Kuna mabishano makali kati ya wanasiasa wa vyama mbali-mbali nchini ambavyo vyote kwa ujumla wao vinawakilisha maslahi ya wananchi.
Ila ukiangalia kanuni, sheria, miongozo na taratibu za sasa za uchaguzi, utaona tu kuwa zinaminya usawa katika mchakato wa kupata viongozi wanaochaguliwa na...