0779017650Mawasiliano?
Kiwanja chenye ukubwa wa sq.909, kinauzwa, bei milioni 5.5
Kipo Nghonghona, kilomita chache sana kutoka Benjamin Mkapa Hospital, Dodoma. Kimepimwa. 0779017650
Kimewekewa beacon kabisa, very potential plot. Nyaraka zote zipo.
Umeme upo,maji pia.Mkuu inapoa bei?
Kina document zipi? Offer letter au hati kubwa? Huduma za umeme na maji vipi? Nimeuliza hapa ili nikipiga simu tusiongee mengi!
Hizo barabara zote zinazopakana na hicho kiwanja zimeshachongwa? Au bado ujenzi wa nyumba za makazi na biashara haujaanza kwenye hilo eneo!Umeme upo,maji pia.
Ujenzi unaendelea na barabara zipo,bear in your mind,kua ni jirani na Benjamin Mkapa Hospital,so barabara ya lami ipo,ujenzi unafanyika kwaajili ya makazi na biashara pia.Ni vyema ukakiona.Hizo barabara zote zinazopakana na hicho kiwanja zimeshachongwa? Au bado ujenzi wa nyumba za makazi na biashara haujaanza kwenye hilo eneo!
Naona kama kinanitamanisha eti!
Tuombe uzima. Kama hakitachukuliwa mapema, basi mwishoni mwa mwezi huu nitakuja kukiona.Ujenzi unaendelea na barabara zipo,bear in your mind,kua ni jirani na Benjamin Mkapa Hospital,so barabara ya lami ipo,ujenzi unafanyika kwaajili ya makazi na biashara pia.Ni vyema ukakiona.
Poapoa,karibu sana,hatakama kikichukuliwa,ukihitaji vingine,usisite kuwasiliana namimi.Vipo vyenye OFFER,na vingine vina hati kabisa,kwa bei mbalimbali.Tuombe uzima. Kama hakitachukuliwa mapema, basi mwishoni mwa mwezi huu nitakuja kukiona.
Karibu sanaIjumaa,kama kitakuwepo,nakuja kukitathmini,ikieezekana kukinunua kabisa,kama kitakuwepo.
Hiki ni kingine,cha milioni 9,mods wanaunganisha threads,anyway cha milioni 5.5 bado kipo.. pia kile cha juu kabisa,cha Sq.909