kiongozi

Enjo Kiongozi (born 27 March 1990) is a Tanzanian cricketer. He played in the 2014 ICC World Cricket League Division Five tournament.

View More On Wikipedia.org
  1. Ojuolegbha

    Balozi Yakubu akutana na Katibu Mkuu Kiongozi Comoro

    Balozi Yakubu akutana na Katibu Mkuu Kiongozi Comoro Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Saidi Yakubu amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu Kiongozi wa Comoro Mhe. Nour el Fatih Azali ambapo wamezungumzia masuala kadhaa ya ushirikiano wa Tanzania na Comoro. Balozi Yakubu alitumia...
  2. Yoda

    Sijawahi kuona kiongozi wa maana mwenye akili anazurura na kibastola kiunoni

    Katika kufuatilia kwangu historia za watawala wa dunia hii sijawahi kukutana na kiongozi wa maana aliyewahi kuwa anazurura na bastola waziwazi kiunoni akawa na akili nzuri. Viongozi wote ninaowajua ambao wamekuwa wakizurura na bastola kiunoni nati zao za kichwa huwa zimilegea na huwa viongozi...
  3. Komeo Lachuma

    Kiongozi Mkuu wa Hamas, Mohammad Sinwar kapelekwa kwa kaka yake Yahya Sinwar

    IDF hawacheki na wowote. Pamoja na Hamas kwa sasa kujaribu kuchagua viongozi wao kimya kimya bado IDF wanapoamua kuwa check wanawacheck tu. Kaka yake Mohammad alifumuliwa komwe na hao Mayahudi. Sasa dogo naye kapelekwa jehanamu akapate mabikra 72.
  4. Genius Man

    PreGE2025 International Democracy Union (IDU) imelaani kukamatwa kwa kiongozi wa CHADEMA

    Kupitia kurasa za mitandao ya kijamii za International Democracy Union (IDU), wamelaani kukamatwa kwa Golugwa, wakidai kuwa ni hatua ya kunyamazisha upinzani na kumtaka aachiliwe mara moja kwani ni ukiukwaji wa haki za binadamu. Hii ni aibu kwa serikali iliyopo madarakani ya mama samia ukurasa...
  5. M

    Kazi na matokeo ya kazi, ndiyo humheshimisha kiongozi yeyote, bila hivyo, machawa ni wapunaji tu

    Kama kukosolewa ni nongwa, na burudani ya moyo wa mfalume ipo kwenye kusifiwa, na kusifiwa huko kunasababishwa na mkono wenye kugawa vinono, basi utambue unajisumbua tu, wakosoaji hujikita katika kuangazia kile umeitendea Tanzania kama kiongozi mkuu Ukiona agenda yao imeungwa mkono na walio...
  6. Dalton elijah

    Kiongozi wa upinzani Côte d'Ivoire Thiam ajiuzulu kufuatia utata wa uraia wa Ufaransa

    Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Côte d'Ivoire, ambaye amezuiliwa kugombea urais katika uchaguzi wa Oktoba, amesema Jumatatu kuwa anajiuzulu kama kiongozi wa upinzani lakini bado ataongoza kampeni ya kushinda uchaguzi. Ni miezi sita kabla ya uchaguzi wa kumchagua kiongozi mpya wa nchi, kuna...
  7. S

    Hakuna siku kiongozi atakuletea hela mfukoni

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa muda mrefu vijana wengi nchini Tanzania tumekuwa tukisubiri kwa matumaini: ahadi za ajira, mitaji ya biashara, misaada ya serikali au nafasi ya “kubebwa” na mtu fulani mkubwa. Lakini leo nataka kusema kile ambacho wengine wanasita...
  8. BLACK MOVEMENT

    Zitto ni mjanja sana, Ofisi za ACT Wazalendo mikoani zina picha yake ukutani na sio picha ya Kiongozi wa sasa Dorothi Temu

    Staili za Vladimiri Putini wa Urusi.
  9. BLACK MOVEMENT

    Rekodi ya kuhama chama ya Lowassa haitakaa ikaribiwe, alisepa na kijiji, hawa G55 wanaigiza sana, hata familia zao haziwafuati huko

    Lowasa wakati anatoka CCM alisepa yeye na kijiji plus familia yake yote plus ndugu na jamaa na marafiki zake karibia wote. Sasa hawa G55 sijuia kama wanajishutukia kwamba wanaondoka wenyewe hata familia zao haziwafuati huko, hakuna anaye waunga mkono huko, hakuna anaye wasapoti. Hata Dr Slaa...
  10. Crocodiletooth

    Bw, Mnyika kama kiongozi uliyesaidia transitional, how do you survive?, maswali ni mengi sana!

    Wenye akili zetu tumekaa tu kimya tunakuangalia, #Pole sana bw. FAM.
  11. ELI COHEN

    Jana Mbunge wa Kenya kauliwa na huku kwetu kiongozi wa kidini kavamiwa. It makes you wonder kwamba je wewe mpambanaji wa kawaida what worst can happen

    Aisee, Amani na Utulivu ndio tumaini la mwisho katika ubinadamu ila kwa bahati mbaya kwa baadhi ya watu sio kitu cha thamani kwao. Nawatakia Amani ndugu zangu.
  12. S

    Kiongozi anapokuwa Muongo

    NI kujulishana juu ya Viongozi wa Serikali ,kuanzia Mkuu wa Nchi akifuatiwa na ngazi mbali mbali hadi balozi wa nyumba kumi kumi. Ni kesi ngapi maarufu za kupotea watu maarufu ,tuwaweke pembeni kina sisi pangu pakavu. Watu maarufu waliojulikana na kuvuma , kurahisisha ni zile zinazowahusisha...
  13. M

    Ningalikuwa kiongozi ningalitenda haki

    Katika Uislamu, kuna hadithi maarufu sana inayosema kuwa kiongozi muadilifu atapata thawabu kubwa Siku ya Kiyama. Mtume Muhammad (SAW) amesema: (Hadith - Sahih al-Bukhari na Sahih Muslim) Hii ina maana kwamba kiongozi anayehukumu kwa haki, anayewatendea watu kwa usawa, huruma, na uadilifu...
  14. Just Pray

    PreGE2025 RC Makonda: Barabara Arusha ni ajenda ya kila kiongozi kuanzia ngazi ya mtaa

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema katika mkoa wake waliamua kuifanya ajenda ya barabara kuwa kipaumbele kuanzia kwa kiongozi ngazi ya chini hadi wa juu. Makonda ametoa kauli hiyo jana Jumamosi Aprili 26, 2025, wakati wa maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar...
  15. Poppy Hatonn

    Kwa mtazamo wa Kidini. Je, mwanamke anaweza kuwa Rais?

    Kwa sasa, tunaona mwanamke anayewania urais pamoja na chama cha siasa kinachotaka mgombea wao wa nafasi hiyo awe mwanamke. Hata hivyo, dini inasema bila utata kwamba mwanamke haruhusiwi kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Anaweza kuwa makamu wa rais, waziri, au kushika nafasi nyingine za uongozi...
  16. winnerian

    Kwa vigogo wote wa serikali na wananchi kwa ujumla

    Kumbuka, umekuwa ukijulishwa vitu vingi; umekuwa ukipewa taarifa nyingi kabla ya wewe kutenda au kutendewa chochote. Umejiaminisha kuwa hakuna kitu chochote kibaya au kizuri kitakachokupata bila wewe kuwa na taarifa ya mapema. Lakini, wakati wako wa kuaga dunia ukifika—muda wa kufariki...
  17. A

    DOKEZO Kiongozi wa Wilaya ya Maswa anayedaiwa Kuhujumu Mafuta ya Magari ya Serikali Afichuliwa

    Madereva wa magari ya serikali katika halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, wamemlalamikia,Katibu Tawala wa wilaya(DAS)ya Maswa,Athuman Kalaghe kwa madai ya kuamrishwa kuacha sehemu ya mafuta wanayopewa kwa matumizi ya magari yao, ili kiongozi huyo ayatumie kwa matumizi binafsi. Kwa...
  18. S

    sisi tumesema no reform no election viongozi wa ccm wanatabiri vurugu mbona kila kiongozi anasitiza amani

    no reform no election sio vurugu wala nini kichatakiwa hapa ni mabadiliko
  19. KENZY

    Tanzania tumekosa dira, kila kiongozi anakuja na mapendeleo yake!

    Nchi inaenda kwa kufuata kiongozi mkuu anataka nini, ila haifati kuwa kwasasa kama nchi tunahitaji nini..! Si mbaya kiongozi kuwa na vipendeleo vyake lakini ni vyema mapendekezo ya nchi kwa wakati huo yanatakiwa yapewe kipaumbele!. Leo anakuja rais anaependa nakuamini ktk uanzishwaji wa...
  20. H

    PreGE2025 CCM Isichukiwe Kwa vile ni CCM, wala Kiongozi wa CCM Asichukiwe Kwa Sababu tu ni Kiongozi Wa CCM, Bali Kwa Matendo Yao

    Kati ya watu walioonekana kumwunga sana mkono Rais Samia mara baada ya yeye kutangaza 4R, walikuwa ni wanachama na wapenzi wa vyama vya siasa vya upinzani, na wapenda demokrasia wote wanaoipenda nchi yao kwa dhati na kweli ya moyo. Watu hao hao ndiyo leo hii wanaonesha kumchukia sana Rais Samia...
Back
Top Bottom