laptop

  1. trojan

    Wapi nitapata fan ya laptop?

    Nina laptop ya hp Envy x360, Fan yake ya GPU imekufa, nimejaribu kupiga simu kwenye maduka tofauti hapa Tanzania bila mafanikio. Nimejifunza kuwa maduka yote niliyopiga hayauzi spare za laptop kama yanavyojitangaza. Naomba msaada kwa mtu yeyote anaeweza nipa mwongozo wapi nitapata. Ukinisaidia...
  2. Termux Black

    Computer4Sale Karibu nauza laptop, Computer na nafanya maintenance

    Karibu nikuzie laptop na computer aina zote kama: -HP -DELL -LENOVO -APPLE -FUJITSU -ALIENWARE -SAMSUNG n.k Accessories aina zote zinapatikana kama: -RAM (1gb 2gb 4gb 8g) -Hard disk (180gb, 320gb, 500gb, 1000gb, 2000gb) -Adapter charge aina zote -Keyboard na Mouse wired na wireless -VGA...
  3. R

    Nawezaje kudhibiti matumizi ya internet Kwenye laptop yangu?

    Habari Wakuu. Nina laptop aina ya Toshiba ila tatizo niiiunga na WiFi hotspot ya Simu yangu ya Tecno inakula data so mchezo. Juzi tu niliiunga ili kuperuzi website kadhaa lakini ndani ya dakika tano ikawa imetafuna MB 300! Naomba msaada nifanyeje kudhibiti hii hali.
  4. Rabama

    Computer4Sale Tunauza laptop za kila aina

    Lenovo XIIM 2-in-1 laptop slim and nice Affordable 2-in-1 Tablet 10 windows tablet with detachable keyboard and hi-res display 11 Size ••Processor : Intel Atom X5 ••Generation: 6th ••RAM 4GB (DDR4) ••Storage: SSD 64GB. GB Extra ••Touch screen ✔️ Let your fingers do the talking ••Long...
  5. Digital base

    Naomba msaada jinsi ya kujua Laptop ya bei ndogo chini ya 500,000 yenye uwezo mzuri

    Habari ya leo wakuu, samahani Nahitaji kununua Laptop kwa ajili ya matumizi Katika shughuli zangu Kazi nnazo hitaji kuzifanya zaidi ni kuandika vitabu, kutengeneza matangazo, posters n.k Napenda nitumie laptop kufanya kazi hiyo kutokana na mazingira yangu kibiashara kuwa ya kusafiri mara...
  6. Wasi

    Computer4Sale HP Laptop for sale

    HP LAPTOP Intel Core i2 2nd generation CPU @ 2.00GHz RAM 4.00 GB HDD 250 GB System type 64 bit OS Bei 350,000/= haina tatizo lolote 0718965554/0759901919 Dar es Salaam
  7. N

    Computer4Sale Laptop Acer inauzwa

    Husika na kichwa hapo Juu..Nauza laptop Acer ikiwa na sifa hizi Liquid Crystal Display 15'5 RAM 4GB Harddisk 320GB Battery 2hrs WebCam Bluetooth Running Windows 10 Bei nahitaji Tsh.250,000 only Napatikana Dsm Mabibo Hostel Mob:0713598825
  8. Last sentinel

    Computer4Sale Laptop inauzwa

    Laptop inauzwa Jina :Zed air HDD:500GB RAM:4GB Price:250,000/- Contacts:0759-124378
  9. gkasambo

    Wapi wanauza desktop na laptop kwa bei ya jumla?

    Habari za mchana, Ninaomba kwa anayefahamu sehemu duka/ kampuni/ kiwanda ambapo ninaweza pata desktop na laptop kwa bei ya jumla au ya chini zaidi. Ninahitaji destop 300 na laptop 50 kuna mahali zinatakiwa kuwekwa.
  10. emma115

    Fahamu Herufi “Y-U-H” kwenye Laptop

    Wakuu habari za muda huu. poleni na pia hongereni kwa majukumu ya kila siku Kama ulivyoweza kusoma kicha hapo juu, leo nitaenda kukujuza maujanja ambayo inawezekana ulikuwa hujui kuhusu laptop. Maujanja haya yatakusaidia sana pale unapotaka kununua laptop hasa hapa nchini Tanzania. Ukweli ni...
  11. Eng Kahigwa

    Computer4Sale Dell Laptop for sale

    Dell Latitude E6330 RAM: 8GB HDD: 500GB Operating System: Windows 10 | 64-bits CPU: Core i7 | Speed: 3.0GHz Battery Autonomy: 3hrs Status: Good condition Location: Ubungo, Dar es salaam Price: Tsh. 440,000/= Call/Whatsapp: +255 656 814 383
  12. Frumence M Kyauke

    Computer4Sale Laptop Inauzwa

    HP PRO BOOK 6470B Inauzwa Ram 4GB Hard Disk 500GB Windows 10 Webcam Finger Print Battery 4 Hours Bei 250,000 Mawasiliano: 0768776716
  13. M

    Nahitaji kununua laptop

    Wakuu habari za majukumu, Nilikuwa nahitaji laptop used ya kununua .specification ziwe hizi processor core 5 au 7. Generation ya 5 au ya sita HDD 500gb bajeti yangu Ni 400000 - 500000. Location Niko Mwanza . Kama iko dar pia mzigo naweza kuufata.
  14. Fundi Madirisha

    Kwanini Polisi wanapomshikilia mtu wanakimbilia kwenye simu na Laptop yake?

    Amani iwe nanyi Waungwana! Mimi swali langu ni Short and clear, huu utaratibu wa Polisi kushikilia mtu kisha wanabeba na simu yake pamoja na Laptop yake, wanataka nini hasa? Ni sheria gani inayoruhusu wao kuingia na kufungua simu na computer zangu bila ridhaa yangu wakati mimi ni mshukiwa...
  15. C

    INAUZWA Offer: HP Laptop for Sale 199,000 Tzs

    Grab this unbeatable offer: 199,000/= HP Laptop for sale Specs Model HP 6550b Ram 4GB Intel i5 Battery (charge) depletion time 45"- 1hr ❌Webcam isn't working ( but you can use external webcam) Price: 199,000/- (OFFER) UPDATE: SOLD Out! ☑️
  16. luangalila

    Msaada: PC (laptop) yangu screen yake imebadili rangi kuwa pink

    Habarini za Usiku wadau wa Tech Leo nimekumbana na hii scenario nawasha Pc yangunlkn muonekano wa screen sio ule wa kawaida, ina ka rangi kama ya pink flan iv sometime ina ambatana na kama mistari iv ..ningeomba watalaam mnisaidie ku share tip juu ya hili tatizo Je ni kioo kina shida au ndio...
  17. zink

    Bei na ubora wa alienware gaming laptop

    Habari wakuu nimevutiwa sana na hizi alienware gaming laptop, nauliza kuhusu bei zake pamoja na ubora wake ukishindanisha na kampuni kama hp omen, acer, msi, na je hizi msi gaming laptop zina ubora gan maana zinanivutia kimuonekano.
  18. C

    Computer4Sale HP Laptop for Sale

    HP Laptop for sale Specs Model HP 6550b Ram 4GB Intel i5 Battery - can store the charge 45"- 1hr Price: 250,000/- First call, first served! UPDATE: SOLD Out! ☑️
  19. G

    Computer4Sale Laptop hpfolio 9480 inauzwa

    Ram: 8gb Hdd: 500gb Processor : Coi5 Battery mbovu (haina tatizo jingine) Bei: Tsh. 550, 000/= Phone : 0764232348 Location : Dar es Salaam Exchange allowed with any dell laptop
  20. Niache Nteseke

    MSAADA: Hivi, Naweza Kutumia Laptop kupita simu?

    Wakuu. Heshima kwenu. Kama mada inavyojieleza wakuu nahitaji kutumia Laptop kutokea kwenye simu wakuu. Vitu gani vinawezekana na vipi haviwezekani...? Naweza kuona interface ya laptop kwa bluetooth nikafanya ninachoweza kufanya kwenye laptop kwa kutumia simu yangu...? Kama ipo hiyo app...
Back
Top Bottom