Gen Z na Watanzania wote ,hili nawahakikishia 100% hakuna Jeshi la Ulinzi liwezalo FYATUA RISASI zake dhidi ya Wananchi !!.
Infact wanachokifanya ni kututisha, Kwani ni mara ngapi wakati wa Uchaguzi, Ma Vifaru yao huzagaa zagaa Barabarani ?.
Mbinu wanayotumia CCM ni kuzijaza Barabara na...
Wakuu kama mmetizama Zile video za Wananchi wakipambana na Uhuni wa mwendokasi na genge lao la wahuni.
Polisi Licha ya kufuatia Mabomu na Risasi baridi.
Wananchi Wakigoma kutawanyika, zaidi zaidi walíendelea kupiga kelele na kupaza sauti !!.
Huu ni Mwanzo mzuri sana Kwa sisi tunaochambua...
Ni wazi safari imeanza Rasimi, Ndugu zangu Watanzania hii ndio nafasi pekee tuliyonayo ya kuwaondoa Hawa wahuni !!.
Wee Kijana Usiyekua na Ajira
Wee mwenye Ajira lkn mishahara haiendan na hali ya Maisha.
Wee unayehangaika na Usafiri Dar huku Abdul, Kijana wa Angela , Kijana wa DGIS, Vijana wa...
Usipokufa Kwa Malaria, Utakufa Kwa Ajali, Utakufa Kwa Ukimwi.
Ni kweli Dunia na Mambo yake yote ni tamu na yenye Raha .
Fikiria wee Kijana Msomi wa Degree , huna Ajira, wanakufanganya Et Ujiajiri yote ni sababu wameshindwa kutengeneza Ajira
Gen Z , kutokua na Elimu bado halitoshi kutufanya...
Leo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram Mwanasiasa Hamis Kigwangalla ametoa maoni yake kuhusu uchaguzi wa mwaka huu na maandamano yaliyopangwa kufanyika nchi nzima tarehe 29 Octoba, 2015. Ameandika Na kuchapisha post kama 7 hivi zikiwa na ujumbe ufuatao
OKTOBA TUNATIKI VS OKTOBA TUNATOKA...
Hawajaweka wazi na Zacharia Obadi, Katibu wa CHADEMA kanda ya Victoria anasema ni msimamo wa wananchi na siyo chama.
"Wimbo umekuwa ni huo tu No reforms No election na wengine wameenda mbali zaidi nakusema kwamba tarehe 29, october tunaandamana CHADEMA hatujajitokeza wazi wazi nakusema huo...
Wakuu ni siku ya tatu leo Madagascar hali si shwari kabisa,kumbuka jana Waziri wa nishati alishaliwa kichwa kunusuru malalamiko ya Wandaamanaji lakini bado haijasaidia kitu.
Soma pia >> Gen Z Madagascar waandamana dhidi ya kukatika kwa umeme na ukosefu wa maji
Naona kuna muamko mkubwa kwa...
Kitoto kina miaka 12 lkn kinasukumwa kwenye ndinga ya milioni 500 kina dereva na mlinzi pembeni. Kodi zetu zinatapanywa kwa maslahi ya wachache. Shubamiti!!!
Potelea pwete, kifo kiliumbwa. Nisipokufa kwenye maandamano nitakaifa kwa ajali ama nitakufa usingizini.
Tarehe 29 0ctober tutakinukisha!
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Imekuwa ni kitu ya kujiridia sana sana mara kwa mara katika maono, nimekuwa nikiona kiongoz mpya nchini Tanzania
Leo nimeona mwanaume mmoja ndo amekuwa rais na baada ya huyo kuwa rais sikuona tena maandamano
SAYUNI BOY
Maandamano yasipofanikiwa basi ujue yule adui uliekua unamtisha na maandamano Utakua umempa nguvu kwa 100% ya kuwafanya atakavyo maana atajua nyie ni debe tupu.Na atazizoea kelele zenu mpaka 2030 atafanya atakavyo yeye.
Mkurugenzi wa Tume ya TEHAMA, Dkt. Nkundwe Moses Mwasaga wakati akifanya mahojiano na kituo cha redio cha Mjini FM ameeleza kuwa moja ya hasara kubwa za habari potofu kwenye taifa ni kusababisha maandamano na taharuki katika jamii.
Sasa najiuliza kwa nchi nyingine ambazo zimefanya maandamano na...
Huyu Faris amerudia kauli zake za vitisho baada ya kusema wakiwapoteza watu polisi wasiingilie amerudia tena kwa Watu waliopanga kuandamana Oktoba 29
=
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera ndugu Faris Buruhani, amewasihi na kuendelea kuwaomba wananchi wa mkoa wa Kagera kujitokeza kwa wingi...
Kikatiba maandamano sio jambo haramu kunapokuwa na sababu ya kufanya hivyo. Ni namna ya watu kuonyesha hisia zao. Kuna mwaka UVCCM wa Mbeya walitaka kuandamana kuonyesha furaha yao kwa hotuba ya kihistoria ya masaa matatu iliyotolewa na rais mstaafu Kikwete.
Haya maandamano yanayotajwa...
MangeKimambi hawajui watanzania vizuri ni kwamba anajisumbua tu. Watanzania hakuna hata mmoja atakae toka kuandamana. Maandamano yao yapo mitandaoni. Kila mmoja anamtegemea mwenzake atoke na mwenzake anamtegemea mwenzake mwingine atoke
Siku ya leo kuna jamaa alikuwa na vipeperushi vingi mno pale kituo kikuu cha train ya SGR.
Na alipostukiwa alianza kukimbizwa na kikosi cha Muliro. Yeye alikuwa na Pipi piki amekimbizwa na kila chombo cha usafiri kilicho kuwa karibu.
Naomba kujuzwa kwa wenye taarifa yeyote.
Naona ile roho ya...
Wamasai wa roliondo mjitokeze kwenye maandamano ya pamoja hii ndio nafasi yenu ya kuondoa manyanayaso mnayopitia.
Mliitiwa polisi mlipigwa, mlifungiwa huduma za kijamii na wanasiasa wasio watakia mema hata kidogo, Tusimame pamoja kuhamasisha mabadiliko na uwajibikaji ili manyanyaso yenu yaishe
Hapa siandiki kama mpiga zumari wa CCM wala siandiki kwa mihemko wala mahaba ya siasa bali nawachana ukweli wanaojidai kuhamasishana ujinga
Tanzania kwa kiasi kikubwa zaidi ni waislamu na wakristo. Hakuna dalili yoyote kwenye dini hizi mbili inayoruhusu watu kufanya the so called maandamano kwa...
Ningetamani haya maandamano yatokee na sisi tufanye mapinduzi dhidi ya mafisadi na viongozi wahuni, lakini Kwa vyovyote hili halitawezekana
Mafisadi na wahuni watafanikiwa kufanya uchaguzi fake Kwa amani na kujitangaza kushinda na baadaye kujiapisha na kupigiwa mizinga na jeshi letu,
Sababu...
Wanajamvi kwema?
Nadhani wote tunakumbuka tarehe 15/09/2025, taifa lilishuhudia kadhia ya aibu katika Mahakama Kuu DSM. Wanachama wa CHADEMA walipigwa na kudhalilishwa na jeshi la polisi ila mbali na hayo pia Wakili Deogratius Mahinyila (ambaye pia ni mwenyekiti wa CHADEMA Vijana), akiwa kazini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.