luhaga mpina

Luhaga Mpina
Luhaga Joelson Mpina ni mwanasiasa kutoka nchini Tanzanian akiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM), ni Mbunge kutoka jimbo la Kisesa tangu mwaka 2005. Aliwahi kuteuliwa kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi na kudumu kwenye nafasi hiyo kwa miaka mitatu katika utawala wa Hayati Magufuli
  1. R

    GE2025 Mpina: Niliandika maoni kurasa 235 kwa Tume ya rais ya maboresho ya kodi, angalieni wagombea wote kama waliwahi kuandika hata kurasa 5 kushauri Taifa

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, Mgombea akizungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari katika Jengo la Maalim Seif, Dar es Salaam ameeleza yale aliyoyafanya katika kipindi cha uongozi wake aiwa kama waziri na Mbunge. Luhaga Mpina amesema...
  2. Tlaatlaah

    GE2025 Kwa mtazamo wako, kati ya mgombea urais Luhaga Mpina wa (ACT Wazalendo) na Salum Mwalimu wa (CHAUMMA), nani mkali zaidi na mwenye haiba ya urais?

    Ni yupi ana ushawishi zaidi na angalau mtaji wa kura za kumzidi mwingine? Kumbuka Luhaga Mpina anatoka mkoa Simiyu, huku Salumu Mwalimu akiwa anatoka Unguja, Zanzibar. Salum Mwalimu ana uzoefu wa kua naibu katibu mkuu wa chadema Taifa huko nyuma, na pia aliwahi kua mgombea mwenza wa urais...
  3. ACT Wazalendo

    GE2025 Luhaga Mpina akijibu maswali magumu ana kwa ana na Wahariri wa Vyombo vya Habari muda huu

    Leo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo, Ndugu Luhaga Mpina, pamoja na Mgombea Mwenza wake, Ndugu Fatma Fereji, watazungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari katika Jengo la Maalim Seif, Dar es Salaam, kuanzia saa 4:00 Asubuhi. #LindaKura #MuhuniHasusiwi...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Leo Agosti 14, 2025 mgombea urais wa ACT Wazalendo Luhaga Mpina na Mgombea mwenza Fatma watazungumza na wahariri wa vyombo vya habari

    Leo Agosti 14, 2025 Mgombea Urais wa Tanzania wa ACT Wazalendo Ndg Luhaga Mpina na Mgombea Mwenza, Ndg Fatma Fereji watazungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari. Mahala Jengo la Maalim Seif Magomeni DSM Muda: 4:00 Asubuhi.
  5. Waufukweni

    GE2025 Askofu Kadutu: Luhaga Mpina na Salum Mwalimu bado hawafiki Viwango vya Urais tunavyohitaji. Tusilete utani tukaumia Miaka 5 ijayo

    Naibu Katibu Mkuu wa Makanisa ya Ufufuo na Uzima (GCTC), Askofu Maximilian Machumu Kadutu (Mwanamapinduzi), amesema; "Naweza kusema nikiangalia ACT Wazalendo namuona Luhaga Mpina aliyekuwa Mbunge wa Kisesa, namfahamu. Naangalia kwa upana bado hajafikia ile 'level' ya Rais tunayemhitaji kwenye...
  6. Waufukweni

    GE2025 Luhaga Mpina awajia juu wanaosema kuwa ACT Wazalendo inafanya maigizo

    Mgombea urais kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, ameapa kuendeleza mapambano dhidi ya ufisadi nchini, akisisitiza kuwa hatapumzika hadi Watanzania wote wanufaike na rasilimali za taifa, na chama hicho kipo makini katika kutatua changamoto za Watanzania. Akizungumza Agosti 9, 2025...
  7. Waufukweni

    GE2025 Luhaga Mpina akiwa Zanzibar: Mimi ni kijana wenu, nimekulia pale Kizimkazi

    Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Luhaga Mpina alipowasili mjini Unguja kwa ajili ya utambulisho kwa wanachama na wananchi wa kisiwa hicho, akitokea jijini Dar es Salaam baada ya kumalizika kwa mkutano mkuu maalumu uliompitisha kuwania nafasi hizo.
  8. Waufukweni

    GE2025 Luhaga Mpina apitishwa kuwania urais kwa tiketi ya ACT kwa 92.3%

    Mkuu Maalum wa chama cha ACT Wazalendo kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho kwa kupata kura 559 sawa na asilimia 92.3 ya kura 610 zilizopigwa. Aidha aliyekuwa akigombea naye nafasi hiyo, Aaron Kalikawe Aaron amepata kura 46 sawa na asilimia 7.7 ya kura...
  9. The Zanzibar Echo

    GE2025 Mpina kugombea urais ACT Wazalendo ni ndoto ya mwendazimu

    Moja kati ya Wanaccm nilikua nawakubali ni kaka yangu Luhaga Mpina. Ila yeye kutoka CCM na kujiunga ACT ni maamuzi mabaya zaidi. Ataenda kushiriki na kusindikiza tu CCM hamna atakachoambulia. Namkumbusha tu Lowassa alikusanya vyama zaidi ya vitano mwaka 2015. Rafiki yangu Bernard kamilius...
  10. B

    Luhaga Mpina: Mwanasiasa Mwenye Maneno Makali Lakini Bila Mkakati Madhubuti wa Kuleta Mageuzi

    Luaga Mpina: Mwanasiasa Mwenye Maneno Makali Lakini Bila Mkakati Madhubuti wa Kuleta Mageuzi Luaga Mpina, aliyewahi kuwa mbunge na Waziri wa Kilimo na Mifugo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameibuka tena katika medani ya siasa kwa namna isiyo tarajiwa. Baada ya jina lake kutopitishwa na CCM...
  11. R

    GE2025 Ushauri: Ndugu Mpina chukua pia fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Kisesa

    Salaam! Kwa kuwa katiba inarihusu kugombea Urais na ubunge kwa wakati huo huo, Chukua fomu ya kuwania pia ubunge Jimbo la Kisesa, maana hao ndio Msingi wa WEWE kufahamika. NB: Bila Reforms kufanyika kwenye katiba kupata tume huru ya uchaguzi, uchaguzi batili UTAYEYUKA. NRNE 💪 🔥 Nawasilisha 🙏
  12. kavulata

    GE2025 Wali wa kushiba unaonekana hata kwenye sahani, Mpina ni wali wa kushiba ACT?

    Tangu Mh. Mpina alipowapima samaki waliopikwa kwa rula kwenye sahani ya mlaji ndipo nikagundua kuwa Mpina sio wali wa kushiba. Tangu siku ile kila anachosema ninakihoji. Eti sasa anataka kuwa Rais wetu wote. Hebu tuweni serious!!! Ndio maana vyama vya upinzani vina safari ndefu bado...
  13. K

    GE2025 Ushauri wa bure kwa Luhaga Mpina kuhusu kugombea urais kupitia ACT-Wazalendo

    Mhe. Mpina nimekuona kwenye clip na pia kwenye mitandao ya kijamii kuwa unashawishiwa na ACT- Wazalendo kuwa ugombee nafasi ya Urais kupitia Chama hicho. Nakupa ushauri wa bure. ACHA KABISA wazo hilo. Kama unataka cheo chochote kupitia siasa gombea nafasi ya ubunge hata kwa kupitia Chama chao...
  14. L

    GE2025 Dorothy Semu ajiondoa kugombea Urais ACT Wazalendo. Je, anampisha Luhaga Mpina?

    Ndugu zangu Watanzania, Dorothy Semu aliyekuwa ametangaza kugombea Urais Kupitia Chama chake cha ACT WAZALENDO. Je anajiondoa ili kumpisha Luhaga Mpina? Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti...
  15. DuaZaMama

    GE2025 Mpina na Kalikawe ni wagombea urais kupitia Act Wazalendo

    Chama cha ACT Wazalendo kimetangaza rasmi majina ya wagombea wa nafasi za Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Urais wa Zanzibar kupitia chama hicho, kufuatia kikao maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa kilichofanyika tarehe 5 Agosti 2025 katika ukumbi wa Hakainde Hichilema. Katika kikao...
  16. BLACK MOVEMENT

    GE2025 Mpina kwenda ACT Wazalendo ni Plan ya Samia, hii unahitaji kuwa na extra akili kujua hii move. Mpina ni project ya Samia

    Nasikitika sana kuona Watanzania wanavyo chezeshwa move na wao kuingia wazima wazima. Mpina ni project ya Samia na hii yote ni kutengeneza move kwa International Organizations waone kwamba kuna Democrasia ya kwelu. Hii kwa sasa hamtaielewa kwa akili zenu fupi na mtakuja kuelewa baadae sana...
  17. R

    Luhaga Mpina ulikosea mahesabu, ilibidi uwe mnafiki, "upige kimya", upite then useme ukweli! ACT ulikokwenda , Tume itakutangaza?

    Ulijua kuwa menykiti wako ni dikitaita, hataki uweli. Ilibidi uwe mnafiki upite, then uushabulie injustices ulizokuwa unaziona. Huko ACT ulikokwenda, unaweza kushinda, wananchi wanakuhitaji, je watakutangaza?
  18. BigTall

    GE2025 Luhaga Mpina ajiunga na ACT Wazalendo akitokea CCM

    Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Dorothy Semu, akimsajili Luhaga Joelson Mpina katika Mfumo wa ACT Wazalendo Kiganjani na kuwa mwanachama rasmi wa ACT Wazalendo. Pia soma >> GE2025 - Mpina ahamia rasmi ACT Wazalendo, kumvaa Rais Samia Oktoba 29, 2025
  19. J

    Wananchi Jimbo la Kisesa waraka jina la Luhaga Mpina lirejeshwe

    SIMIYU: Baadhi ya Wananchi wa Jimbo la Kisesa wamekusanyika na kueleza hisia zao wakipinga uamuzi wa Chama Cha Mapinduzi (#CCM) kukata jina la aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Luhaga Mpina katika mchakato wa awali wa uteuzi wa Wagombea. Wamedai kutoridhishwa na majina yaliyopitishwa na kutoa...
  20. Just Pray

    GE2025 Isihaka Mchinjita kuhusu Luhaga Mpina, asema ACT Wazalendo inawakaribisha watu wote waliokosa fursa kwenye vyama vyao

    Wakuu Makamu Mwenyekiti ACT-Wazalendo Bara, Mheshimiwa Isihaka Mchinjita, kupitia mahojiano na kipindi cha Supa Breakfast, amegusia uvumi unaosambaa mitandaoni kuhusu Mbunge wa zamani wa Kisesa, Luhaga Mpina kujiunga na ACT Wazelendo na kusema wanamkaribisha wakati wowote.
Back
Top Bottom