Korea Kusini imerekodi maambukizi 5,266 ya COVID-19 kwa Desemba 1, maambukizi ambayo ni makubwa, ikiwa ni wiki mbili baada ya kuripotiwa kwa kirusi cha Omicron.
Wasafiri wote watatakiwa kukaa karantini kwa siku 10 hata wale waliopata chanjo kamili kwa kuwa pia huathiriwa na aina mpya ya kirusi...
Dunia ina double standard sana.
Hivi karibuni USA ilitoa tenda Kwa nchi ya Australia kuunda Submarine Nuclear na Korea Kusini wanafanya jaribio la kombola kutoka kwenye nyambizi.
Mpaka sasa ni nchi kama Saba zinazoweza kuunda Aina hii ya nyuklia.
USA haikufahamu kuwa Korea Kaskazini ina uwezo...
Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in amesema kuwa muda sahihi umefika wa kupiga marufuku ulaji wa mbwa katika nchi hiyo.
Rais Moon ambaye ni Moja ya watu wanaopenda ufugaji wa mbwa amesema upigaji marufuku wa ulaji wa mbwa ni njia mojawapo itakayosaidia kulinda wanyama hao wasiteketee zaidi...
Waziri Mkuu, Kim Boo-kyum ameomba radhi mbele ya Umma kwa Serikali ya Korea Kusini kushindwa kuzingatia #Afya za Askari wake wa Kikosi cha Maji
Wanajeshi hao wa Korea Kusini wako kwenye doria maalum ya kukabiliana na Uharamia katika Pwani ya Afrika Mashariki
Wizara ya Ulinzi imethibisha kuwa...
Habari!
Marekani imeiondolea Korea Kusini vizuizi ama ukipenda waweza kuita vikwazo vya muda mrefu (miaka 42) juu ya uwezo wake wa kutengeneza makombora. Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in alitangaza uamuzi huo Ijumaa kufuatia mkutano wake na Rais wa Marekani Joe Biden hivi karibuni jijini...
Asante mno kwa kuweza kufungua uzi huu. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Wakorea huwa wanatumia mfumo wa tofauti sana katika kupeana majina. Kwa hapa Tanzania kwa mfano mtu anaitwa JOHN SULUHU KIKWETE.
Maana yake hapo JINA LAKE ni JOHN, SULUHU ni JINA LA BABA alafu KIKWETE ni jina la...
Habari zenu wakuu. Kwa wale wapenzi wa Korean dramas huyu ndiye Rais wa Korea.
Jina lake ni Moon Jae In. Alipata urais mwaka 2017 baada Park Geun Hye kuponzwa na rafiki yake Soon Sil hivyo kuondolewa madarakani.
15 . Moon alizaliwa mwaka wa vita. Alizaliwa 1953 miezi michache baada ya korean...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.