likizo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Bueno

    JamiiForums Tanzania Walimu Mmeshaanza Likizo?

    Wakuu, naomba kuuliza swali lipo hapo juu. Walimu mmeshaanza likizo au bado mpo shule mnafundisha? Naomba kujibiwa na Walimu wote waliopo humu JF. Km mpo likizo semeni kuna jambo jingine nataka kuwauliza.
  2. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Hivi umeshawahi kujipa likizo na kwenda vacation? Ukirudi productivity inaongezeka au iko vilevile?

    Wakuu, poleni na mapambano. Leo nina swali au mjadala general. Mara nyingi tunakimbizana na mishe za kila siku bila hata kuupa mwili na akili nafasi ya kupumzika, ukiachilia mbali vacation. Vacation inaweza kuwa fupi tu, hata wikiendi moja nje ya mji, lakini matokeo yake yakawa makubwa sana...
  3. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Imewezekanaje Harbinder Sethi kushiriki siasa za CCM huku akiwa ni raia wa Kenya?

    GT Naendelea kusema maCCM ni Wahuni sana . Huyu Seth toka.mwaka 2016 ni Raia wa Kenya inakuwaje anaingia kwenye siasa za maCCM. Halafu kuna wqtu wanasema nchi hii ina usalama wa taifa, hakuna kitu kama hicho hao mi huwa nawaita wahuni tu walio kwa ajili ya matumbo yao.
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Baadhi ya Taasisi za Serikali hazilipi tena pesa ya likizo kwa watumishi wake

    Heshima yenu wakuu , Rejea kichwa cha habari hapo ,kuna hili jambo limekua sana kwa sasa ,tangu baadhi ya Taasisi kupokea barua ya kufutwa kwa pesa ya likizo maarufu kama mshahara wa 13 kwa mwaka ..Basi na pesa ya nauli ya likizo hawalipi tena . Kulingana na mwongozo wa serikali ni lazima...
  5. W

    JamiiForums Tanzania Umegundua nini watoto wako au wanafunzi wa boarding wakiwa nyumbani likizo hii ?

    Niliyoyagundua Sebuleni kuligeuka Bedroom siku za mwanzo - TV ilikuwa on muda mwingi, wavulana utawakuta kwenye Game au mabinti kwenye series Chakula tulichowapimia hakikutosha hasa ubwabwa wa usiku, ilibidi vikombe vya ziada viongezwe
  6. Tanzanians

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yanga wamempa likizo ya lazima Ahmed Ally semaji la CAF

    Semaji la CAF mbona umetelekeza timu yako sio kawaida yako kukaa kimya hivi au ndo umesusa Semaji la CAF mara ya mwisho tulikubaliana na ulisisitiza simba haitaenda uwanjani kama tarehe 15 itabadilishwa Unachofanya semaji kwa kukaa kimya sio vizuri tumemis comedy zako
  7. BigTall

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Je, TARURA Morogoro wapo likizo au hakuna bajeti ya ujenzi wa barabara? Wakazi wa Manyuki tunapata shida

    Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro ni miongoni mwa Halmashauri kongwe nchini, lakini kwa miaka mingi kumekuwepo na changamoto kubwa ya miundombinu ya barabara, hasa zile zilizo chini ya usimamizi wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA). Barabara nyingi zimegeuka kuwa kero kubwa...
  8. Inside10

    JamiiForums Tanzania Elimu Ya Tanzania Kwa Watoto Wa Primary Na Secondary Schools Hazina Likizo?! Kipindi Hiki Cha Likizo Nawaona Alfajiri Na Mapema Wakiwahi Shuleni..!!

    Kama mada inavyojieleza kipindi hiki cha alfajiri na mapema nakutana na watoto wadogo kwenye usafiri wa umma.. wakiwahi shuleni. Je, Ndio sera mpya ya elimu?!
  9. Mkoba wa Mama

    JamiiForums Tanzania Serikali inaruhusu watoto waendelee kwenda shule wakati wa likizo kumbe ina ajenda yake

    Ndio maana Serikali inayoongozwa na CCM hawasemi chochote kuhusu malalamiko ya wazazi na wanafunzi kuhusu utaratibu huu mbovu wa kuendelea kubakiza watoto shuleni wakati wa likizo, ili wafanikishe ajenda zao. Huko Simiyu watoto wa shule za sekondari ambao hawakufunga wamekusanywa wote na sasa...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Shule kutofungwa wakati wa likizo ni udhaifu wa Kamishna wa Elimu na watendaji wake

    Miaka ya hivi karibuni kumekua na tabia imeibuka na imeota mizizi ya kuwanyima wanafunzi haki yao ya kupumzika wakati wa likizo.Shule nyingi zimekua haziwapi likizo wanafunzi mpka mwezi wa 12. Hii ina maana wanafunzi wanasoma mwaka mzima bila kupumzika.Tabia hii ilianza kwa shule binafsi hasa...
  11. Miss Natafuta

    JamiiForums Tanzania Likizo time, kwa wazazi tu. Ushauri na maoni

    Hii ni kwa wazazi Tu na walezi, kataa ndoa piteni pembeni. Hapa naomba tupeane ushauri jinsi ya kulea watoto wetu. Kama Una maoni au ushauri ambao unaona inafaa kwa wazazi wenzako pls share hapa Mimi, cha Kwanza nianze kwa Hili Kuna hii changamoto inawakumba watoto wengi. Inatokea watoto...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu na Tamisemi ingilieni kati baadhi ya shule zimegoma kutoa likizo ndefu kwa mujibu wa ratiba ya Wizara ya Elimu

    Ni jambo la kawaida kwa mujibu wa mitaala ya elimu nchini wanafunzi wa shule za secondari na shule za msingi kuwa na likizo ya mwezi mmoja kati ya mwezi wa sita hadi wa saba.Hata hivyo , kuna baadhi ya shule zimetoa likizo ya wiki moja tu. Hakuna asietaka mwanafunzi kuwa na ufaulu mzuri, lakini...
  13. Magari damu

    JamiiForums Tanzania Malipo ya likizo

    Habari ndugu zangu Niko na changamoto kidogo. Nimefanya kazi na shirika X kwa muda wa miezi nane na kwenye mkataba wamesema kutakuwa na siku 28 za likizo ya kulipwa ambazo mimi sijatumia hata siku moja. Sasa imetokea nimeresign, ila HR anasema siwezi kulipwa hio hela ya likizo kwa sababu mkataba...
  14. A

    JamiiForums Tanzania Likizo Time Tution.. mapambanio centre- Tegeta Nyuki (0625012562)

    A Level na O Level, masomo yote. Kutana na walimu wabobevu kwa kila somo. Pia tunafundisha mbinu za kufanya solving ya maswali kwa kila topic,, pamoja solving ya past papers... Hostel pia zipo. Tupo Tegeta- Nyuki KARIBU.
  15. A

    JamiiForums Tanzania Likizo time tution. Mapambanio centre- Tegeta Nyuki

    Likizo time tution. Mapambanio centre- tegeta nyuki. A level na o level masomo yote.. Walimu wabobevu kwenye kila somo. Solving ya maswali kwa kila topic na maswali ya necta inafanyika kwa kina. Karibu (0625012562) Whatsap; 0782044028
  16. A

    JamiiForums Tanzania Likizo time tuition. Mapambanio centre- Tegeta nyuki. Hostel pia zipo

    A LEVEL NA O LEVEL MASOMO YOTE. WALIMU WALIOBOBEA KWENYE UFUNDISHAJI. SOLVING YA MASWALI MBALIMBALI NA MASWALI YA NECTA INAFANYIKA KWA KINA KABISA.. MWANAFUNZI AKITOKA HAPA ANAKUA TAYARI KUFANYA VIZURI KWENYE MTIHANI WA MWISHO. KARIBU (0625012562)
  17. Smart Finance

    JamiiForums Tanzania Dondoo Muhimu Kuhusu Likizo

    Imeandaliwa na Smart Finance SW Ndugu wafanyakazi, Leo nimekuja kuzungumza nanyi siyo tu kama mfanyakazi mwenzenu, bali kama mtu anayejali maisha yenu ya sasa na yale yajayo. Nataka tujiulize swali moja la msingi: Maisha yetu yatakuwaje baada ya kustaafu? Wengi wenu mkisikia neno “likizo”...
  18. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Ujenzi DART Dar es Salaam, Serikali iko likizo?

    Siyo siri, ujenzi wa mradi wa Dar es salaam Rapid Transport(DART), una matatizo makubwa. Mkandarasi barabarani hana vifaa kabisa vya kukidhi kazi hizi kubwa. Kwa observation ya wazi ni kwamba mkandarasi mchina, kwanza hana uwezo. Pili linaloigusa Serikali moja kwa moja ni kwa nini mkandarasi...
  19. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania Yule anayetoa pole mtu akipata madhila kwenye kurasa za Rais Samia kaenda likizo kwenye tukio la Kitima?

    Wakuu, Ni swali tu nauliza maana kama sijaelewa hivi👀 Tumekuwa tukiona watu mbalimbali maarufu na hata kundi la watu wakipata madhila Rais Samia kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii hutoa pole, na kwengine huenda mbali hata kutoa mkono wa pole, na kwa wengine hufika kabisaaa, kama...
  20. Funa the Wild

    JamiiForums Tanzania Ushawahi jipatia likizo/Mapumziko ya namna hii?

    "Kuna wakati unakuwa unafanya kazi hadi inafika hatua unahisi ni kama ulizaliwa kutopumzika", "kuna wakati changamoto zinakuwa ni nyingi kiasi kwamba unaona kama una laana". "kuna wakati stress zinakuzidi kiasi kwamba huwezi ata kutoa chozi wala kucheka". Kuna namna nyingi za kujipa mapumziko...
Back
Top Bottom