mabomu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MK254

    Israel yaanza kushusha mvua ya mabomu Rafah

    Magaidi yote ya dini yaliyojificha pale lazima yaliwe.... The Israel Air Force struck various targets across the Rafah area in the Gaza Strip. https://twitter.com/Jerusalem_Post/status/1778155611923841222
  2. BAKIIF Islamic

    Israel imefungua vituo vya kujikinga kwa mabomu mjini Tel Aviv, ikihofia mashambulio ya makombora ya Iran

    Rais wa Iran Ebrahim Raisi ametoa wito kwa nchi zote za Kiislamu kuungana dhidi ya Israel. Hali ya mtaa huko Haifa nchini Israel na kufurika kwa wa-Israel kuelekea vituo vya kujikinga na mabomu Hofu imetawala: Israel imebana GPS katika viwango vya juu zaidi katika eneo lake kwa hofu ya...
  3. Andre-Pierre

    Mabomu ya machozi yanapigwa nje ya uwanja wa Taifa, mashabiki waliokata tiketi wamezuiwa kuingia

    Mliopo kwa Mkapa mtujuze, nasikia polisi wanafyatua mabomu ya machozi baada ya mashabiki wenye tiketi kuzuiwa kuingia uwanjani kisa uwanja umejaa. Mliopo uwanjani mtujuze ukweli upoje?
  4. MK254

    USA yatoa maelfu ya mabomu yatakayotumika kufumua Rafah

    Gaidi lazima apigwe mpaka damu imtoke maskioni....... The US in recent days authorized the transfer of billions of dollars worth of bombs and fighter jets to Israel, according to two sources familiar with the effort, Reuters reported on Friday. This is despite Washington’s public expresses of...
  5. MK254

    Picha: Jinsi Lebanon kunawaka moto ya mabomu ya Israel

    Lebanon wanaendelea kupokea adhabu kwa ajili ya Hezbollah... Three civilians were killed in an Israeli strike on a residential building in the south Lebanon city of Nabatiyeh this evening, a Lebanese security source says. “Three civilians dead in the Israeli strike, including two women,” a...
  6. MK254

    Mabomu yarindima kwenye masoko ya walalahoi Somalia, 10 wafa

    Vigumu sana kuwaelewa hawa, yaani hata kuwa na ujirani nao ni hatari sana. Wote dini moja, kabila moja, lugha moja lakini wanauana kiholela, sasa mabomu unalipua kwenye masoko ya walalhoi ukilenga nini haswa. =========== Several blasts at a popular open-air market in Somalia's capital...
  7. JanguKamaJangu

    Rais Mwinyi: Baada ya mabomu kulipuka Gongo la Mboto niliwasilisha ujumbe wa kujiuzulu, JK akakataa kujiuzulu kwangu

    Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi anasema "Ilipotokea ajali ya mabomu kule Gongo la Mboto, mimi nikiwa Waziri wa ulinzi nilipeleka ujumbe kwa Rais wangu wakati huo Mhe. Kikwete nikimtaka aliridhie nijiuzulu lakini sikukurupuka kwenda kwenye vyombo vya habari nikatangaza kwamba nimejiuzulu...
  8. Ritz

    Israel itawamaliza Mateka wake kwa kushambulia Gaza wamewaua mateka wengine wawili kwa mabomu

    Wanakumbi. Taarifa za hivi punde kutoka kwa Hamas zinadai kuwa mateka wawili kati ya watatu walioonyeshwa kwenye video yao ya awali wamekufa kutokana na mashambulizi ya Israel huko Gaza. Wanajeshi wa Israel kutoka kitengo cha 36 baada ya kuondolewa Ukanda wa Gaza wameshangilia sana wengine...
  9. MK254

    Magaidi ya Houthi yapiga meli ya Urusi mabomu, yamechanganyikiwa tangu kipigo cha USA

    Urusi wajifunze kwa ujinga wao wa kutaka kushikamana na mazombi wa dini ile... Houthi militants mistakenly targeted a tanker carrying Russian oil in a missile attack on Friday off Yemen, British maritime security firm Ambrey said. The United Kingdom Maritime Trade Operations (UKMTO)...
  10. MK254

    USA wapiga Houthi mabomu mengine tena na tena, magaidi yaanambulia kusema yatalipa kisasi

    Magaidi ya kidini yanaendelea kupigwa huku yaking'aka kwamba yatalipa kisasi...... The US military early Saturday struck another Houthi-controlled site in Yemen that it had determined was putting commercial vessels in the Red Sea at risk, a day after the US and Britain launched multiple...
  11. MK254

    Marekani kuanza kuamsha mabomu yake ya nyuklia

    Haka kadunia ketu naona tunaelekea kukafuta hivi hivi tukiona. ======== AIKEN, U.S. -- While China is bolstering its nuclear capabilities, the U.S. -- the first country to produce atomic weapons, in 1945, and the world's top economic and military superpower -- is facing a deeply worrying...
  12. MK254

    Lebanon yashushiwa mabomu na IDF

    Israel bado wanaonya, ifahamike hawajafanya kitu Lebanon, hapa wanaendelea kuonya tu. Endeleeni kuwachokoza ila msije mkalalamika na kulia lia kama inavyotendeka Gaza. ======= Israeli strike in Aita Shaab (AP) The recent Israeli airstrikes in southern Lebanon have reignited memories of the...
  13. Superbug

    Naftal Benet: Tusipoifuta Hamas na kuwapiga islamists terrorists wataipiga mabomu London na New York

    NAFTAL BENET anahojiwa sasahivi kwenye kipindi cha hard talk BBC anasema yeye mwenyewe kama komando alishiriki vita ya 2002 na kuwateketeza magaidi. Pia anasema waaipoipiga HAMAS sasa na kuvunja vunja magaidi ya kiislamu basi kuna siku yatazilipua LONDON NA NEW YORK. Na mwisho amemalizia kwa...
  14. Execute

    Matukio ya kulipua mabomu kule Arusha yaliisha baada ya hawa mashehe wanaohukumiwa sasa kukamatwa

    Naipongeza mahakama kwa kuwatia hatiani hawa wapuuzi walioua na kujeruhi wengine kwasababu ya itikadi za kipumbavu. Mtu yeyote atakayefundisha kama yule marehemu ilunga anapaswa kushughulikiwa mapema kabla hayajatokea maafa kama yale ya arusha na zanzibar.
  15. MK254

    Marekani yaipa Israeli mabomu ya kufumua mahandaki, yaani linapiga hadi kunako

    Hiyo Gaza muisahau, inazidi kufanywa shamba... The U.S. has provided Israel with large bunker buster bombs, among tens of thousands of other weapons and artillery shells, to help dislodge Hamas from Gaza, U.S. officials said. The surge of arms, including roughly 15,000 bombs and 57,000...
  16. BARD AI

    Maputo: Polisi watumia Mabomu ya Machozi na Kujeruhi Waandamanaji wanaopinga Matokeo ya Serikali za Mitaa

    Polisi Jeshi la Polisi jijini Maputo limetumia Mabomyu ya Machozi kuwatanya Waandamanaji wa Upinzani huku wengine wakijeruhiwa kutokana na kupinga matokeo ya Uchaguzi uliofanyika Wiki moja iliyopita wakidai Chama Tawala (FRELIMO) kiliiba Kura. Maandamano hayo yanafuatia uamuzi mwingine wa...
  17. Mganguzi

    Tff na serikali , hakikisheni,mageti yanafunguliwa mapema ,hatutaki Tena habari za mabomu na kupiga watu bila sababu

    Habari ndiyo hiyo upumbavu wa kufungua mageti saa nane na huku mkijua mifumo yenu ni slow na niyakizamani mtaleta maafa siku ya ijumaa ! Mtu akitoa pesa yake aheshimiwe ,utapeli wakupiga watu bila sababu tutakuja kutoka na roho ya mtu ! Nimewapa onyo mjifanye wajuaji ,
  18. MK254

    Kanisa kongwe Gaza limehifadhi Waislamu waliokimbia mabomu, limewapokea kwa upendo

    Wengi wamehojiwa na kusema kwa walivyopokewa yaani hawajaona upendo kama huo kwa muda mrefu. Hongereni sana Wakristo kwenye hilo kanisa, waonyesheni inawezekana kuishi na watu bila kuwachinja kwa jina Mungu, na kwamba dini inapaswa kuwa kitovu cha amani na utulivu..... =========================...
  19. MK254

    Uganda, polisi wakamata mabomu ya magaidi yenye mlengo wa kiislamu yaliyokuwa yamepangwa kulipua makanisa

    Matukio kama haya ndio hufanya mapagan wasioabudu katika Mungu wanatushangaa sisi tunaoabudu maana mtu anakuja kabisa kupanga kuwalipua mabomu wakati mnaabudu ili mfe, huku akijiaminisha anachokifanya ni ibada kabisa kwa 'mungu' wake. ========================== Ugandan police foiled a bomb...
  20. sky soldier

    Kazi chafu: Hamas wanategeshea mabomu wanaohama Gaza Kaskazini ili kuwatisha wabaki, wanawasingizia Israel kuwalipua wanaohama

    Hamas wanategesha mabomu kwenye magari yanayohamisha watu Gaza kaskazini, Hamas hawaoni taabu kuua wapalestina kwa lengo la kutengeneza propaganda kuwasingizia Israel ndio wanafanya haya mashambulizi
Back
Top Bottom