makusudi ya fikra maradufu." George Orwell, Kitabu cha "1984"
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wanawake mna haki kuwadharau wanaume machawa na Wambea wambea

    WANAWAKE MNAYOHAKI YA KUDHARAU WANAUME MACHAWA NA WAMBEA WAMBEA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Binti zangu, usione haya wala aibu yaani usijifiche kuonyesha dharau kwa Mwanaume yeyote mwenye tabia za kichawa chawa. Kimbea mbea. 2. Hata kama ni Mimi Babaako, hata kama ni mimi mumeo...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Tanzania kamwe hatafikiria kama Samia na Machawa wake

    https://youtu.be/sZv8yMHKNII?si=MjFJqevJHzHcN9bi warioba kasema yote
  15. R

    JamiiForums Tanzania Machawa wamemwagwa JF, tuwablock wabaki wanawasiliàna wenyewe mimi nimeblock wawili leo

    Ndiyo dawa yao..Block them wabaki peke yao!
  16. K

    JamiiForums Tanzania Tuslikuwa na Imani na Mahakama na Jeshi lakini sasa ni la Machawa!

    Tuslikuwa na Imani na Mahakama na Jeshi lakini sasa ni la Machawa! Tumebaki wenyewe
  17. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Media, Tukiendelea Kunyamazia Unyanyasaji wa Uhuru wa Habari Unaofanywa na JAB na TCRA, Mwisho wa Siku, Ama Tutanyamazishwa Jumla Ama Tuwe Machawa?.

    Wanabodi, Hii ni Makala yangu gazeti la mwananchi la leo https://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/kwa-nini-tunahitaji-kuulinda-uhuru-wa-vyombo-vya-habari-5417540 Hili ni Swali: Media tukiendelea kuunyamazia unyanyasaji huu wa uhuru wa habari na uhuru wa maoni kwa mujibu wa Ibara ya 18 ya Katiba...
  18. east36

    JamiiForums Tanzania Ukweli Mchungu: Machawa wa CCM na uhalisia wa maisha ya mtanzania

    Nauliza kwa dhati kabisa Nauliza swali ambalo wengi wanaogopa kuliuliza waziwazi… Hivi hawa machawa wa CCM wanaishi nchi hii hii tunayoiishi sisi, au wanaishi kwenye dunia yao? Kwa sababu ukweli hauhitaji kupakwa rangi, Maisha yamekuwa magumu kupindukia Vijana hawana ajira Wananchi wanalia...
  19. K

    JamiiForums Tanzania Vijana muwe makini: Msije kuondoka Duniani na miaka 70! kama machawa

    Vijana muwe makini: Msije kuondoka Duniani na miaka 70! kama machawa. Ishi kwa kutenda kazi na kutetea maendeleo
  20. H

    JamiiForums Tanzania Upungufu wa machawa kwa Sasa haupo ,tunaomba Sasa watu wenye kutuambia ukweli maana ndio wakutusaidia ,na nyie wasema ukweli muwe na staha!

    Katika mazingira yoyote ya kazi au jamii, maendeleo ya kweli huanza pale tunapojenga utamaduni wa kuambizana ukweli kwa nia njema na kwa heshima. Ni muhimu kuelewa kwamba uchawa uliopitiliza haujengi, bali hudhoofisha misingi ya uongozi na kuua ubunifu pamoja na uwajibikaji. Pale ambapo watu...
Back
Top Bottom