kizazi

Kizazi is an administrative ward within Muhambwe Constituency in Kibondo District of Kigoma Region in Tanzania.
At the time of the 2012 census, Kibondo District had a total population of 261,331.

View More On Wikipedia.org
  1. instinct desire

    Wanaume tutafute hela, ni aibu kwa mwanaume kuishi kwa kuombaomba kwa watu ili uhudumie familia Yako ujue unatengeza kizazi cha laana

    Mwanaume popote ulipo ujue kuwa unatakiwa u - hustle kutafuta hela bila kuchagua Kazi ya kufanya as long as itakuingizia kipato. Acheni ubishoo! Hela za kuomba omba kwa watu hazijawahi kuwa na baraka, ujue hiyo laana inahamia kwenye ukoo wako na vizazi vyako vyote wataishi maisha ya kutembeza...
  2. A

    Zandu kanchnar Guggul inatibu uvimbe kwenye kizazi na tumboni

    Dawa ni ya asili imezalisha india kwa ajili ya kutibu uvimbe kenye kizazi na kenye mfuko wa mayai. Pia dawa inasaidia kurekebisha homoni na hedhi. Dozi moja ya Zandu kanchnar guggul ina vidonge 80, unameza 2x2 asbhi na jioni kwa siku 40. Tunashauri utumie dozi mbili kupata matokeo ya uhakika...
  3. Liverpool VPN

    ""The Russian Guy"" hoja inayojidhihirisha kuwa Ndoa kwa kizazi hiki ni "Upuuzi Mtupuu""

    Twende direct kwenye mada .... Mmejionea wenyewe wake zenu walivyo "paparika" kwa russian guy. Yaani zile ndio tabia halisi Yaani wale ndio mlioa Ila kuna "case" mbili zimenisikitisha sanaaa .... 1. Mdada alitumia gari alilonunuliwa na mumewe na kuwekewa mafuta na mumewe ili kwenda kwa...
  4. M

    Kwa kizazi cha sasa ni kitu gani cha kumwambia mtoto wako ukisikia kala kipigo cha kionezi ?

    Hapo zamani sheria ilikuwa moja tu, ukipigwa rudishia, usipomweza mfanyie hata ambush. Siku hizi utawashauri kitu gani hawa kina junior ?
  5. Twilumba

    Silaha inayonyanyuliwa dhidi ya raia asiye na hatia huanzisha laana ya kizazi-Simulizi kuhusu Kijana George Chipeta

    Siku ya 29 Oktoba 2025 ilianza kama siku nyingine ya kawaida kwa George Chipeta, fundi wa umeme wa magari anayejitafutia riziki kwa jasho la mikono yake. Asubuhi hiyo alichukua pikipiki yake mwenyewe, akaondoka Vingunguti, akavuka daraja kuelekea Tabata kufuata spare ya mteja. Aliipata spare...
  6. COLTAN

    Kizazi cha sasampa ovyo kabisa sikujua Lil Nas X yuko vile

    Habarini wanajamvi. Kizazi hiki cha sasampa hovyo kabiSA, Sikujua Lili Nas x yuko vile.Nimefuatilia dogo ana laana yule.LAANA ZIENDE KWAKE.Alitembeaga uchi uko marekani alikamatwa aliwekwa sober house,sijajua kesi yake iliishaje.
  7. The Father of All

    Kwa anachofanya Trump kwa sasa, tumepata Hitler wa kizazi hiki

    Marekani, taifa lililojengekwa kwa ujambazi na utumwa, limerudia asili yake. Leo, limechukua mafuta ya Venezuela. Kesho, hatujui litachukua madini ya nani. Kesho kutwa, hatujui litawachukua watu gani kuwafanya watumwa. Mtondo, hatujui litakuja na mpya gani. Mtondogoo, hatujui, litaanzisha...
  8. Echolima1

    Israel yagundua ulinzi wa mpaka wa kisasa kabisa!

    🚨 ISRAELI YAFUNGUA ULINZI WA MPAKA WA KIZAZI KIJACHO Magari yanayojiendesha, ndege zisizo na rubani, na ndege nyepesi sasa zinaunganishwa katika mfumo mmoja wa ulinzi wa mpaka unaoendeshwa na AI, uliozinduliwa na Viwanda vya Anga vya Israeli. 🔹 Muunganisho wa akili wa wakati halisi katika...
  9. M

    Kwa kizazi hiki kinachosoma kwa kutumia Artificial inteligent lazima mabumunda yajazane kwenye ofisi za umma

    Yaani upuuzi mtupu. Unakuta kijana anapewa swali na mwalimu wake. Anatumia simu kwa akili mnemba ili kupata majibu. Taifa linazalisha mabumunda. Ndio maana uwezo wa kuperfom umepungua sana. Ofisi zimejaza mabumunda tupu.
  10. Mshana Jr

    Je, tumejichanganya na kizazi kisicho sahihi?

    Kwa kimombo tungesema! Did we mess up with wrong generation? Jibu linaweza kuwa ndio ama hapana kulingana na mitazamo, fikra na maono! Ila kiuhalisia watoto wa mjini wanasema tumeingia cha city.. Sio cha kike! Tulijisahau sana! Tukadhani wao ndio sisi na mawazo yetu ni yao! Hiki ni kikazi cha...
  11. comrade_kipepe

    Ni ngumu sana kuongoza kizazi hichi kwa viongozi waliopitwa na wakati

    Kwanza mnatakiwa kabla hamjafanya chochote kutoa Taarifa kwa umma inabidi mtulie, muichambue kwa makini, vijana wa leo wanajua mambo mengi na wanauwezo mkubwa wa kuchakata mambo. Hii comment hapo chini imenifurahisha sana ikiiilenga shirika la umeme kwa kutoa kanusho.
  12. Mjanja M1

    Unahisi ni misemo gani ya wahenga ambayo haina nguvu kwa kizazi hiki kipya?

    Mimi binafsi naamini misemo hii baadhi haina nguvu hivi sasa, kwa mfano -Aliejuu mngoje chini, Vijana wasasa hawana mda wa kupoteza wanakufuata hukohuko juu -Mshika mawili moja humpokonyoka, kizazi cha sasa hawashiki moja maana wanaamini ni uvivu Tiririka nawewe misemo ambayo unaona wahenga...
  13. Mshana Jr

    PostGE2025 Gen Z sio kizazi cha wafia dini

    Kuna kitu lazima mamlaka zijifunze leo na hata kesho kea manufaa ya Dada na ya baadae Gen Z sio kizazi cha wafia dini.. In fact hawako serious kabisa na dini.. Wana tafsiri za kushangaza kuhusu dini, na wameshuhudia mambo mabovu na ya kutisha kwenye dini kuliko kwenye sehemu ambazo si za dini...
  14. Sales man

    Gen Z ndo kizazi bora na cha watu wenye upeo wa juu wa uelewa

    Gen Z ndo kizazi cha watu smart sana tangu dunia iumbwe.
  15. H

    Huu ujinga wa dini,wachungaji na masheikh utafika mwisho kwenye kizazi hiki cha sasa

    Dini za kuja ni uninga uliopitiliza na unaowafanya watu wawe wajinga na washindwe kujisimamia wakiamini vitabu vya dini na ujinga uliomo mdani yake. Kwakuwa kizazi cha sasa kimeanza kusituka basi hiki kizazi ndiyo kitakuwa cha mwisho kuabudu ujinga huu wa dini za kuja na vitabu vyake.
  16. Carlos The Jackal

    GE2025 Kwa sababu waloandamana ni Wageni, asipatikane MTU yoyote kujihusianisha na kile kinachoitwa 'Maridhiano' kwakua MTU huyo Hatasamehewa Yeye na Kizazi

    Hii sio Tanzania ya 1990 !. Tanzania Mpya imezaliwa Tarehe 29/10/2025, Kinachoendelea na kitakachoendelea na Mchakato wa makuzi ya mtoto!!. Sasa , Uzi Huu ni Ushauri na Ukumbusho na Onyo Kwa wooooote wale ambao Majina yao yataoneoana kwenye Karatasi Takataka inayoitwa "Mwenyekiti ,Katibu Na...
  17. Sales man

    GE2025 Hawa vijana waliozaliwa 1990s, kinaweza ndo kikawa kizazi kitakachoiondoa CCM

    Naona ndo kizazi chenye watu wanaojitambua na kujua haki zao hapa Tanzania. So Ccm muwe makini Sana .
  18. K

    Hivi Leo bado Kuna kile kizazi mpaka sasa mama yupo, bibi yupo na mama wa bibi pia yupo?

    ..... yani wewe hapo upo mama yako yupo, bibi yako yupo, na pia mama wa bibi yako pia yupo? yani mama mzaa bibi, inafurahisha sana eeh🙂
  19. SinaMdaa

    Nini lengo la Elimu kwenye kizazi hiki

    Habarini wakuu, natumaini mu wazima. Moja Kwa Moja kwenye mada, Kadri siku zikienda najikuta hili swali liendelea kuwa na uhalisia,kwamba nini Lengo la formal education Kwa nyakati hizi ikiwa haitatui matatizo iliyopaswa kuyatatua . Kama Elimu ilipaswa kuanda watu wenye udhubutu na maarifa ya...
  20. Chizi Maarifa

    Siku hazirudi Nyuma : Kile Kizazi cha Dhahabu cha Team ya Taifa ya Cameroon

    Mfululizo wa Makala zangu za SIKU HAZIRUDI NYUMA. Hapa namaanisha kile kikosi Shababy kabisa cha Cameroon. Mguu wa shingo mguu wa Roho. “golden generation” ya Cameroon iliyotikisa dunia kwenye Kombe la Dunia 1990 (Italia) wakati wa Roger Milla na wenzake. Hicho ndicho kikosi kinachokumbukwa...
Back
Top Bottom