maandamano

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kurunzi

    Napendekeza Uundwe Mfuko Maalumu wa Kuchangia Fedha Familia zilizopoteza ndugu zao au Walijeruhiwa Kwenye Maandamano ya 29/10/2025

    Tarehe 29/10/2025 ni siku ambayo haitasahaulika Katika historia ya nchi yetu ni siku ambayo ulifanyika uchaguzi ( Uchfuuzi) sambamba na kuwepo kwa maandamano ambayo baadhi ya watu wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa. Maandamano haya, ingawa ilikuwa ni njia ya watu kutoa sauti zao kuhusu...
  2. Influenza

    GE2025 Maandamano na Vifo Uchaguzi 2025: Polisi waonya kuhusu kusambaza “Picha na Video zenye kuleta taharuki”

    Polisi Tanzania wameonya wananchi kuepuka kusambaza picha mtandaoni ambazo “zinaweza kusababisha taharuki” kufuatia kurejeshwa kwa huduma ya intaneti baada ya maandamano yaliyoibuka kutokana na uchaguzi. Baada ya internet kurudi, video na picha zilizosambaa kwenye mitandao ya Kijamii zinaonesha...
  3. G

    GE2025 Digital memorial/Archive for Lives Lost in Tanzania’s Recent Violence

    The last couple of days, tumeshuhudia ndugu, marafiki, na jamaa zetu, wakubwa kwa wadogo wakiuwawa bila huruma yoyote. 💔 MAY THEY REST WELL! Tunayopitia ni magumu, ila kwa neema ya Mungu na kwakufarijiana, tutafika.😔 Kila nikiingia online nakutana na videos mpya za watu waliouwawa, ama...
  4. figganigga

    Waliokufa kwenye Maandamano, wanataka kuwazika kwenye Kaburi ya Pamoja. Tunaomba watoto wetu tukawazike

    Haya ni malalamiko nimetumiwa na mdau. Sijathibitisha. Kama ni kweli, naomba mtuupatie miili ya watoto wetu tukawazike wenyewe kwa gharama zetu. TAARIFA MUHIMU. Serikali inaendelea kutoa miili ya wapendwa wetu waliouwawa na Vikosi vya Samia Mahospitalini na kwenda kuwazika kwenye Makaburi ya...
  5. Analogia Malenga

    Bendera ipepee nusu mlingo kuwaenzi waliouawa kwenye maandamano

    Waliouawa ni watu, wanastahili heshima. Kama Taifa tukubali makosa, bendera ipepee nusu mlingoti kuenzi ndugu zetu. Wapo wanaojustfy vifo vya hawa ndugu zetu. Wengine wakisema walikuwa vibaka nk. Niwakumbushe, Morogoro watu walienda kuchukua mafuta na tulihuzunika pamoja bila kujali...
  6. H

    Je 29/10 yalikuwa ni maandamano kwaajili ya haki au uporaji?

    Mkiambiwa muwe mnaelewa haya hiyo haki mliyokuwa mnaitafuta mmeipata?
  7. Mshana Jr

    Yatokanayo na lockdown ya mtandao na maandamano

    Niliyogundua katika zoezi hili la maandamano ni mengi sana, lakini haya machache tunaweza kujadiliana. 1. Hivi wale wanaotuma meseji za tuma kwenye namba hii walikuwa wapi? Maana sijapata meseji hiyo mpaka nimeihamu. 2. Wakina baba ni wapishi wazuri sana tatizo la kujua vipaji vyao ndio...
  8. Mshana Jr

    GE2025 Uchambuzi wangu: Yatokanayo na maandamano ya Oktoba 29, 2025

    Neno la utangulizi ( preamble) BILA SERIKALI KUWAJIBIKA.. RECONCILIATION haina maana yoyote .Kuwajibika kwenye uchafuzi wa kura uliowanyima mamilion ya Watanganyika haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa . Kuwajibika kwenye kupika matokeo ya uchufuzi wa kura.. Yenye kutia kinyaa na aibu kubwa ...
  9. baz kaiza

    Serikali kwa sasa Tafadhali Sana msiangaike kukamata Mtu yoyote kusema Sijui alichochea Maandamano mtakua Mnacheza na Moto

    Ushauri wangu kwa Serikali kaa jitafakari acheni kuangaika na watu mmeshajikwaa huu ni mda wakuleta wananchi wote pamoja. Kama ni makosa yamefanyika pande zote mbili serikali kupuuza madai ya wananchi. Maana maandamano...
  10. figganigga

    Waliokuwa naropoka eti haziwahusu, baada ya maandamano wamejua kwamba siasa inawahusu

    Kuna watu unawambia tetea Demokrasia au katiba mpya, Aanajibu Siasa hazimhusu. Eti "NISHINDWE KWENDA KUTAFUTA HELA NIPOTEZE MUDA KWE NYE SIASA?. Sasa siasa ilicchemka kidogo hakuna alliyetoka nje wala kuingia.. Kila mtu amepambana kivyake. Sasa nadhani tukisema siasa ni ubai siasa ni...
  11. Wakili wa shetani

    Sababu hasa ya maandamano ya "mwaka huu" ni maisha magumu na ufisadi

    Mwaka huu yametokea maandamano mengi sana ya Gen-Z. Huko Nepal watu walitiwa hasa hasira na wanaowaita Nepo babies. Yaani watoto wa vigogo wanaoonyesha maisha ya anasa mitandaoni huku watu wa kawaida wakiishi maisha magumu. Waliona anasa hizo kama ishara ya ufisadi. Zamani wanepali wengi...
  12. funaku

    Uliza vijiwe vyote vya boda hawakuhusika na maandamano ya wahuni

    Ukiwaulizia wanabodaboda wengi wa vijiwe vyetu maarufu hawakushiriki maandamano na waliendelea kutoa huduma ya usafiri. hii ni ishara ya mamluki kutoka nje ya Tanzania kuletwa kushiriki uvunjifu wa amani.
  13. MamaSamia2025

    Wanaharakati mngehamasisha maandamano ya amani bila kufanya uhalifu kusingekuwa na madhara yoyote

    Lengo la maandamano ni watu kutoa maoni yao kwa kile wachoona wanastahili kukisemea. Ni namna moja ya wapo ya watu kuelezea hisia zao kwa mujibu wa katiba. Kuna maandamano kwa ajili ya kupinga au kupongeza jambo fulani. Maandamano hayahusishi uhalifu wowote. Kwenye maandamano ya wiki iliyopita...
  14. Castle_Lite

    GE2025 MO29 is the day that marks the beginning of an end

    RIP kwa ndugu zetu waliopoteza Maisha. Lengo la maandamano ilikuwa ni kuzuia Uchaguzi usifanyike. NRNE imefeli. Ila Matokeo ya Uchaguzi yamezidisha hasira. Kama wanaweza wasiwe na Aibu wakaiba kura nying namna ile. Imagine wanafanyaje wakiwa kwenye maprojects yao ya kupeana na kugawana hela...
  15. M

    GE2025 Mikoa ifuatayo haikuwa na maandalizi ya maandamano na hawakuandamana

    1. Tabora, wanyamwezi mnatuchelewesha kupata Tanganyika yetu amkane 2. Ruvuma (Wangoni, wamatengo na wayao achane ujinga) 3. Kigoma (Waha amkeni nyie ni miongoni mwa mikoa iliyosahaulika kimaendeleo lakini hatakuandamana hamtaki) 4. KAGERA(Wahaya nyie hata mji wenu hakuna hata stand ya mabasi...
  16. Mwachiluwi

    GE2025 Sativa na Nuruvan wamehujumu maandamano na kuonekana ni uhalifu

    Mwanzo maandamano yalikuwa yanaenda vizuri watu hawakufanya uharibu lakni sativa alitoa maelekezo kuwa waanze kuchoma vituo vya mwendoksi kisha wakaandika tena mtandaoni watu watembelee vituo vya mafuta na kuchoma, kila muda kwenye account yake alikuwa akitoa taarifa za kuharibu miundombinu na...
  17. M

    GE2025 Pongezi za dhati kwa wasukuma, mikoa waliyojaa haijavuma kwenye maandamano, ni watu watiifu na wakarimu sana

    Edit: hali ilikuwa mbaya, nawaombeni radhi
  18. Stuxnet

    GE2025 Kama hujafa maandamano ya 29/10 basi wewe ni key board warrior tu, msituchoshe

    Wanajijuwa, kazi zao kuchochea maandamano, wanakufa vijana wasiojielewa wao wanabakia kuandika threads tu za kuonyesha maandamano yalivyofanikiwa. Hawa hapa; Mshana Jr, brazaj, Carlos The Jackal, Lord Denning, Kalamu, CHIEF PRIEST, Seran, Mayor Quimby, The seer, Mbaga Jr, JokaKuu, Mzee...
  19. M

    Day 4: Wananchi Geita waendelea na maandamano

    Hii ni jioni ya leo, Novemba 01, 2025. Pamoja na matokeo kutangazwa, wananchi hawaonekani kuridhika
  20. B

    PostGE2025 WanaCCM wengi tumefurahishwa na haya maandamano

    Tanzania mpya imezaliwa tarehe 29/10/2025. Kila mpenda haki amefurahi bila kujali yupo chama gani. Kwa CCM tumefurahi zaidi ila wengi hawataweza kuweka furaha zao wazi kwa sababu mbalimbali ikiwemo unafiki. Mungu awabariki wote waliofanikisha maandamano. Ninawaombea kwa Mungu wote waliopoteza...
Back
Top Bottom