Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Kiwanja kizuri kwa ajili ya makazi kinauzwa Kinyerezi - Songas mbele kidogo ya mitambo ya kuzisha umeme ya Kinyerezi 1 na Kinyerezi 2.
Kiwanja kipo eneo la kishua (Kwa wale wanaopajua Kinyerezi - Songas basi watakwambia kuwa hii ndio Masaki ya Kinyerezi). Kiwanja kipo kwenye barabara ya lami ya Songas Road. Kama inavyo onekana kwenye picha hapo chini.
Yaani ukijenga nyumba hapa, hakuna kukanyaga vumbi, ni unatoka nyumbani kwako na unateleza na lami mpaka ofisini. Kiwanja kimepimwa.
Area: 500sqm
Asking Price: 50 Million
Price Negotiable
Mawasiliano: 0768444224
Piga simu tuzungumze biashara. Madalali pia mnakaribishwa.
Kiwanja kipo eneo la kishua (Kwa wale wanaopajua Kinyerezi - Songas basi watakwambia kuwa hii ndio Masaki ya Kinyerezi). Kiwanja kipo kwenye barabara ya lami ya Songas Road. Kama inavyo onekana kwenye picha hapo chini.
Yaani ukijenga nyumba hapa, hakuna kukanyaga vumbi, ni unatoka nyumbani kwako na unateleza na lami mpaka ofisini. Kiwanja kimepimwa.
Area: 500sqm
Asking Price: 50 Million
Price Negotiable
Mawasiliano: 0768444224
Piga simu tuzungumze biashara. Madalali pia mnakaribishwa.