Wakuu,
Rais wa South Korea, Lee Jae-myung, amesema serikali itaongeza juhudi za kuwatambua wanaharakati zaidi walioshiriki katika harakati za demokrasia za miaka ya 1960 na kuhakikisha wanapata fidia na kutambuliwa ipasavyo.
Akizungumza katika maadhimisho ya miaka 66 ya March 15 Democracy...
Wakuu,
Kim Jeong-ja, mwenye umri wa miaka 85, alivutia wengi mwaka 2024 baada ya kuwa mtu mwenye umri mkubwa zaidi kufanya mtihani wa kitaifa wa kujiunga na chuo. Mwaka huu 2025 amehitimu na stashahada ya ushirika katika masomo ya ustawi wa jamii kutoka Taasisi ya Elimu Endelevu ya Sookmyung...
Wakuu,
Aliyekuwa Rais wa Korea Kusini, Yoon Suk Yeol, Ijumaa aliomba radhi kwa kwa hekaheka zilizojitokeza kufuatia uamuzi wake wa muda mfupi wa kutangaza sheria ya kijeshi mwishoni mwa mwaka 2024,
Yoon alitoa kauli hiyo siku moja baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la...
Mahakama ya Korea Kusini imemhukumu aliyekuwa Waziri Mkuu, Han Duck-soo, kifungo cha miaka 23 jela kwa makosa yaliyohusisha uasi wa kikatiba, yakihusiana na tamko la sheria ya kijeshi lililotolewa na aliyekuwa Rais Yoon Suk Yeol Desemba 2024. Han (76) amekuwa waziri wa kwanza wa zamani katika...
Kwa watu wengi barani Afrika, Ulaya na Amerika, neno Jumong sio kitu kigeni ilikuwa ni mfululizo wa tamthilia kutoka Korea Kusini*?, ambayo ilipata kusimulia simulizi za kifalme ndani yake ikiwa na mapenzi, vita na migogoro ya kifalme. Lakini kwa wananchi wa Korea Kusini, Jumong haikuwa tu...
Mwaka 2012, dunia ilishuhudia tukio la kipekee katika historia ya muziki wa kimataifa. Wimbo wa “Gangnam Style” ulioimbwa na msanii wa Korea Kusini, PSY, ulivutia hisia na kujenga wimbi kubwa la furaha, kucheka, na kuigiza mtindo ya kipekee wa kucheza ambayo ulipendwa na dunia nzima. Hata bila...
Kama kichwa hapo juu kinavojieleza Mimi ni muajiriwa wa shirika kubwa tu la serikali hapa nchini (temporary Employment) miaka 9 sasa naona wazo linalo nijia mafanikio yangu hayatapatikana kwenye nchi yangu ya ahadi sasa natamani nikapate changamoto mpya kwenye nchi za watu.Naomba ushauri wenu...
Mke wa aliyekua rais wa Korea Kusini, Kim Keon Hee, amekamatwa baada ya Agosti 12, 2025 usiku mahakama kutoa hati ya kumtia mbaroni kufuatia tuhuma za ufisadi ambazo yeye amezikanusha, kwa mujibu wa mwendesha mashtaka maalum anayeongoza uchunguzi huo.
Soma pia: Mke wa Rais wa zamani Korea...
Mke wa aliyekua Rais wa Korea Kusini, Kim Keon Hee, alifika mahakamani kusikiliza kesi inayomkabili kilichodumu saa tano, lakini hakimu hajatoa uamuzi kuhusu ombi la waendesha mashtaka la kutaka kibali cha kumkamata kwa tuhuma za ufisadi
Anakabiliwa na mashtaka yanayoweza kumfunga miaka kadhaa...
Korea Kaskazini imekosea mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya Korea Kusini na Marekani kama "uchochezi wa moja kwa moja wa kijeshi" na kuonya kuwa itachukua hatu za kujibu.
Onyo hilo linakuja huku kukiwa na dalili za kupungua kwa mvutano mpakani wa nchi hizo chini ya kiongozi mpya huko Seoul...
Jeshi la Korea Kusini limesema mapema hii leo kwamba limeanza kuondoa vipaza sauti vilivyopo kwenye eneo la mpaka na jirani yake Korea Kaskazini, kama hatua ya kupunguza mvutano kati ya mahasimu hao.
Vipaza sauti hivyo vilikuwa vikitumiwa kueneza propaganda dhidi ya Korea Kaskazini, lakini...
UTANGULIZI:
Wiki hii, uteuzi wa Balozi mpya wa Ghana nchini Korea Kusini umezua mjadala mkubwa mitandaoni, si kwa sababu ya sifa zake au sera zake, bali kwa sababu ya sura yake. Balozi huyu ni Mghana mwenye asili ya Kiasia – jambo ambalo kwa baadhi ya watu limechukuliwa kama "kashfa" kwa...
asili
balozi
changamoto
friji
ghana
hata
haya
hoja
jamiiforums
kisasa
koreakoreakusini
kuhusu
kuliko
kusini
kuweka
makosa
mjadala
mweupe
nchini
sana
uteuzi
vyakula
waafrika
wenye
Mahakama ya Juu ya Korea Kusini imemwondolea rasmi Jay Y. Lee, Mwenyekiti wa Samsung Electronics, mashtaka ya udanganyifu wa mahesabu na ulaghai wa hisa uliotokana na muunganiko wa kampuni mbili tanzu za Samsung mwaka 2015 uliogharimu dola bilioni 8. Uamuzi huo umetupilia mbali mashitaka yote...
Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumatatu, Julai 7, ameahidi kutoza ushuru wa forodha wa angalau asilimia 25 kwa nchi kadhaa, zikiwemo Japani na Korea Kusini, washirika wawili wakuu wa Asia. Kwa Washington, hii inakusudiwa kuhimiza washirika wake wengine kutia saini mikataba ya biashara...
October 26, 1979 huko Korea Kusini kulitokea kisa cha ajabu cha mkuu wa ujasusi wa shirika la Korea Kusini(KCIA) Kim Jae-gyu kumtwanga risasi mbili boss wake rais wa Korea Kusin Park Chung-hee na bodyguard wake mkuu Cha wakiwa katika hafla ya chakula cha usiku. Inasemekana mzozo wa wawili hao...
Takribani shule 49 zinatarajiwa kufungwa mwaka huu nchini Korea Kusini kutokana na ukosefu wa wanafunzi. Asilimia kubwa ya shule hizo zilizokosa wanafunzi ni zile za awali na msingi.
Ukosefu wa wanafunzi wanaoandikishwa mashuleni unasababishwa na idadi ndogo ya watoto wanaozaliwa nchini humo...
Wakorea walipokubali kusitisha mapigano ya vita vya wenywe kwa wenyewe mwaka 1953 ilikuwa ni nchi moja ikagawanywa katika mataifa mawili, moja likaamua kuchukua mrengo wa ubepari na kushirikiana na US lingine likaenda njia ya Ukomunisti na kushirikiana na China.
Miaka 72 leo baada ya uamuzi huo...
Samsung, LG, Kia, POSCO na makampuni mengine mengi ya Korea yamelazimika kutathmini upya gharama za kuendesha viwanda nchini Mexico na Kanada, baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kusisitiza ahadi yake ya kutoza ushuru wa asilimia 25 kwa nchi hizo mbili za Amerika Kaskazini.
Trump alisema...
Mpo salama!
Huyu jamaa kwa mara ya Kwanza niliangalia picha yake ya Kwanza Miaka ya 2009/2010 huko katika Series Moja iitwayi IRIS. Hapo ndio mwanzo wa kuzipenda na kuanza kufuatilia baadhi ya Filamu za Kikorea. Nikiri wazi kuwa kabla ya kuangalia Filamu ya IRIS sikuwa mpenzi wa Filamu za...
Hii demokrasia ya Korea kusini inashangaza kweli.
Baada ya Rais aliyetolewa madarakani kwa kura za wabunge za kutokuwa na imani naye bwana Yoon Suk Yeol baada ya kutoa amri ya nchi kuwa chini ya sheria za kijeshi ili kudhibiti wakomunisti wa China na Korea Kaskazini kujipenyeza katika siasa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.