curie JF-Expert Member Joined Oct 25, 2020 Posts 1,078 Reaction score 2,515 Aug 28, 2025 #1 Zamani biniti akija geto anakuja na hotpot la ubwabwa ..Wa leo anakuja na njaa ya laki
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 32,268 Reaction score 92,347 Aug 28, 2025 #2 …na chaja
kitalembwa JF-Expert Member Joined Jul 12, 2014 Posts 6,672 Reaction score 17,325 Aug 28, 2025 #3 Lakini analiwa,,,,, Zamani anaishia kwenye kiti, kitandani haji ng'oo
curie JF-Expert Member Joined Oct 25, 2020 Posts 1,078 Reaction score 2,515 Aug 28, 2025 Thread starter #4 kitalembwa said: Lakini analiwa,,,,, Zamani anaishia kwenye kiti, kitandani haji ng'oo Click to expand... Mpka unakuja kupata pupuchi borders kibao
kitalembwa said: Lakini analiwa,,,,, Zamani anaishia kwenye kiti, kitandani haji ng'oo Click to expand... Mpka unakuja kupata pupuchi borders kibao
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 50,750 Reaction score 141,550 Aug 28, 2025 #5 Tafuta pesa bwashee , ina onekana cycle yako unapata mademu mwenye njaa master🤔
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,819 Reaction score 55,865 Aug 28, 2025 #6 Daaah mi mpaka leo huyu anayekuja anakuja na poti wakuu just imagine
Kubwjing JF-Expert Member Joined Aug 2, 2025 Posts 2,158 Reaction score 3,436 Aug 28, 2025 #7 Ni huyo wa kwako, kaeni na matatizo yenu na Demu wako brooh🤣
Andromeda Galaxy JF-Expert Member Joined Feb 7, 2025 Posts 5,831 Reaction score 7,714 Aug 28, 2025 #8 Wasasa ni maslahi mbele
Yohimbe bark JF-Expert Member Joined Sep 1, 2019 Posts 2,857 Reaction score 7,264 Aug 28, 2025 #9 Acha kudate maslay queen mkuu date beki 3 utaletewa chakula anachokula Faza house mkuu.
Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 58,391 Reaction score 135,459 Aug 28, 2025 #10 Daaah unanikumbusha kitambo sana. Enzi hizo mke wa mtu akaniletea pilau na minyama hotelini. Ogopa sana mwanamke mwenye gari
Daaah unanikumbusha kitambo sana. Enzi hizo mke wa mtu akaniletea pilau na minyama hotelini. Ogopa sana mwanamke mwenye gari
shibela JF-Expert Member Joined Jul 3, 2018 Posts 3,515 Reaction score 11,892 Aug 28, 2025 #11 U marioo unaanzaga hivihivi!
kitalembwa JF-Expert Member Joined Jul 12, 2014 Posts 6,672 Reaction score 17,325 Aug 28, 2025 #12 curie said: Mpka unakuja kupata pupuchi borders kibao Click to expand... Siku hizi vitoto bwerere, vya alifu mbili vimejaa mtaani mileage ndogo ushindwe tu wewe ! Maisha yapo kasi sana
curie said: Mpka unakuja kupata pupuchi borders kibao Click to expand... Siku hizi vitoto bwerere, vya alifu mbili vimejaa mtaani mileage ndogo ushindwe tu wewe ! Maisha yapo kasi sana
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 169,604 Reaction score 187,610 Aug 29, 2025 #13 Hatari sana... Cc: Mahondaw
Mkenye Mkuu JF-Expert Member Joined Aug 20, 2023 Posts 218 Reaction score 403 Aug 29, 2025 #14 "eras come to an end"
Kelsea JF-Expert Member Joined Dec 21, 2020 Posts 14,971 Reaction score 35,343 Aug 30, 2025 #15 Kwamba huna chakula hadi uletewe?
Udochi JF-Expert Member Joined Jul 25, 2015 Posts 1,073 Reaction score 1,577 Aug 30, 2025 #16 Wahusika wanakuja hivi punde