maandishi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. britanicca

    JamiiForums Tanzania Agizo la Siri kwa Uhamiaji, wapewa amri kila MTANZANIA anayeingia nchini achunguzwe historia yake ya machapisho mtandaoni

    Kwanza ni upotezaji wa Muda, Pili Magufuli alijaribu akafeli, tatu Tanzania si wajinga wako anonymous! Wanaweza sumbua watu maarufu na wamiliki wa Platform kadhaa lakin si mtu simple Hii wanasema ianze September 4/ 2026 Britanicca
  2. britanicca

    JamiiForums Tanzania Nimesaka maandishi yote ya Nchimbi tokea 2007 kwenye Mitandano

    Nimegundua 1. Anapowekwa pembeni ukaa kimya 2. Mwenzake akipatwa na Janga uumia na si mwepesi kudhihaki 3. Asilimia 70% ya mabandiko yake ni haki na amani 4. Misimamo kwa anachoamini 5. Hajawai tukana au kejeli mtu kwenye matatizo 6. Ila Mara nyingi wanambeza eti ni mshamba Hana Hela ya...
  3. M

    JamiiForums Tanzania AI inaanza kuacha alama kwenye kazi zako. Claude imetangaza maandishi yaliyopitia kwenye mfumo wake yataweza kuainishwa kuwa AI iliandika au kuboresha

    AI inaanza kuacha alama kwenye kazi zako-Claude imetangaza kwamba maandishi yaliyopitia kwenye mfumo wake yataweza kuainishwa kuwa AI iliandika kila kitu au ilisaidia tu kuboresha maandishi.-Je, hii ni hatua nzuri ya kudhibiti matumizi ya AI au itawafanya watu waogope kuitumia?
  4. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Natafsiri youtube video kuwa maandishi

    Kwa mwenye uhitaji wa kutafsiriwa video au kitabu au makala kutoka lugha ya kingereza kwenda kiswahili, whatsap/sms/piga 0756704145
  5. Tech Max

    JamiiForums Tanzania Natafsiri maandishi na video ya kiingereza kwenda lugha ya kiswahili kwa bei nafuu

    NAtafsiri maandishi na video za youtube kutoka lugha ya kiingereza kwenda kiswahili kuwa katika mfumo wa PDF kwa bei ya kurasa moja 10,000 TZS , WASILIANA NAMBA 0756704145 (WhatsApp)
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Sauti Yako, Skrini Yako..!Je, Maandishi Ndio Mwisho wa Mawasiliano?

    Ulimwengu wa voice notes unatawala mawasiliano ya kila siku kwa sababu unampa mtumiaji uwezo wa kufikisha hisia na lafudhi halisi ya maneno, jambo ambalo ni gumu kupatikana kwenye herufi baridi za maandishi. Kurekodi sauti kunapunguza migogoro ya kuelewana vibaya na kurahisisha utumaji wa...
  7. masai dada

    JamiiForums Tanzania hadi maandishi kwenye duka/frem now unayalipia???

    nawaonea huruma sana vijana wanaombana kutafuta mtaji kujichanga kulipia frem ni ngumu kutoboa mlitutafuta kwenye mabango watu wakachomoa now maandishi ya duka tu yalioko ukutani tena madogo unatakkwa kuyalipia temeke ukifanya biashara kuna service levy tra ya mwaka bango(labda usiandike...
  8. masai dada

    JamiiForums Tanzania hadi maandishi kwenye duka/frem now unayalipia???

    nawaonea huruma sana vijana wanaombana kutafuta mtaji kujichanga kulipia frem ni ngumu kutoboa mlitutafuta kwenye mabango watu wakachomoa now maandishi ya duka tu yalioko ukutani tena madogo unatakkwa kuyalipia temeke ukifanya biashara kuna service levy tra ya mwaka bango(labda usiandike...
  9. masai dada

    JamiiForums Tanzania hadi maandishi kwenye duka/frem now unayalipia???

    nawaonea huruma sana vijana wanaombana kutafuta mtaji kujichanga kulipia frem ni ngumu kutoboa mlitutafuta kwenye mabango watu wakachomoa now maandishi ya duka tu yalioko ukutani tena madogo unatakkwa kuyalipia temeke ukifanya biashara kuna service levy tra ya mwaka bango(labda usiandike...
  10. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Mojtaba Khamenei atoa msimamo mkali kuhusu vita kwa njia ya maandishi

    Hotuba yake imesomwa kwenye vyombo vya habari na haya ndiyo yaliyojiri:- Kiongozi Mkuu mpya wa Iran amezungumza sasa hivi, na ni mbaya zaidi kuliko nilivyotarajia. Kauli kuu: 1.“Vituo vyote vya Marekani vinapaswa kufungwa mara moja katika eneo hilo, vituo hivyo vitashambuliwa” 2.“Tutapata...
  11. britanicca

    JamiiForums Tanzania Tunaweza tusiwepo, ila maandishi yanabaki: Nina maono

    Yawezekana mbeleni wale wanaojificha kuukwepa mkono wa sheria za mabavu ya Serikali iliyoko madarakani ndo baadae wakashika madaraka ! Yawezekana hapo baadae tunaowa abudu madarakani itatokea siku wakapanda haya haya magari ya kuelekea keko na segerea au basi gereza jingine! Yawezekana kabla...
  12. Stability

    JamiiForums Tanzania Wengi wetu humu JF tunaunga unga sana ni basi tu maandishi yanatufanya tuonekane wamoto na sio kitu kibaya maana tunakuja kupunguza stress humu

    Kuna wakati nilijua kila mwana JF anaendesha crown na harrier. Mkate wananua mlimani mall tu Pia nilijua kila demu ni slay queen na matipwa tipwa, Nilijuaga members wote humu wamesoma zile shule za "dont touch me" maana majina yao karibia wote ni ya lugha ya malkia elizabeth. Nilijihisi niko...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Je, Kuna kabila lolote Tanzania lililowahi kubuni mfumo wake wa maandishi

    Katika makabila zaidi ya 120 Tanzania, lipo hata moja lililowahi kupata akili ya kugundua maanishi yanaweza kutumika kama njia mbadala ya kuongea maneno kwa mdomo ? Ni lugha ya maandishi, Sio kuchora au kuchonga vinyago
  14. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Kuna umuhimu wa kutunza kumbukumbu za Kifamilia na kuziweka katika maandishi kuwa documented n.k

    Wakati nasoma historia ya ukoo wetu kuanzia mwaka 1890s mpaka 2025. Nimepata mambo yafuatayo Kila MTU aliyejaribu kuvuta Bangi alichanganikiwa na kupoteza mwelekeo. Hii ni historia ambayo nimeifanyia research . Nimeandaa Family Tree kwa kuangalia mambo mengi kuhusu Changamoto za ukoo Kama...
  15. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Hii picha imenifikirisha sana

    Huyu wa kushoto amekaribishwa na huyu wa kulia katika nchi yake bila shurti ya maelekezo ya kufuata utamaduni wake na itikadi yake na baada ya muda atafanya maandamano kushinikiza tamaduni yake ifatwe ingawa yupo ugenini na kwa bahati yake nzuri atasikilizwa. ILA, Huyu wa kulia akienda kwenye...
  16. U

    JamiiForums Tanzania Je upo ushahidi Nyerere aliwasaliti Waislamu, Je yapo makubaliano yeyote ya maandishi waliyoingia baina yao kabla ya uhuru

    Wenye ilimu karibuni
  17. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi ya Kusikiliza Audio na Kuhariri Maandishi

    🚨 NAFASI ZIMEJAZWA TAYARI 📝 Tangazo kutoka Bright and Genius Editors Bright and Genius Editors inatangaza nafasi za kazi kwa watu wenye uwezo wa kusikiliza sauti na kuhariri maandishi yaliyopatikana kutoka kwenye audio kwa usahihi na ufasaha. 🔊 Kazi: Kusikiliza Audio na Kuhariri Maandishi 💻...
  18. SwahiliScribe

    JamiiForums Tanzania Maandishi yananitesa kuandika

    Habari zenu wapendwa wanajukwaa. Nawasilisha, kama wewe ni mwanafunzi, mwalimu, au mtafiti anayekumbana na changamoto za kuandaa maandishi bora, basi usiwe na wasiwasi! Nimekuwa nikitoa msaada kwa watu mbalimbali katika kazi za maandishi, na niko tayari kusaidia hapa pia. Naweza kukusaidia...
  19. SwahiliScribe

    JamiiForums Tanzania Unahitaji huduma za maandishi, tafsiri au uhariri?

    Habari Wana Jamiiforums! Kama wewe ni mwanafunzi, mfanyabiashara, blogger, YouTuber, au mtu yeyote wa kawaida anayehitaji msaada wa haraka na bora katika kazi za maandishi na content. Usihangaike tena! NATOA HUDUMA ZIFUATAZO: Kuandika Articles & Blogposts kwa tovuti, mitandao ya kijamii au...
  20. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    JamiiForums Tanzania Maandishi ukutani:-Enyi muombolezao, jiandaeni kububujikwa na machozi ya furaha. Haki huinua taifa

    Mungu amesikia kilio chenu enyi muombolezao. Tazama zaja siku SI nyingi mtalia kilio Cha furaha kabla mwaka haujatimiza miezi kumi.
Back
Top Bottom