machawa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. V

    JamiiForums Tanzania Asilimia 99.5 ya watu duniani ni machawa

    Hii ni kwa sababu uchawa ni kusifia kitu au mtu ata katika madhaifu yake. Mtu ambaye siiyoo chawa atakuambia wapi umekosea na wapi umepatia.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Machawa wamechanganyikiwa baada ya IGP, CDF na DCI kupewa amri ya kwenda kutoa ushahidi

    Nimeingia mitandao mbalimbali na kukutana na taarifa kuwa IGP, CDF na DCI wanatakiwa kwenda kutoa ushahidi kesi ya Uhaini inayomkabili Tundu Lissu, lakini kilichonishangaza ni kwamba machawa yanaonekana kuchanganyikiwa zaidi kuliko mshtakiwa hii inamaanisha nini wadau? Naomba majibu.
  3. K

    JamiiForums Tanzania Je machawa yaamemtelekeza mama yao aliyefiwa?

    Nimekuwa nikifuatilia taarifa mbalimbali mitandaoni hadi sasa nimegundua kuwa taarifa inayofatiliwa kwa kiwango kikubwa ni kesi ya mchongo aliyobambikiwa Jabali la siasa ambapo hata machawa wameipa kipaumbele, sasa swali langu ni je hawa machawa wamemtelekeza mama yao aliyepatwa msiba wa baba...
  4. Kiranja Mkuu

    JamiiForums Tanzania Picha za machawa mbalimbali wa mama

  5. T

    JamiiForums Tanzania Katiba hii inaua ubunifu umahili na ushindani inaibua machawa na wanafiki haitufai hata kidogo.!

    Katiba hii inatoa nafasi kubwa sana za nafasi za utendaji muhimu sana kwa maisha ya wananchi na maendeleo ya nchi kwa kuteua teua tu. Ukweli ni kwamba hii inawafanya watu wazembe wawekeza sana kwenye kujipendekeza kusifia na kupiga majungu kwa sababu wana uhakika mteuaji ana nafasi kubwa ya...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuona wamepuuzwa wamekuja na kiki ya Machawa wao wanaowaita wasanii

    Waungwana naamini mko poa, kunajambo nimetafakari ya kuwa katambi yule waziri fake wa mambo ya ndani baada ya kuona genge lao la wateka, wauwaji, mafisadi na Macartel ya mafuta limepuuzwa sasa wameona waje na kuita wasanii polisi Kwa akili yangu hii ni kujaribu kudraw attention kwa wajinga so...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Mshangao: Mpaka Leo kosa la Nchimbi haliko wazi sasa machawa wanapongeza nini??

    Machawa wameanza kupongenza kufukuzwa kwa Nchimbi bila hata kujua sababu!!! semeni kwa Watanzania kosa la Nchimbi ni lipi????
  8. funaku

    JamiiForums Tanzania Machawa wa CCM VS Machawa wa CDM ..Kwa nini hatuna wasomi wa siasa wenye kuja na ukweli kipindi hiki?

    Nchi yetu ipo katika eneo la kimkakati na hivyo inaingizwa kwenye vita ya kiuchumi na kiutawala kutokana na Jografia yake. Jambo linaloshangaza ni kuona hakuna wasomi wabobevu mithili ya Kabudi wanaojitokeza kutoa lecture muhimu kwa kizazi cha GEN Z badala yake wanaibuka malecturer machawa na...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Rasmi sasa Watanganyika ni machawa tu ndani ya CCM

  10. K

    JamiiForums Tanzania Wadau kitendo Cha Nchimbi kufukuzwa kama nguruwe kwenye shamba la mihogo, je machawa wa humu jf na kwingineko watafukuzwaje?

    Ikiwa Nchimbi amefukuzwa kama nguruwe kwenye shamba la mihogo, hebu piga picha machawa wa humu jf na kwingineko namna watakavyofukuzwa.
  11. K

    JamiiForums Tanzania Baada ya ruling ya HC kutoka kuhusu kesi Lissu je mmegundua nini juu ya uelewa wa machawa?

    Kuhusiana na swali hapo juu mimi nimeelewa kuwa CCM ndio maana imekufa na hii imefanya nione kuwa ruling hii ni Determinant factor/test on the knowledge of the ccm sycophants. Kwanin nasema hivyo kwasababu unaona kuwa uelewa wa machawa ni wa chini mno yani chini mnoo, haelewani what is a...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini CCM na machawa wao wakisikia neno Lissu wanatetemeka hadi kushikwa matumbo ya kuhara?

    Nimekuwa nikijiuliza hivi kwanini ccm na machawa wao wakisikia neno Heche na Lissu Huwa wanahara? Naomba majibu tahadhari.
  13. a sinner saved by Christ

    JamiiForums Tanzania Matendo ya vituko vya machawa

    Huu uzi ni kwa ajili ya matendo ya vituko vya machawa. Nimeona ni muhimu kukumbushana vituko vya machawa hasa kwa wakati huu ambapo UCHAWA umekuwa ajira rasmi na kitu cha kujivunia na wapo baadhi ya machawa wanajinasibu kwa kazi yao hiyo na hata kufikia kuwakejeli ELITES wasomi wakufunzi wa...
  14. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Baada ya Machawa Majinga Fulani Kumkufuria Kaka, Akayapuuza kwa Kuyanyamazia Aka..., Sasa Yameanza Kumkufuria Dada!, Ayapuuze, Ayanyamazie au Akemee?.

    Wanabodi, Angalizo. Simple minds discuss people, great minds discuss ideas, hili sio bandiko la kudiscuss people, ndio maana hakuna jina la mtu yeyote limetajwa humu, hivyo nakuomba hata kama wewe ni simple mind, ukajisikia unawashwa washwa kutaja majina, nakuomba jifanye great mind kwa...
  15. Kiranja Mkuu

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa machawa wote

  16. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Ukweli ni Ukweli Hata Uwe Mchungu Vipi!. Tanzania Itaokolewa na Viongozi Wakweli na Wasema Ukweli, la Katiba Alilosema VP Bal. Dr. Nchimbi, ni Ukweli!

    Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye Gazeti la Mwananchi la leo, nikiuzungumzia msemo wa "tell the truth and the truth will set you free", Tanzania tumefikishwa hapa na viongozi wanao chelea kuusema ukweli, kwa kuhofia utawaudhi watu, hivyo Tanzania itaokolewa na viongozi wakweli, kama Dr...
  17. Yoda

    JamiiForums Tanzania Mtindo wa maisha wa kupata kipato kwa kuomba pesa matajiri Tanzania unafanyika kistaarabu na staha sana.

    Hii video ya machawa waomba pesa kwa matajiri huko Nigeria ni vurugu tupu, haina ustaarabu kabisa na inatweza utu wa waomba pesa, niwasifu machawa waomba pesa wa Tanzania na matajiri wao kwa kulifanya jambo hili kuwa la mtindo wa heshima na staha kidogo. Africa Inasikitisha sana.
  18. BOB LUSE

    JamiiForums Tanzania Dr Ayoub Rioba, afanye exclusive interview na Pascali Mayala, sio hao Watoto!

    Mkurugenzi Mstaafu wa TBC, Mr Rioba,nimemsikiliza kidogo akidadavua mambo anuai, Nimejisikia Vibaya sana kuwa anafanyiwa interview na Mtoto katika Tasnia ya habari, kwenye Maswala mazito na Sensitive. Anajiona anashusha pointi kwakuwa anayeongea naye ni vijana wake bila shaka...
  19. M

    JamiiForums Tanzania Ni kweli CCM ndio inayotawala, ila wanaotawaliwa hawapo isipokuwa kundi la wauwaji pekee na 2030 tutadili nao

    Huu ndiyo ukweli uliopo Chawa mpoo!! 2030 au kabla ya hapo, wauwaji wote hamtajitetea, Kila aliyeshiriki kufanya mauwaji au kuhusika kwa namna yoyote Ile, hatakaa salama! TANZANIA yenye matumaini na Amani, ipo yaja
Back
Top Bottom