Naombeni kuuliza kwa unyenyekevu, mabinti Sayuni wenzangu mnawezaje kuendelea kuishi mkiwa single bila kushiriki dhambi ya uzinzi? Mimi binafsi najikuta kama ni vita ngumu, hasa wakati mwingine hisia zinapozidi.
Je, mnaweza kushiriki mbinu au njia mnazotumia kudhibiti mwili na hisia hadi pale...
Zamani za kale walikuwa wanawasingizia wanawake wa eneo wanaokula ndizi kwa saana.
Nimeshangaa nilikuwa kwenye kijiji kimoja mabinti wa kisukuma wanakodi vyumba vya gesti na wanachobakiza ni kujiuza na kufanya umalaya.
Kuuliza nikaambiwa eti ni kawaida yao karibu senta zote eneo la wilaya hiyo...
Wakuu, ngoja leo niseme jambo moja ambalo nimepatwa nalo hapa katikati nilipokua kwenye mihangaiko yangu ya kutaka kukipata kilinda afya yangu ili nisipatwe na STI bila kutarajia sababu sikujikinga.
Nilitoka zangu nikaelekea Pharmacy moja kubwa tu na kwenye hii Pharmacy hua kuna shift ya...
Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu mara kadhaa napita chimbo kupata huduma sasa nakutana na hawa mabinti kutoka mkoani Kagera sio mmoja wala wawili ni wengi they don't give shit wanapenda kuongea lugha ya kwao very confident na wanachofanya.
Pointi yangu wazee wao kama Profesa Mukandala...
Kuna hili jambo limenikuta. Mwaka jana binti yangu alimaliza kidato cha nne shule ya serikali ambayo ni mchanganyiko wasichana na wavulana, baadae akapangiwa kidato cha tano shule pia mchanganyiko.
Baada ya kupangiwa shule niliamua asome masomo ya ziada kabla. Pamoja na hayo nikampa simu janja...
⚠️Vijana wa kiume wanatengeneza group chats kuwasema na kusengenya wanaume wenzao
⚠️Vijana wa kiume wana ng'anga'nia kujumuika na wanawake katika party zilizo undwa kwa ajili ya wanawake pekee.
⚠️Zamani ilikuwa unasikia sikia tu fununu kwamba flani ni shoga ila leo unawahesabu kwa maana...
Hivi huwa mna matatizo gani?
Hili haliusiani na siasa tafadhali sana.
Hapa ilipoandikwa tuende hapo.
Wewe binti leo umekua vimaziwa hivyo
Mabazazi wananyonya.
Wewe binti umezaliwa baba yuko wapi "mamaa oooh:
Aliimba dr remmy
Wema ku**nyoooko..
Haya kwenye majukumu tupeane tu jinsi ya kupiga...
Baada ya mabinti kutumwa kwenda kutia vidole vifinyio vya Irani. Wanasema wanataka waende tena kabla hawajawaachia wanaume kwenda malizia, kufika kileleni.
Israel imefanikiwa kabisa katika kushambulia Iran — hususan katika operesheni ya Rising Lion ya tarehe 13 Juni 2025 — lakini mafanikio...
Habari za muda huu waungwana......
Huko kwenye vituo vyenye biashara ya kuuza mafuta ya kuendeshea vyombo vya moto maarufu kama "SHELI" kama ilivyozoeleka na wengi....kuna mavazi ambayo kwa jicho la kiungwana hayaja kaa Sawa......
Sasa sijui ndio muongozo na matakwa ya kazi yao au ni utashi...
Mabinti wawili walikua wanapiga story ndani ya daladala:
Binti 1: je ungependa mume wa aina gani ?
Binti 2: Awe bilionea ..! 🙄
Binti 1: Je ukimkosa ? 🤔
Binti 2: Awe milionea ..! 🙄
Binti 1: Je asipopatikana ? 🤔
Binti 2: Awe japo na laki tano ..! 🙄
Ghafla mvuta bangi mmoja akiwa kajilaza...
Tajiri hasalimii.
Kuna hawa wamama wakikuona umezubaa zubaa tu mtaani huna hili wala lile, yaani hawasikii siku umeng'oa demu wala skendo yoyote mbovu basi wanaamua kukublesi na kipisi Chao kimoja.
Siku mnakutana tu utasikia "Tajiri Magreth anakuulizia anasema sikuhizi umepotea sana mtaani"...
Habari za ukatili dhidi ya wafanyakazi wa ndani ni jambo la kawaida sana huko uarabuni ila ajabu ni kwamba mabinti Waafrika huwaambii kitu kuhusu kwenda huko uarabuni kuteseka!
Aisee nimepita Veta mtwara kumsalimia my young sister. Story nilizo Kuta hapo kuhusu vibinti vya hapo ni hatari sana aisee..
Vibinti vidogo lakini vina mambo makubwa.
Bora hata Veta Lindi uongozi una wa treat kama wanafunzi wa sekondari.
Maadili ni sifuri.
Pichani ni wanadada Lacho na Temwa Chawinga, Mabinti wanaocheza Soka la kulipwa katika timu za wanawake nchini Marekani
Lacho ni raia wa Zambia wakati Chawinga ni raia wa Malawi
Ukipata mwanamke kama huyu utamuoa?
Sasa hivi vijana mmeamua kujiajiri kwenye kilimo na mna post miradi yenu, sasa mabinti nao wameishangiamo humo kuhakikisha hakuna pesa yoyote ya mwanaume itakayoachwq kuliwa regardless ni sekta ipi🤣
Vijana kazi mnayo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.