Habari....
Kwa mujibu wa Katiba ya TFF, pamoja na kanuni za uchaguzi zinazotambuliwa na FIFA, mtu yeyote anayetaka kugombea urais wa TFF lazima awe na:
1. Uzoefu wa Uongozi
Mgombea anatakiwa awe amewahi kushika nafasi ya uongozi kwenye soka (TFF, vilabu, vyama vya mikoa n.k.) kwa angalau...