Jana mmetoa tarifa ya sababu ya watu kupotea , kutekwa, kufa na mengineyo kama hayo.
Swali kuu: Kwanini wanaopatwa a sanabu mlizozitoa wengi wao, naweza kusema 99% ni wafuasi/wanachama/wapenzi wa chadema ambay pia serikali IMEIKLIA KOONI?
Angalia kupotea kwa watu hawa
1. Ben Saanane
2. Mdud
3...
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Stephen Wasira, amesema amesikitishwa na mbunge (hamkumtaja jina) aliyesema anamdai Rais Dk. Samia Suluhu Hassan wakati wenzake hawana deni naye na kwamba mbunge huyo ameingia ‘choo ambacho sio chake.
Soma > Mpina: Rais Samia jimboni Kisesa...
Aliyekuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa CHADEMA na Mtia nia wa Ubunge katika Jimbo la Rombo, Andrea Lemnge Oisso, ametangaza kujivua uanachama wa chama hicho akilaani msimamo wa kususia uchaguzi kwa hoja kwamba “historia haijawahi kumbeba anayekimbia mapambano”.
Akizungumza kupitia tamko...
Nawasalimu ndugu zangu.
Tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu ambao wenyewe utakua unafanyika kwa awamu ya saba (7) tangu chaguzi za vyama vingi zilipoanza.
Rais na wabunge wanaotoka mikoa ya kusini mwa Tanzania (Lindi na Mtwara) wana mengi ya kujieleza mbele ya wapiga kura, machache yafuatayo ni...
Daktari Meshack Michael Ole Sabaya ambaye ni Mtaalamu wa Afya ametajwa kutia nia ya Ubunge katika Jimbo la Kibamba Jijini Dar es Salaam.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara...
Waziri wa maji Mhe Jumaa Aweso amesema Rais Samia amefanya kazi kubwa sana katika Sekta ya Maji kwa wilaya ya Bariadi, Mkoa wa Simiyu na Tanzania kwa ujumla wake hadi kufikia hatua ya kutambulika kimataifa.
Aidha Waziri Aweso amempongeza Mbunge wa Bariadi na Naibu Waziri Waziri wa Maji Mhe...
Mbunge wa kuchaguliwa asizidi vipindi vitatu vya miaka 15 maana yake nini ni miaka 15 kama mbunge umeshindwa kutekeleza kwa wananchi utafanya nini?
“Ubunge uwe na ukomo wa miaaka 15 vipindi vitatu maana yake ni nini kwa mtu ambaye alikuwa mbunge 2010, 2015,2020 maana yake huu ungekuwa uchaguzi...
Moja ya mambo yanayowafanya CCM kutotaka kamwe kusikia kauli mbiu ya CHADEMA ya NO REFORMS NO ELECTION ni pamoja na ukweli kwamba tayari CCM wameshatumia mabilioni ya wananchi kuagiza na kuandaa vifaa mbalimbali kwa ajili ya kampeni ya uchaguzi mwishoni mwa mwaka huu.
Hap chini ni moja ya...
Mbunge wa Viti Maalum, Jacqueline Ngonyani, akichangia katika Mkutano wa 19 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaoendelea jijini Dodoma leo Juni 18, 2025, amesema amekoshwa na majibu yaliyotolewa na Rais Samia kwa Mbunge Luhaga Mpina, akieleza kuwa yalimfurahisha na kumpa faraja...
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, Daud Nyalamu amesema kutokana na utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo wilayani humo, wao hawana deni kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, bali wanamhisi anawadai wao na wamejipanga kuhakikisha...
Aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM Vyuo na vyuo vikuu mkoa wa Dodoma 2022-2023) Salum Ismail Salum ametangaza nia yakugombea ubunge jimbo la Kahama Mjini baada ya serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia kuwapa fursa vijana katika uongozi nchini.
Utaratibu wa kusafirisha watu kwa malori ni fedheha na ukiukaji mkubwa wa utu wa binadamu. Jana, Rais Samia alieleza kwa masikitiko kuhusu vifo vya vijana wanne waliopoteza maisha kwa ajali ya gari walipokuwa njiani kuelekea kwenye mkutano uliofanyika Simiyu Juni 17, 2025.
Soma > Barua ya...
Wakuu!
Imagine miaka 64 ya Uhuru, bado Khanga na Baiskeli ndio chambo katika Uvuvi wa Kisiasa na kutoa Kura kirahisi tu.
Uchaguzi unapokaribia mbinu za kisiasa zinaongezeka, zikiwemo zawadi kwa wananchi zinazobeba sura ya rushwa. Hadi mabox yenyewe yameandikwa jina la Samia Suluhu Hassan...
Wakuu,
Rais Samia anaendelea na ziara yake katika mikoa ya huko Kanda ya Ziwa. Baada ya jana kutoa spana kwa Mpina, je leo ataruka na nani?
https://www.youtube.com/live/Ylw1BFOHbvw?si=z6Jvqsf1Txr1fUZk
Wakuu
kwanini bado jamii yetu ina imani kuwa bado wanawake wanapaswa kufanya majukumu ya kifamilia na kulea ndoa zao kuliko kujihusisha kwenye masuala ya siasa na uongozi?
===
Ripoti ya BBC media action 2024 kuhusu namna “Mila na desturi za kijamii na kijinsia zinavyoathiri ushiriki wa vijana...
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kinondoni, Shaweji Mkumbura, ametoa wito kwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kujitokeza kwa wingi kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025, akisisitiza kuwa nafasi pekee isiyopaswa kuwania ni ya Urais ambayo tayari...
Ameingia bungeni kwa mara ya kwanza 2005 akiwa kijana wa miaka 30..
Amehudumu katika siasa za uwakilishi kwa miaka 20 mfululizo.
Mbunge anayetanguliza masilahi mapana ya nchi yake ni mzalendo zaidi kuliko anayejali tu changamoto binafsi za jimbo lake..
Mpina anajua fika, yeye na wanaharakati...
Kumekucha wana JF?
Haya watetezi wa Rais kazini, huyu Mtangazaji tangu apewe Tuzo kageuka kuwa Chawa naye.
Eti Mpina ni mtovu wa nidhamu kumwambia Rais shida alizotumwa na wananchi wake?
Jana wote tumeona na tumesikia alivyokuwa anaongea jinsi wananchi walivyokuwa wanashangilia kwa furaha...
Mchumi nguli nchini Dkt Bravious Kahyoza amelalamikia kitendo Cha Bunge kuendelea kubeba watu wenye elimu ya kujua kusoma na kuandika Kwa ni sawa na upotezaji wa bure wa rasilimali za Taifa,
Soma pia hii
Pre GE2025 - Ukiachana na Musukuma, hawa ndio wabunge wengine 12 ambao wameishia darasa...
Umeambiwa hadharani kuwa wewe hufai kuwa Mbunge wa jimbo. Hii ni wazi kuwa chama chako hakitakupitisha kugombea.
Wewe kusema kuwa Kisesa inahitaji madaraja na huduma za kijamii kuboreshwa imeonekana unatafuta umaarufu.
Hamia CHADEMA ungana na Lissu na Heche kudai maslahi ya Watanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.