Nimeamka saa kumi alfajiri.
Nimeenda kazini kwa miguu.
Nimefanya kazi hadi jua kuzama.
Na bado, sina chochote.
Ninarudi nyumbani kwa bibi yangu,iîu
nyumba ya bati zilizochoka,
chakula ni ugali na maharage,
umeme unakatika kila siku.
Na bado watu wanasema,
“Pambana kijana, mafanikio yanakuja.”...