Utarogwa kwa kumpa hela, ili usiwape watu wengine hata wazazi wako, umpe yeye tu.
Utarogwa kwa kumnyima hela, atakuendea kwa mganga ili uache ubahili, anahisi unahonga nje.
Ataroga ili umpende, ukimpenda zaidi atakuroga Tena uwe zezeta
Atakuroga ili akushike masikio na akupande kichwani, wakija...