Father of All
Member
- May 30, 2026
- 40
- 66
Akiwa nchini Urusi kwa ziada ya kikazi, rais Samia alijikuta katika mtanange ambapo mji wa St Peterburg ulishambuliwa na drone za Ukraine. Kwa kiongozi wa nchi, hii inaleta picha gani?
Mbali na hilo, alivyokuwa akihangaika kusoma wakati akitoa salamu za kawaida ambazo hazikuhitaji maandishi, inaonyesha ubovu wa kuwa na kiongozi mwenye elimu haba.
Leo, hayo ndiyo nimeona kwenye ziara hii .