luhaga mpina

Luhaga Mpina
Luhaga Joelson Mpina ni mwanasiasa kutoka nchini Tanzanian akiwakilisha Chama Cha Mapinduzi (CCM), ni Mbunge kutoka jimbo la Kisesa tangu mwaka 2005. Aliwahi kuteuliwa kuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi na kudumu kwenye nafasi hiyo kwa miaka mitatu katika utawala wa Hayati Magufuli
  1. Waufukweni

    GE2025 ACT yakataa gari alilopewa Mpina na INEC

    Mwanasheria Mkuu wa ACT-Wazalendo, Omar Issa Shaaban, amesema chama hicho kimeamua kutopokea gari na walinzi, kwa kuwa kipo vizuri, na badala yake, Tume itumie gari hilo kwa matumizi mengine. "Chama kimenielekeza nikwambie kwamba kwenye rasilimali ya gari tunashukuru tupo vizuri tunaomba...
  2. Waufukweni

    GE2025 Dar: Mpina afika INEC kurudisha fomu yake ya Urais

    Mgombea Urais kupitia Chama Cha ACT Wazalendo Luhaga Joelson Mpina, leo Jumamosi ya Septemba 13, 2025 amefika Ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi(INEC) zilizopo Posta, jijini Dar es Salaam Kwa ajili ya kurudisha fomu yake ya kugombea Urais. Mpina akiwa na Mgombea Mwenza Bi. Fatma Fereji wamerejesha...
  3. Think2

    GE2025 Luhaga Mpina tumeshakushitukia mapema sana

    Kutoka CCM hadi ACT WAZALENDO ni maagizo kutoka juu kupitia kwa Zitto Kabwe Walianza tume wakampitisha kuwa mgombea wa kiti cha urais muda kidogo tume wakasema hana sifa wapi na wapi? Mara eti kesi yakubumba mahakamani ili tu ionekane et kwamba haibani wapinzani luhaga mpina amewekwa hapo kwa...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Zitto Kabwe: Kazi inaanza kwenda kuzitafuta kura, baada ya Mahakama Kuu kuamuru Mpina ana haki ya kurejesha fomu ya urais

    Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema mara baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dodoma kuamuru kuwa Luhaga Mpina ana haki ya kurejesha fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, safari ya kusaka kura inaanza rasmi. Akizungumza leo Septemba 11...
  5. DuaZaMama

    GE2025 Mpina ashinda kesi kuenguliwa kuwa mgombea Urais

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina ameshidnda kesi yake dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Tume Huru ya Uchaguzi baada ya kuzuiliwa kurejesha Fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea Urais Kupitia chama hicho. Kesi...
  6. N

    GE2025 Hatma ya Mpina kugombea Urais yangojewa, uamuzi kutolewa leo Septemba 11, 2025

    Kesi ya ACT Wazalendo na Luhaga Joelson Mpina, dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Tume Huru ya Uchaguzi inayohusu kuzuiliwa kwa Bwana Mpina kurejesha Fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea Urais Kupitia ACT Wazalendo, itatolewa hukumu leo saa 8:00 Mchana katika Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma...
  7. Idugunde

    GE2025 Mzee Wassira kama miaka ishirini inatosha kwa Mpina mbona wewe upo kwenye uongozi zaidi ya miaka 40?

    Nimemsikia mzee Wassira akinadi kuwa CCM ni chama kikubwa hivyo wapo wanaoingia na kutoka kuachiana madaraka. Amesema kuwa Mpina kuwa Mbunge wa Kisesa kwa miaka 20 inatosha. Swali la msingi kama uongozi ni kupokezana vijiti mbona mzee Wassira hajawaachia wengine zadi ya miaka 40 ni kiongozi wa...
  8. R

    GE2025 Stephen Wasira: CCM Chama kikubwa hakiwezi kugombana na Mpina

    Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema CCM haina ugomvi na aliyekuwa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, kwa kuwa Chama kikubwa hakiwezi kugombana na mtu binafsi. Wasira alieleza hayo jana, wilayani Kisesa Mkoa wa Simiyu, alipokutana na viongozi na...
  9. Chachu Ombara

    GE2025 Kesi ya kupinga kuenguliwa kwa Luhaga Mpina kugombea Urais inaendelea mahakamani kwa njia ya mtandao

    Kesi ya kupinga kuondolewa kwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia ACT Wazalendo katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 inaendelea kusikilizwa kwa njia ya mtandao mbele ya Majaji watatu wa Mahakama Kuu, Masjala Kuu Dodoma. Shauri hilo limefunguliwa na Bodi ya Wadhamini wa...
  10. McLaren

    GE2025 Nchimbi: Mwambieni Mpina arudi CCM haraka. Akirudi nitampokea mwenyewe

    Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amemtaka aliyekuwa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpiga kurejea CCM haraka. Hivyo, amewaagiza wananchi wa Kisesa mkoani Simiyu kumfikishia salamu hizo Mpina, kwamba siku ya kurudi atampokea mwenyewe ( Dk. Nchimbi) na...
  11. Idugunde

    GE2025 Hoja yenye mashiko: Ikiwa mahakama itamrejesha Mpina apewe kura za hasira dhidi ya wahuni

    Kanda ya ziwa Yoote impe Mpina kura za hasira. Hili ndio eneo kura zake hutoa mwelekeo wa nani atashinda urais. Katavi, Rukwa na Mbeya wajazie kidogo kwa wingi. Kilimanjaro na Arusha wafanye yao maana Chadema wapo wanasubiri reforms Kura za kisasi huwa zinatoa ushindi.
  12. R

    GE2025 Kesi ya ACT Wazalendo na Mpina dhidi ya Tume INEC imefanyika kwa njia ya Mtandao

    Kesi ya Luhaga Mpina wa ACT -Wazalendo dhidi ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) sasa inasikilizwa kwa njia ya mtandao. Chama cha ACT-Wazalendo kimefungua shauri la maombi kuhusiana na uteuzi wa mgombea wake wa nafasi ya urais, Luhaga Mpina, baada ya...
  13. Waufukweni

    GE2025 Mkutano wa Mpina na waandishi wa Habari umeahirishwa

    Ahirisho la Mkutano na Waandishi wa Habari Mkutano na waandishi wa Habari na Ndg Luhaga Mpina, uliokuwa ufanyike leo Alhamis tarehe 28.8.2025 saa Saba Kamili Mchana umeahirishwa kutokana na Mzungumzaji kuendelea na usikilizaji wa Kesi mahakamani Mpaka wakati huu. Tunaomba radhi kwa usumbufu na...
  14. Waufukweni

    GE2025 Askofu Bagonza: Uchaguzi umekwisha, tuonane mezani

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, amesema hali ya sasa ya kisiasa nchini, baada ya kuenguliwa kwa Mgombea Urais wa ACT Wazalendo Luhaga Mpina, inathibitisha hitaji kubwa la wadau wa siasa kurudi mezani kujadiliana. Akizungumza...
  15. Idugunde

    Hakuna tume huru. Luhaga Mpina angeanika ufisadi wa serikali ya CCM kwenye kampeni. Mabadiliko wanayoyataka CHADEMA ya Lissu yanahitajika

    Ni wazi kuwa Mpina angeeleza kwa kinagaubaga ubaya wa Serikali hii ya Samia na kundi lake. Act Wazalendo walichanga karata vizuri. Mfano wa hoja zake za msingi ambazo kila mtanzania anazielewa ni mikataba zaidi ya 47 inayohusu rasilimali za taifa hili lakini Bunge na wananchi...
  16. The Father of All

    Kama CCM na Samia wanakubalika kama tunavyoaminishwa, inakuwaje wamuogope hata Luhaga Mpina

    Sisemi mengi. Kichwa cha habari kinajieleza. CCM itangazwe mshindi kwa vile tume imeishaipa ushindi.
  17. Mkalukungone Mwamba

    ACT Wazalendo walia na INEC, sakata la Mpina kuenguliwa

    Mwanasheria Mkuu wa ACT Wazalendo Omar Said Shaaban akifafanua ni kwa namna gani chama hicho kinapinga vikali maamuzi ya Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kumuengua mgombea wao wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Luhaga Mpina, na hatua wanazochukua
  18. L

    Luhaga Mpina Hana Vigezo vya Kugombea Urais Hii Ndiyo Sababu kiundani na ningeshanga sana kukubaliwa

    Thread: Luhaga Mpina Hana Vigezo vya Kugombea Urais Hii Ndiyo Sababu kiundani na ningeshanga sana kukubaliwa 1.Muda wa Uanachama Ulikosekana Kanuni za ACT WAZALENDO zinahitaji mwanachama awe na siku 30 kabla ya uteuzi. Mpina alijiunga tarehe 5 Agosti, akateuliwa siku moja baadaye tarehe 6...
  19. S

    Luhaga Mpina katiba imemuengua

    Mwenezi ACT alitoa vifungu vinavyoonesha kuwa hana vigezo vya kugombe urahisi. Katika katiba ya ACT vifungu vifuatavyo vinamuengua 16(4)(I) Awe mwanachama wa ACT kwa muda usiopungua mwezi mmoja kabla ya tarehe ya mwisho ya uteuzi wa mgombea. 16(4)(iii) Awe tayari kutangaza mali binafsi na...
  20. Nyankurungu2020

    Wazee wa Usukumani waombwa kumfanyia tambiko Luhaga Mpina ili asikumbwe na mabaya. Ni jitihada zake za kupambana na wahuni wa CCM

    Matambiko yafanyike ameshauri Mzee Mabala Lug'wecha. Matambiko yaliotumika kumlinda Mwanamalundi yamlinde pia Luhaga Mpina Naona CCM wameanza kuogopa. Naamanisha CCM ya wahuni Nipo Chato
Back
Top Bottom