kiwanja

  1. R

    Nawezaje kujua au kutathimini ili kujua bei halisi ya kiwanja

    Habar wadau hope wote mpo poa Maisha magumu lakini elimu pia inasaidia ila yenyewe bila ujanja ni kazi bure ujanja muhimu pia ukiongezea na elimu basi ni full mteremko !!!! nije moja kwa moja kwenye mada naomba ijulikane wazi hapa tunazungumzia bei au thamani ya kiwanja na sio nyaraka utapeli...
  2. Ni namna gani naweza kufuatilia kupata Hati ya Kiwanja?

    Wadau naomba mnisaidie ni procedure zipi zinafuatwa ili kupata hati ya kiwanja Vitu vinavyotakiwa.
  3. B

    Kiwanja kinauzwa Kibaha miembe saba

    Nauza kiwanja Kibaha miembe Ukubwa mita 54 kwa mita 23 Nimepunguza bei ya awali ilikua Mil.13 sasa nauza kwa Mil.9.5, WhatsApp au kupiga kawaida 0674 223 223.
  4. Plot4Sale Nauza kiwanja- Kibaha Misugusugu

    Kiwanja kinauzwa Eneo: Kongowe Misugusugu-kibaha size: 30*20 600square metre Maji umeme vipo Nusu kilomita kutoka lami ya Morogoro Road Hati ya maandikishano ipo Bei milioni 4. 0744033555 Piga simu
  5. Natafuta kiwanja Arusha

    Nijikite kwenye mada moja kwa moja, natafuta kiwanja cha kujenga nyumba, maeneo ya Arusha isipokuwa nje ya mji kidogo, eneo la wastani tu kama 20x25… bajeti ni milioni tatu 3,000,000/-. Kiwanja kisiwe mbali sana kutoka barabarani, Nyakati hizi za mvua ndio pendekezwa kujionea hali ya kiwanja...
  6. P

    Plot4Sale Kusudio la kuuza kiwanja chenye ukubwa 1.48 hectres = sqm2 14,800 Dodoma eneo la Mwangaza

    Ndugu wana JF habari ya majukumu? Napenda kutoa taarifa juu ya kusudio la kuuza kiwanja namba 10 D-centre Mwangaza lililopo Dodoma mara tu baada ya kukamilisha upatikanaji wa Hati ya eneo hilo ifikapo mwakani mwezi Januari au Februari kwakuwa eneo lilikuwa limetwaliwa na wenye nguvu almaarufu...
  7. Mwanza: kiwanja kwa laki 4 tu

    Kiwanja hicho kiko kishili fumagila, Mwanza (kiwanja cha pili kutoka usawa wa barabara kuu ya Kishili-fumagila-bujingwa-mpaka lami ya Usagara) Fumagila ipo kishili, unafika kwa Tsh elfu 2 tu kwa pikipiki Miguu kumi kwa kumi tu Bei laki 4. Dalali nipe 50k umeme upo tayari barabara kuu ipo...
  8. Msaada wa kisheria Kwa mtu aliyekatalia kutoka kwenye kiwanja baada ya usuluhishi wa baraza la ardhi la kata kuamua aondoke

    Ndugu wanajamii naomba msaada wenu wa kisheria, kuna jamaa tumepelekana kwenye baraza la ardhi la kata baada ya kung'ang'ania kwenye kiwanja Cha familia hii ni baada ya yeye kuja kuomba kukaa pale Kwa muda, tulipo taka kwenda kujenga akakataa kuwa kile kiwanja ameisha pewa na serikali ya Kijiji...
  9. Kiwanja kinauzwa milioni 5 Bugogwa, Mwanza, kimepimwa

    Kiwanja kipo,nyamwilolewa kata ya bugogwa. kina ukubwa wa 30*25 Kimepimwa. Bei Milioni 5 Mawasiliano:0765540059
  10. K

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kibaha Miembe 7 mita 600 toka morogoro road

    Nauza kiwanja kiko miembe sana kibaha , karibu na morogoro road , umbali ni kama nusu kilometa Yaani mita 600 hivi toka main road. kiwanja kikubwa mita 55 Kwa 26 . Bei ni 13m Nina shida ya haraka. Karibuni namba yangu 0674223223 mimi ni mmiliki mwenyewe. Karibuni
  11. Plot4Sale Nauza kiwanja Mkuranga eneo la Kisemvule Machimbo

    Wakuu habari zenu, Ninauza kiwanja - Size: Urefu FT 60 upana FT 105 - Kipo Kisemvule mtaa wa Machimbo Kidubwa, maarufu kama viwanja vya Ustadhi. - Nyaraka nlionayo ni "Offer", kimepimwa na kipo eneo ambalo kuna nyumba nyingi sana zimeshajengwa. - Umeme unaosambazwa na REA. - Bei ya...
  12. S

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    Kiwanja (20x40) Tsh 6.5M kimekaa Tambarale kabisa, kimezungukwa na makazi ya watu pamoja na huduma zote kijamii Kiwanja hiki Kipo kiluvya makulunge karibu na zahanati ya makulunge upande wa kulia wa barabara ya kuelekea kwa sumaye, umbali kutoka kwa hiyo barabara mpaka kiwanja kilipo ni dakka3...
  13. Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kinyerezi - Songas

    Kiwanja kizuri kwa ajili ya makazi kinauzwa Kinyerezi - Songas mbele kidogo ya mitambo ya kuzisha umeme ya Kinyerezi 1 na Kinyerezi 2. Kiwanja kipo eneo la kishua (Kwa wale wanaopajua Kinyerezi - Songas basi watakwambia kuwa hii ndio Masaki ya Kinyerezi). Kiwanja kipo kwenye barabara ya lami ya...
  14. R

    Nauza kiwanja kipo Wazo Hill

    Ni kama mita 300 kutoka kiwanda cha Twiga cement wazo hill mkono wa kulia ukiwa unaenda Goba au Madale. Kiwanja kina ukubwa wa Square meters 1000+ bei sh 35m. Maongezi yapo. Mimi ni mwenye mali sitaki mtu wa kati (Dalali). Mawasiliano 0718219523
  15. Z

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Kipo Kibaha kwa Mathias. Ukubwa wa squire meter 600 Milioni 3 Umbali km 5 toka Morogoro road Barabara nzuri imewekwa lami, bado kidogo ikamilike Umeme na maji vyote vimefika kwenye kiwanja 0672 893 600
  16. Rais Samia akiweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa Kiwanja Cha Ndege Cha Kimataifa cha Msalato, leo Oktoba 30, 2022

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa Kiwanja Cha Ndege Cha Kimataifa - Msalato, Dodoma leo tarehe 30 Oktoba, 2022
  17. K

    Plot4Sale Anayehitaji kiwanja Vikindu njoo

    Ni shamba lililokuwa na ekal 16, tumelikata viwanja. Lipo umbali wa Km 1.1 kutoka Barabara ya lami ya kwenda Mtwara. Nipigie kwa 0716560669.
  18. Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Makunduchi (Makunduchi plot for sale.)- Zanzibar

    Plot for sale in Zanzibar - Makunduchi: Area : Makunduchi, opposite VETA college. Document : Title deed Distance: 1.5 kilometer from the beach (Clove Island Zanzibar Villas) Location: 6°24'27.6"S 39°33'52.2"E Size: 600 square meters Contact: 0682955526 Price: TZS 20 million Karibuni wakuu.
  19. E

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Nghonghona, Dodoma

    Kiwanja chenye ukubwa wa sq.909, kinauzwa, bei milioni 5.5 Kipo Nghonghona, kilomita chache sana kutoka Benjamin Mkapa Hospital, Dodoma. Kimepimwa. 0779017650 Kimewekewa beacon kabisa, very potential plot. Nyaraka zote zipo.
  20. Dodoma: Tunauza Viwanja na kutafuta wapangaji wa nyumba

    Inatokea unataka kuja DODOMA kusoma, kuishi au hata kikazi, nakusihi uwasiliane namimi endapo mahitaji yako ni chumba cha kuishi, nyumba au hata appartment. Mpangaji huweza kulipia mara baada ya kuona chumba Kama ni mhitaji wa chumba,nyumba kama ni mhitaji wa nyumba. Mpangaji hutoa chaguo lake...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…