Msaada wa kisheria Kwa mtu aliyekatalia kutoka kwenye kiwanja baada ya usuluhishi wa baraza la ardhi la kata kuamua aondoke

Sagungu 1914

JF-Expert Member
Jun 21, 2016
930
579
Ndugu wanajamii naomba msaada wenu wa kisheria, kuna jamaa tumepelekana kwenye baraza la ardhi la kata baada ya kung'ang'ania kwenye kiwanja Cha familia hii ni baada ya yeye kuja kuomba kukaa pale Kwa muda, tulipo taka kwenda kujenga akakataa kuwa kile kiwanja ameisha pewa na serikali ya Kijiji.

Tukachukua maamuzi ya kwenda kufungua shauri la ardhi kwenye baraza la ardhi la kata ambapo katika shauri lile la usuluhishi baraza lilimuamuru apishe katika kiwanja na tukarudishiwa.

Sasa Cha ajabu anakataa kutoka na anasema humo ndio hatoki tuende kokote. Naomba ushauri wenu wa kisheria Nini Cha kufanya baada ya hapo.

Asante.
 
Ndugu wanajamii naomba msaada wenu wa kisheria, kuna jamaa tumepelekana kwenye baraza la ardhi la kata baada ya kung'ang'ania kwenye kiwanja Cha familia hii ni baada ya yeye kuja kuomba kukaa pale Kwa muda, tulipo taka kwenda kujenga akakataa kuwa kile kiwanja ameisha pewa na serikali ya Kijiji.

Tukachukua maamuzi ya kwenda kufungua shauri la ardhi kwenye baraza la ardhi la kata ambapo katika shauri lile la usuluhishi baraza lilimuamuru apishe katika kiwanja na tukarudishiwa.

Sasa Cha ajabu anakataa kutoka na anasema humo ndio hatoki tuende kokote. Naomba ushauri wenu wa kisheria Nini Cha kufanya baada ya hapo.

Asante.
kwakuwa mmeshinda kesi ya msingi juu ya umiliki na yeye hajafanya chochote kusitisha amri ya maamuzi hayo.

basi huyo nimvamizi kwa sasa. Hivyo naweza kwenda polisi na kumshtaki kwa kuvamia eneo lenu. Ushahidi wa umiliki ni hukumu mliyonayo.
 
Ndugu wanajamii naomba msaada wenu wa kisheria, kuna jamaa tumepelekana kwenye baraza la ardhi la kata baada ya kung'ang'ania kwenye kiwanja Cha familia hii ni baada ya yeye kuja kuomba kukaa pale Kwa muda, tulipo taka kwenda kujenga akakataa kuwa kile kiwanja ameisha pewa na serikali ya Kijiji.

Tukachukua maamuzi ya kwenda kufungua shauri la ardhi kwenye baraza la ardhi la kata ambapo katika shauri lile la usuluhishi baraza lilimuamuru apishe katika kiwanja na tukarudishiwa.

Sasa Cha ajabu anakataa kutoka na anasema humo ndio hatoki tuende kokote. Naomba ushauri wenu wa kisheria Nini Cha kufanya baada ya hapo.

Asante.
Baraza la kata kwa sasa halina nguvu kama zamani bali wamebaki ni usuruhishi tu,hivyo kama imeshindikana kafungue kesi baraza la ardhi la wilaya na utaambatamisha barua kuwa mgogoro umeshindwa kutatuliwa baraza la kata

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Unachotakiwa kukifanya ni beba uamuzi huo wa baraza ka kata kisha nenda baraza la kata la wilaya na uombe kukazia hukumu, uyo ataondolewa kwa nguvu tu wala msiwaze. Kama haujui utaratibu nenda huko huko baraza la ardhi wilaya watakwambieni.
 
Baraza la kata kwa sasa halina nguvu kama zamani bali wamebaki ni usuruhishi tu,hivyo kama imeshindikana kafungue kesi baraza la ardhi la wilaya na utaambatamisha barua kuwa mgogoro umeshindwa kutatuliwa baraza la kata

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Mtoa hoja ,jibu hili ndio sahihi maana Nami nimeshawahi kuwa shuhuda, baraza la ardhi la kata halina uwezo wa kisheria kuhusu masuala ya ardhi, chukua vielelezo vyako vyote including offer au barua mlioandikiana na muuzaji wa hiyo ardhi uende wilayani,good luck
 
Unachotakiwa kukifanya ni beba uamuzi huo wa baraza ka kata kisha nenda baraza la kata la wilaya na uombe kukazia hukumu, uyo ataondolewa kwa nguvu tu wala msiwaze. Kama haujui utaratibu nenda huko huko baraza la ardhi wilaya watakwambieni.

Unachotakiwa kukifanya ni beba uamuzi huo wa baraza ka kata kisha nenda baraza la kata la wilaya na uombe kukazia hukumu, uyo ataondolewa kwa nguvu tu wala msiwaze. Kama haujui utaratibu nenda huko huko baraza la ardhi wilaya watakwambieni.
Asante ndg
 
Mabaraza ya nn iwapo mna nyaraka na mlimpa tu hifadhi? Chukua polisi weka gari mafuta mtoe. Yeye ndo akatafute haki kwenye mabaraza. Unless nyinyi ndo wanyang'anyi.
 
Mabaraza ya nn iwapo mna nyaraka na mlimpa tu hifadhi? Chukua polisi weka gari mafuta mtoe. Yeye ndo akatafute haki kwenye mabaraza. Unless nyinyi ndo wanyang'anyi.

Kuna mjinga alivamia eneo langu huko Bk wakati nina nyaraka zote na zimenyooka
Nikataka kwenda kumshtaki barazani
Mzee mmoja akaniambia ukienda huko mtasumbuana sana hadi kupata haki zako

Akanishauri niende polisi nimevamiwa
Akavamiwa yeye na polisi atoke kama ana ushahidi aende mabarazani au mahakamani yeye

Aliondoka mwenyewe

Kwasababu jamaa kashaanza kwenda yeye inabidi apeleke hiyo nakala ya uhukumu baraza la wilaya akakaziwe hukumu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kuna mjinga alivamia eneo langu huko Bk wakati nina nyaraka zote na zimenyooka
Nikataka kwenda kumshtaki barazani
Mzee mmoja akaniambia ukienda huko mtasumbuana sana hadi kupata haki zako

Akanishauri niende polisi nimevamiwa
Akavamiwa yeye na polisi atoke kama ana ushahidi aende mabarazani au mahakamani yeye

Aliondoka mwenyewe

Kwasababu jamaa kashaanza kwenda yeye inabidi apeleke hiyo nakala ya uhukumu baraza la wilaya akakaziwe hukumu
Hahaha ni kweli, amalizie tu.
 
Sio Kila muda unafata Sheria Kuna watu wanasitahili kuonewa, mtu Kama huyo kwanza napata jeuri wapi ya kukujibu "nendeni popote" nenda hapo chakaza vibaya sana wakati Yuko hospital anaibiwa miez miwil we unaendelea na ujenzi na hatorudia kwan ukitumia hata million 2 kumshksha ADABU Kuna shda gani?
 
Ndugu wanajamii naomba msaada wenu wa kisheria, kuna jamaa tumepelekana kwenye baraza la ardhi la kata baada ya kung'ang'ania kwenye kiwanja Cha familia hii ni baada ya yeye kuja kuomba kukaa pale Kwa muda, tulipo taka kwenda kujenga akakataa kuwa kile kiwanja ameisha pewa na serikali ya Kijiji.

Tukachukua maamuzi ya kwenda kufungua shauri la ardhi kwenye baraza la ardhi la kata ambapo katika shauri lile la usuluhishi baraza lilimuamuru apishe katika kiwanja na tukarudishiwa.

Sasa Cha ajabu anakataa kutoka na anasema humo ndio hatoki tuende kokote. Naomba ushauri wenu wa kisheria Nini Cha kufanya baada ya hapo.

Asante.
Nyiefanyeni ujenzi kama mnaweza jengeni ukuta na muweke mlinzi
 
Back
Top Bottom