maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Rorscharch

    GE2025 CHADEMA maandamano ya Oktoba 29, na taifa lililojaa watazamaji badala ya wananchi

    Ndugu zangu, kuna jambo moja linazidi kujidhihirisha katika historia yetu ya kisiasa: Tanzania bado ni nchi ya watazamaji, si ya washiriki. Ndio maana kila baada ya muda fulani, Chadema huibuka na tangazo la maandamano, mara hii Oktoba 29, kana kwamba dunia itatikisika, serikali itatetemeka, na...
  2. Mashamba Makubwa Nalima

    Kumbe TikTok sio ya kinyonge, sikutegemea itakuwa ya kiharakati namna ile

    wamenishangaza, sikutegemea, nilijua content zao ni za SOFT life na udaku pekee, wamenifurahisha. Kumbe vijana mnapenda HAKI, kumbe vijana unapenda DEMOKRASIA, basi mmetisha. Hakuna ubaya kuwa na mizuka na mambo mengine, ila kupotezea kabisa mambo ya nchi na maisha yako ni upumbavu zaidi na...
  3. Mashamba Makubwa Nalima

    Kwahiyo CRDB nayo mpaka tarehe ishirini na tisa, acheni uoga nendeni ofisini

    Yeah kama wasiojulikana walivyosema comments, hashtags hazibadilishi chochote (Nimeparaphrase tu, ila ndiyo point yao ya msimu). Ni pesa zenu, ni jasho lenu,mnaogopa nini kwenda ofisi za CRDB na kuona mnarudishiwa vipi pesa zenu au miamala inasolviwa. Nimepitia comments kwenye page za CRDB...
  4. M

    Oktoba 29 asubuhi na mapema, FFU, Polisi, Magereza watakuwa wamesambaa mitaani wakifanya usafi, hayo maandamano yanaanzaje ?

    Oktoba 27 na 28 barabarani na mitaani kutakuwa na mazoezi ya utayari kuanzia FFU, Polisi, Magereza hadi JW. huku wakiimba chenja, wengine wamebeba zana, nyuma kuna malori ya maji ya kuwasha, halafu kuna gari ya matangazo inapiga playback "mtapata taabu sana" kwenye mahojiano kama kawaida...
  5. K

    GE2025 29 Oktoba tunashirikije uchaguzi ikiwa haya hayajafanyiwa kazi?

    Watu wa Tanzania! Sasa ni wakati wa kuandamana na kutoa sauti yetu kwa nguvu ili kuzuia uchaguzi wa udanganyifu tarehe 29 Oktoba 2025. Hapa kuna hoja kuu zinazothibitisha kuwa tunahitaji kubadilisha hali hii mbaya kabla ya kura kupigwa bila haki. Jitokeze kwa wingi na tuungane pamoja! 1...
  6. D

    Huenda kipigo cha mwanachadema mahakamani ilikuwa kimkakati ndiyo maana media zote zimerusha

    Naomba kuwajulisha haya machache yatawasanua! Ile harassment ya wafuasi wa CHADEMA, jana (Septemba 15, 2025) ilikuwa kimkakati na ilipangwa kabisa ili kutaftia njia ya kuwashambulia kama ujumbe wa kutisha wanaopanga kuandamana! Ile haikutokea bahati mbaya, Ilipangwa kabisa ili wajae kwenye...
  7. O

    Tetesi: Mange: Serikali yatoa maagizo ya kuwatambua Viongozi wa Dini wasiomuunga mkono Rais Samia

    Ameandika Mangekimambi "Amkeniiiiiii, mnalala mna raha gani na huku Mchengerwa, mkwe wa Rais katuma barua kwa wakuu wa mikoa wote wapeleke listi ya wachungaji ambao hawapo na Samia. Yani ni hivi Mchengerwa anataka listi ya majina ya wachungaji ambao hawapo upande wa Samia na list itaenda ikulu...
  8. DuaZaMama

    Maandamano ya Vijana (Gen Z) Nchini Nepal – 2025

    Sababu za Maandamano Marufuku ya mitandao ya kijamii – Serikali ilizuia matumizi ya Facebook, Instagram, WhatsApp, YouTube n.k. kwa madai ya kiusalama. Vijana waliona hatua hiyo kama kukandamiza uhuru wa maoni. hii ni kwa mujibu wa ABP News. Ufisadi serikalini – Kulikuwa na madai ya ufisadi...
  9. Poppy Hatonn

    GE2025 Nchi hii ni ya Kidikteta,hayawezi kutokea maandamano

    Nashanga kuona kwamba watu wsnafikiria kwamba wataandamana tarehe 29 October. Maandamano ya katika nchi hii tulifanya sisi Mwembechai. Inasikitisha sana kuona Hawa watu wanaongea haya maneno ya uongo,eti watafanya maandamano tarehe 29. Kwanza maneno kama hayo ndiyo yanasababisha Tundu Lissu...
  10. W

    Vijana 19 wauawa Nepal kwenye maandamano baada ya Serikali kufungia mitandao

    Takribani watu 19 wamepoteza maisha na kadhaa kujeruhiwa nchini Nepal baada ya maandamano dhidi ya ufisadi wa kisiasa na baada ya serikali kuchukua hatua ya kufungia mitandao ya kijamii amabapo maandamano hayo yaligeuka kuwa machafuko kati ya waandamanaji na vyombo vya usalama. Maelfu ya vijana...
  11. W

    Wananchi kuwasha moto mitaani kwenye Maandamano Ufaransa ya kutaka Rais Macron ajiuzulu

    Zaidi ya watu 200,000 wameandamana na mamia wakamatwa nchini Ufaransa Septemba 11, 2025 kufuatia maandamano makubwa ya kitaifa yaliyoanza Septemba 10, 2025 wananchi wakipinga mipango ya kupunguza bajeti na hali tete ya kisiasa nchini humo. Vuguvugu hilo lililopewa jina “Fungeni Kila Kitu”...
  12. DuaZaMama

    Vifo vyaongezeka Nepal hadi 31 kufuatia maandamano

    Idadi ya vifo kutokana na maandamano yenye vurugu nchini Nepal imeongezeka na kufikia watu 31, huku juhudi zikiendelea kuunda serikali ya mpito kufuatia kuondolewa kwa Waziri Mkuu KP Sharma Oli. Kwa mujibu wa Idara ya Tiba ya Uchunguzi wa Maiti katika Hospitali ya Mafunzo ya Chuo Kikuu cha...
  13. ELI COHEN

    VIDEO: Waziri wa fedha wa Nepal akikimbizwa mtoni na waandamanaji wenye hasira kali wakati wa maandamano ya kupinga ufisadi

    Maandamano ya vijana wa kizazi kipya (Gen Z) nchini Nepal yaligeuka ya vurugu zaidi Jumanne, baada ya waziri wa sasa wa Mambo ya Nje, Arzu Rana Deuba, na mumewe, waziri mkuu wa zamani mara nne, Sher Bahadur Deuba, kushambuliwa vibaya jijini Kathmandu. Waandamanaji walivamia makazi ya Deuba na...
  14. R

    Rais wa Indonesia awatimua Mawaziri watano kufuatia Maandamano ya wananchi

    Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto, amefanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri Jumatatu Septemba 8, 2025 kufuatia maandamano yenye vurugu yaliyozuka nchini kote kupinga marupurupu ya wabunge na kupanda kwa gharama za maisha. Hatua hiyo imekuja baada ya kuongezeka kwa malalamiko ya...
  15. W

    SI KWELI PreGE2025 Maandamano Mtwara leo ya wanachama wa ACT wakimkataa Mpina

    Kuna hii video inaonekana kama si halisi, naomba uhalisia wake. Na je, ni kweli kulikuwa na maandamano huko Mtwara leo Agosti
  16. Ritz

    Israeli: Siku ya kuokoa maisha’: Jamaa za mateka na familia zilizofiwa waanzisha maandamano wa nchi nzima

    Wanaukumbi. Hostages Square mjini Tel Aviv inazidi kujaa watu wakiwa wamebeba mabango na kuvaa riboni za njano asubuhi ya maandamano wa nchi nzima ulioitishwa na familia za mateka huko Gaza, wakitaka waachiliwe huru na kukomesha vita. Katikati ya mraba, safu za watembeaji miguu tupu zimepangwa...
  17. K

    Nimemsikia Dkt. Malisa akisema kama hakutakuwa na Mabadiliko anayodai Viongozi wa Dini zote wataongoza maandamano

    Akiongea na Watanzania walioko Diaspora kupitia mtandao wa Sauti ya Watanzania au Clubhouse,Dk Malisa alisema kuwa kama mambo anayodai mahakamani hayatakubaliwa,Viongozi wa Dini zote watawaongoza watanzania kuandamana kudai maboresho ya sheria za uchaguzi. Amesema amekuwa akiwasiliana na...
  18. M

    CCM wametufikisha hapa, Tangazo la kuzuwia maandamano ya wananchi wakifurahia pindi anapokufa mwana ccm litataanza kutolewa soon

    Tayari tumefika kubaya na hakuelezeki kabisa Haya yote yanajiri ni kwa sababu tu, CCM mmekosa huruma, mmekosa utu, mnazurumu, mnateka na kuuwa watu peupe pe na bila aibu Wananchi wataanzia wapi kuwaona kuwa nyinyi ni binadamu wenzao Kifo??? Wananchi wanaandamana kufanya sherehe? Kufurahia...
  19. Scared

    Maandamano rasmi Kwa wananchi haihusiani na chama chochote ni sisi wananchi tumeamua

    Kama sio Leo Ni lini twendeni ikulu Dodoma hamna kusubiri Hawa watawala watatumaliza tarehe 28 tupo ikulu
  20. Carlos The Jackal

    John Heche, Ninakushauri nikiwa na Moyo mweupe, fikra huru, njia tuloichagua ni ngumu ila ndio Sahihi. Itisha maandamano ya nchi nzima!

    Mh Heche, kwanza nikupe Hongera Kwa majukumu mazito uliyonayo na Kwa namna inavyoendelea kupigania misingi ya Chama bila kuyumbishwa. Mh LISSU Yuko Mahakamani. Chama kimepigwa Stop. Hawa Wanazi wamekusudia Chama kisifanye Siasa zake , wakitumia Mahakama kama njia pekee walobakiwa nayo. Yote...
Back
Top Bottom