kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    PreGE2025 Mbunge Aeshi Hilaly awaomba wananchi kumpa baraka za kuendelea kuwapatia Maendeleo, Sumbawanga Mjini

    Mbunge wa Jimbo la Sumbawanga Mjini Aesh Hilaly amewaomba Wananchi wa Jimbo la Sumbawanga Mjini kumpa Baraka za kuendelea kuwapatia maendeleo Wana-Sumbawanga kama alivyofanya katika awamu zote ili kuiinua Sumbawanga kimaendeleo zaidi. Aeshi amezungumza hayo katika Mkutano na Wananchi wa Kata ya...
  2. Lord Denning

    PreGE2025 Mfanyie mtu vyote sio kumzuia Kusali Kwa anayofanyiwa Lissu, ni zaidi ya kuvunja Katiba

    Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewekwa Haki kwa Watanzania wote kuwa na uhuru wa kuabudu na kufanya Ibada. Tanzania pamoja na kutokuwa na dini ila Wananchi wake wamepewa Haki ya kuabudu na kufanya Ibada na Sheria Kuu ya Nchi ambayo ni Katiba. Sio hivyo ili kuweka msisitizo wa...
  3. R

    PreGE2025 Serikali kujenga Shule maalumu ya wavulana Kanda ya Ziwa

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali iko mbioni kujenga shule maalumu ya wavulana kwa ajili ya Kanda ya Ziwa, ambapo ujenzi huo utafanyika mkoani Simiyu. Samia ametoa kauli hiyo leo, Jumatatu Juni 16, 2025, wakati akizungumza na wananchi wa mkoa huo mara baada ya kuzindua rasmi shule ya...
  4. Stephano Mgendanyi

    PreGE2025 Mbunge Subira Mgalu Apongezwa na UWT Wilaya ya Bagamoyo kwa Utendaji Mzuri

    MBUNGE SUBIRA MGALU APONGEZWA NA UWT WILAYA YA BAGAMOYO KWA UTENDAJI MZURI Chama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani wamempongeza Mbunge wa Mkoa huo Bi, Subira Mgalu kwa kusema kuwa kiongozi huyo ni sawa na Lulu iliyotelemshwa na Mungu. Wananchi walisema kuwa kwa jinsi...
  5. DuaZaMama

    PreGE2025 POTOSHI Lissu hana imani na mawakili wake 30, awaita wasaliti

    ====== wakuu Ni kweli kwamba Tundu Lissu amewaita mawakili wake wasaliti?
  6. Waufukweni

    PreGE2025 Waandishi wa Habari watolewa nje ya chumba cha Mahakama kunakosikilizwa kesi ya Tundu Lissu Kisutu

    Katika hali isiyo ya kawaida mahakamani, leo Juni 16,2025 Hakimu alitangulia kuingia ukumbini kabla ya mtuhumiwa, Mbunge wa zamani na Mwanasheria, Tundu Lissu. Mara baada ya Hakimu kuingia, waandishi wa habari waliokuwepo walitakiwa kutoka nje ya ukumbi ili wasipige picha wakati Lissu akiingia...
  7. B

    PreGE2025 Kesi ya Uhaini ya Lissu yaahirishwa hadi Julai 01, 2025

    https://www.youtube.com/live/oU5eT7Dimu0?si=BYYHRNCBHOz_0_ye Siku hazikawii kufika, usikilizwaji kesi ya Lissu huo umewadia. Kama mnakumbuka wakayi uliopita upande wa mashtaka walisema wanahitaji muda zaidi kukamilisha upelelezi na wakaambiwa tarehe itakayopangwa kutakuwa hakuna nafasi ya hiki...
  8. DuaZaMama

    PreGE2025 Wakili wa Lissu Jebra Kambole aweka wazi kuhusu ugumu wanaopitia mawakili kumuona Lissu gerezani

    Wakili wa Tundu Lissu Jebra Kambole kwa niaba ya mawakili wengine wanaomtetea amesema wamekuwa wakipta ugumu wa kuonana na kufanya mazungumzo ya faragha na kushauriiana na mteja wao pindi wanapokwenda kumtembelea Gereza la ukonga. Malamamiko hayo yalitolewa pia na Lissu kuwa hapati uhuru wa...
  9. R

    PreGE2025 Shekh Ally Mohamed (Kadogoo) aibukia CHAUMMA baada ya kutangaza Kupumzika siasa

    Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Ali Kadogo, ameibuka upya katika siasa baada ya awali kutangaza kupumzika. safari hii, ameonekana kwenye kikao maalum cha chama cha CHAUMMA, akitoa kauli kali iliyowagusa wengi, hasa walioko kwenye vyama vya upinzani. Kadogo amesema kuwa...
  10. R

    PreGE2025 Tundu Lissu alalamika kunyimwa haki ya kuabudu gerezani

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) taifa Tundu Lissu amelalamika kunyimwa haki ya kuabudu kwa takribani siku 68 tangu alipokamatwa na kupelekwa gerezani. Lissu ametoa taarifa hiyo siku ya Jumatatu Juni 16, 2025 alipopewa nafasi ya kuzungumza katika Mahakama ya Hakimu...
  11. Waufukweni

    PreGE2025 Mahakama yakubali ombi la Tundu Lissu kujitetea mwenyewe

    Baada ya Tundu Lissu kuiambia Mahakama kuanzia leo atajitetea mwenyewe kwasababu Mawakili wake wamekuwa hawatendewi haki na hataki ije ionekane walishindwa kumtetea, Mahakama imekubali ombi hilo "Kwa haya ambayo nimeyasema mawakili wangu nawashukuru, walipambana sana, walipigana kitaalamu...
  12. R

    Tundu Lissu: Nimekuwa Mahabusu Siku 68 Mawakili wangu hawajaruhusiwa Kuniona na kuwasiliana na Mimi

    Mapema leo Juni 16, 2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amefikishwa Mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam kusikiliza kesi ya Uhaini na Kesi ya kuchapisha uongo Mtandaoni zinazomkabili ikiwa ni mara ya tatu kwa sasa kufika Mahakamani kusikiliza kesi yake === Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha...
  13. R

    PreGE2025 Billioni 19.8 Zawekezwa Hospitali ya Rufaa Simiyu

    Waziri wa Afya Jenista Mhagama amezitaka hospitali zote nchini kusimamia na kulinda miundombinu iliyopo, kwa kuwa Serikali imefanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya kwa kuboresha miundombinu na vifaa tiba. Waziri Mhagama amesema hayo alipotembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Simuyu kwa...
  14. R

    PreGE2025 Mwenyikiti wa UVCCM Mohamed Ali Kawaida: Ushindi wa CCM ni sawa na Kifo

    Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA Ndg. Mohammed Ali Kawaida amesema Chama Cha Mapinduzi ndio baba wa vyama vingine ambavyo ni sawa na watoto wadogo katika misingi ya kisiasa na kisera kwa maslahi ya nchi ya Tanzania na hivyo ushindi wa CCM katika Uchaguzi ni sawa na kifo; CCM lazima kishinde kwa sababu...
  15. Roving Journalist

    Ziara ya Rais Samia Mkoani Simiyu, Juni 16, 2025, afungua Jengo la TRA

    Rais Samia anafanya ziara mkoani Simiyu Juni 16, 2025 Halmashauri zote zijitahidi katika makusanyo mapato, kwa upande wa TRA wanajitahidi sana lakini kwa Halmashauri mnakula nyingi mnaleta kidogo, niwaombe sana mjizatiti katika makusanyo ili maendeleo yaendele kama tulivyoyapeleka katika miaka...
  16. R

    PreGE2025 Wakili Peter Madeleka: ACT ikiingia Madarakani, Tutahakikisha kila Askari anamiliki Ghorofa na Land Cruiser

    Wakili Peter Madeleka akizungumza na Wananchi Jimbo laTemeke, amesema ACT Wazalendo Wakiingia madarakani watahakikisha Polisi wanaostaafu wanaondolewa kikokotoo ikiwa ni sababu ya umasikini amesema pia Polisi wakilinda Kura kila Askari atamiliki Ghorofa na gari Land Cruiser
  17. W

    PreGE2025 Ado Shaibu akiri anawaogopa CCM na vyombo vya dola watawaibia kura zao

    Wakati akijibu alipoulizwa na mtumiaji mmoja wa X kuhusu operesheni yao ya #lindakura kwamba wanaogopa nani ataiiba alijibu; "CCM na vyombo vya dola! Oktoba"
  18. W

    PreGE2025 Zitto atoa shule kwa lugha nyepesi kuhusu operesheni yao kwa ambao hamkuelewa

    Zitto anazidi kutoa shule huko X kwa wananchi wanaohoji ni kwa vipi watafanikiwa na operereshin yao ya #lindaKura "Kwa lugha nyepesi: tutalinda kura kwenye kituo cha kupigia kura kwa kupiga kura, kusimamia ikihesabiwa na matokeo kubandikwa. hakuna kura bandia itaingia kituoni hakuna wakala wa...
  19. Waufukweni

    PreGE2025 Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani, Shekh Ally Mohamed (Kadogoo) ajivua Uanachama

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, Shekh Ally Kadogo ametangaza kujivua Uwanachama wa chama Cha demokrasia na Maendeleo Chadema kuanzia leo Juni 15, 2025 na kujivua nafasi yeke kama aliyonayo kwenye chama hicho. Soma, Pia: Shehe Ally Mohamed Kadogoo achaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti...
  20. W

    PreGE2025 Sativa awashukia ACT-Wazalendo na kampeni yao ya 'Linda kura'

    Sativa amewakalia kooni ACT wazalendo 😂. Kupitia ukurasa wake wa X anaandika "Kanuni zinasema ukipiga kura NENDA nyumbani. Haisemi ukae mita 200. Kwahiyo ACT WAZALENDO watalinda kura kutokea nyumbani.🫵🏾😂 KM ADO SHAIBU ebu toa shule kwa vijana wako. Hawakuwepo Dodoma wakati una mwaga wino...
Back
Top Bottom